Endelea kuwapigia wakikupa majibu uje hapa ulete feedbackNishaajaribu kuwapigia kwa no ao inaoishia 10003 lkn aipokelewi mkuu
Mkuu mwendo n ule ule simu aipokelewi kuna wakat ipo busy ikiita aipokelewi ko nimekosa jinsiii mkuu lbd tu tusubirEndelea kuwapigia wakikupa majibu uje hapa ulete feedback
Nilisikia wa2 wasua ety washajibiwa kwenye akaunti zao mkuuWAKUU vipi sua nako wametoa second round?
daa hatarii sana kaka mi nilitaka leo niombe tu sua third round nikiingia application closed tayar yaan hapa nimebakiwa na udom tuNilisikia wa2 wasua ety washajibiwa kwenye akaunti zao mkuu
Maaana ake sua ww ulikuwaga ushajibiwa mkuu? Coz kama bado awajakujibu sidhani kama unaweza applydaa hatarii sana kaka mi nilitaka leo niombe tu sua third round nikiingia application closed tayar yaan hapa nimebakiwa na udom tu
SUA sikuwahii kuomba ndio nilitaka niombe hii third roundMaaana ake sua ww ulikuwaga ushajibiwa mkuu? Coz kama bado awajakujibu sidhani kama unaweza apply
Aaaaaaaah dah aiseee kwan udom ishajibiwa au na ww bd ujajibiwaSUA sikuwahii kuomba ndio nilitaka niombe hii third round
udom sijajibiwa ilaa daah kama nishakukatia tamaa afu mdaa ushaishaaAaaaaaaah dah aiseee kwan udom ishajibiwa au na ww bd ujajibiwa
Ata mm sijajibiwa mkuu tusubir tuone watatujibu mda ganudom sijajibiwa ilaa daah kama nishakukatia tamaa afu mdaa ushaishaa
Hapana chief , 2nd round hawajajibu bado.Nilisikia wa2 wasua ety washajibiwa kwenye akaunti zao mkuu
Hao jamaa ukiwapigia wanasema bora uombe tu upya kwenye hii round ya 3Nasubir mzumbe. Uni of arusha kwa cc with equivalence bdo majibu
mkuu usiye moyo tupo wengi hata mimi sijajibiwa ingawa rafiki zangu 2 wamejibiwa wamekosa, na ukichunguza sijasikia aliyejibiwa kuwa amepata sasa cjw sisi yaani wamechukia application zetu mpaka wamekataa kujibu sielewi...ILA NIMEWAPIGIA UDOM TECHNICAL SUPOTA mmoja kaniambia nisubir kati ya kesho na kesho kutwa kama nitakuwa sijajibiwa niwacall tena. Tecnical sapoti mwingine kaniambia waliojibiwa ni waliopata chuo zaidi ya kimoja na waliokosa..SITAKI KUSEMA KUWA AMBAO HAWAJAJIBIWA WAMEPATA HAPANA ILA KASEMA KUNA ASILIMIA KAMA 50 AMBAO HAWAJAJIBIWA WANAWEZA KUPATA...Hv kuna mtu ambaye bdo hajajibiwa kweny profile yake kama mm?
ndiyo mkuu tukireview application zinaonekana zote application ya 1na 2 na pemeni wameandika maombi yamepokelewa kikamilifu.Nyinyi ambao hamjajibiwa mnahakika round ya pili mlifanya application , maanailikua inatakiwa uchague koz kwenye list itokee koz za round 1 na koz za round 2.je profile zenu zipo hivyo kwa sasa.
Kwn na ww haujapata mkuu?mkuu usiye moyo tupo wengi hata mimi sijajibiwa ingawa rafiki zangu 2 wamejibiwa wamekosa, na ukichunguza sijasikia aliyejibiwa kuwa amepata sasa cjw sisi yaani wamechukia application zetu mpaka wamekataa kujibu sielewi...ILA NIMEWAPIGIA UDOM TECHNICAL SUPOTA mmoja kaniambia nisubir kati ya kesho na kesho kutwa kama nitakuwa sijajibiwa niwacall tena. Tecnical sapoti mwingine kaniambia waliojibiwa ni waliopata chuo zaidi ya kimoja na waliokosa..SITAKI KUSEMA KUWA AMBAO HAWAJAJIBIWA WAMEPATA HAPANA ILA KASEMA KUNA ASILIMIA KAMA 50 AMBAO HAWAJAJIBIWA WANAWEZA KUPATA...
NB ZILE NAMBA ZAO KARIBU NA PROFILE ZETU UKIWAPIGIA WANAPOKEA ILA UWE MUDA HUO HUNA HASIRA MAANA UNAWEZA KUTUMIA SAA NZIMA WAKO BIZE