UDOM second round

UDOM second round

jaribu zote me ua wanapokea nishawasumbua sana mpaka wamenikalili labda iwe bize na ikiwa bize unapiga inginee zipo nyingi kuna mmoja atapokea tu
Nimejaribu namba kama 7, zingine zinaita bila kupokelewa, zingine hazipatikani
 
Kwa wale wa 2nd raund udom kuna aliyetumiwa admission letter ?
Admission letter unaipata kwa kuingia kwenye web ya udom then unaingia sehemu ilipoandikwa ALIS, hakikisha unaingiza index number ya form 4 kama username na pasword jina la babu au sirname. #sifa wepesi
 
Admission letter unaipata kwa kuingia kwenye web ya udom then unaingia sehemu ilipoandikwa ALIS, hakikisha unaingiza index number ya form 4 kama username na pasword jina la babu au sirname. #sifa wepesi
Sio kweli admission letter inapatikana hapa , inapatikana katika system ulitumia kufanyia maombi ya chuo
IMG_20181006_131157.jpeg
 
Nenden Udom mkapige kitabu ila ukienda na mawazo ya chuo bata au Udom chuo cha Kata ntatoboa tu badilika utaishia kucheza mziki (Disco) .....otherwise I wish you all the best hapo Udom the White house
 
Haki ya Mungu ni Ukweli usiopingika UDOM ya sasa ni shida sana. Watu wanadisco sana sababu ya musuli wa pale siyo wa kawaida ila ukiutumia mda wako vizuri unafanya vizuri lakini siyo kama vyuo vingine. Mfano college of education Mwaka wa kwanza 2017/2018 wamedusco watu 800 na zaidi kwa mwaka.
 
Haki ya Mungu ni Ukweli usiopingika UDOM ya sasa ni shida sana. Watu wanadisco sana sababu ya musuli wa pale siyo wa kawaida ila ukiutumia mda wako vizuri unafanya vizuri lakini siyo kama vyuo vingine. Mfano college of education Mwaka wa kwanza 2017/2018 wamedusco watu 800 na zaidi kwa mwaka.
Duuh
 
Wadau account yangu ya udism Inagoma login yake na reset password bado inasumbua...hivyo mwenye PDF file ya udism...MUCE na DUCe round ya pili azitume.....msaada tafadhali wana jf
 
Back
Top Bottom