Udom kama Barcelona

Udom kama Barcelona

Tangazo:
nafasi za kazi kwa graduates.
Sifa zinazohijajika
1.Awe amehitimu chuo chochote isipokuwa Udom
Mnaionaje wadau
 
Tangazo:
nafasi za kazi kwa graduates.
Sifa zinazohijajika
1.Awe amehitimu chuo chochote isipokuwa Udom
Mnaionaje wadau

Ofisi ipo OHIO na uwanja wa FISI nyote mnakaribishwa!
 
Uwe serious mkuu, UDOM? umejaribu kuangalia university rank in Tanzania? UDOM ni ya ngap? Uliona hata Tangazo lile lenye msistizo "all aplicants are obliged to apply except those from UDOM"? Unajua kwa nn? Interview mnakuwa vilaza, Top Universities in Tanzania | Good University Ranking Guide
ACHA AKILI ZA SHULE YA MSINGI mheshimiwa, hii ni JF siyo FB
 
kwa kweli udom ina hadhi ya chuo kikuu, wanafunzi waliobahatika kwenda vyuo vikuu utawakuta udsm, mzumbe, tumain, sauti, lakini waliostahili wako udom
 
Nocla upo sahihi, hao udsm tumewafunika hakutokeza hata mmoja.
Tumetia mutu zaidi ya 7 kati ya kumi walohitajika.
wasubiri Mkandara labda atawapendelea...atakapo tangaza nafasi za Tutorial assistant hapo mlimani..ila huku kwingine uwezo wako utakuweka mahala fulani na si jina la chuo chako.
Interview siku hizi wanapiga kwanza Written..sasa wewe na bichwa lako la kufikiri udsm itakubeba..utaishia kuandika Jina na chuo ulichosoma......utachekesha Pannel arif...
mimi nimesoma udom na nimepata kazi katika ushindani amabamo nanyi mnao jiita udsm mlikuwapo...vijana tulifika pale..kama kawaida..hatuongei sana...hao udsm wakaanza porojo zao kama kawa za kujisifu
Kuingia kwenye pepa(written interview) kutoka wote kimya..
Matokeo yanatoka pale.hata mmoja simuoni..kutizama vizuri namba moja mpaka 7 vijana wa Udom wamekimbiza.
ninyi mtabaki tu kulewa sifa ambayo hukushiriki vyema kuijenga.
Vyuo vyote ni sawa ila Some one as an individua ndo unaweza kuwashinda wengine.
Jifunzeni acheni mabishano yasowajega.
 
Nocla upo sahihi, hao udsm tumewafunika hakutokeza hata mmoja.
Tumetia mutu zaidi ya 7 kati ya kumi walohitajika.
wasubiri Mkandara labda atawapendelea...atakapo tangaza nafasi za Tutorial assistant hapo mlimani..ila huku kwingine uwezo wako utakuweka mahala fulani na si jina la chuo chako.
Interview siku hizi wanapiga kwanza Written..sasa wewe na bichwa lako la kufikiri udsm itakubeba..utaishia kuandika Jina na chuo ulichosoma......utachekesha Pannel arif...
mimi nimesoma udom na nimepata kazi katika ushindani amabamo nanyi mnao jiita udsm mlikuwapo...vijana tulifika pale..kama kawaida..hatuongei sana...hao udsm wakaanza porojo zao kama kawa za kujisifu
Kuingia kwenye pepa(written interview) kutoka wote kimya..
Matokeo yanatoka pale.hata mmoja simuoni..kutizama vizuri namba moja mpaka 7 vijana wa Udom wamekimbiza.
ninyi mtabaki tu kulewa sifa ambayo hukushiriki vyema kuijenga.
Vyuo vyote ni sawa ila Some one as an individua ndo unaweza kuwashinda wengine.
Jifunzeni acheni mabishano yasowajega.

Nyongeza mkuu, hiyo kada niliyoisema walipitia ITA(Chuo cha kodi) Jamaa wa UDOM walifanya vizuri hadi Jamaa mmoja wa UDOM alipiga A course zote, wao wanaishia kupiga kelele sisi vijana tunaingiza net pay ya kutosha! Mimi sichangiagi hii mijadala lakini ukweli lazima niseme anayebisha aje nimpe na evidence!
 
Huo ni uzembe wa kufikiri UDSM ina miaka zaidi ya 50 UDOM ina miaka 5 huwezi linganisha mtoto na mzee, ugonjwa wa UDSM kila kitu ututoke Watanzania tujue kuwa kuna watu wanakuja kasi na wanatisha nao ni UDOM, mbona UDSM wameshusha entry qualifications kwa Masters kama hawawahofii UDOM. Ukweli ni kwamba UDSM sasa hivi wana hofu kubwa kwani muda wa kunyenyekewa umekwisha na ndani ya miaka kumi ijayo UDSM itakuwa hooooooi kwani imedumaa lakini UDOM wako katika harakati za kukua na kujiiimarisha. UDSM chuo cha wakoloni mnataka muendelee kututawala hata wakati huu wa ELIMU HURIA. ACHENI UZEMBE WA KUFIKIRI NINYI WAKATI UKUTA. Ukoloni mamboleo huo nyie TCU? UDSM mnawasifia MU kama SUA kwa sababu hao ni watoto wenu na UDOM mngewasifia endapo nao wangeanza kama chuo kishiriki WAKATI UMEBADILIKA YA NINI sisi bora ninyi dhaifu hazisaidii kitu. Big up UDOM miaka michache ijayo mtakuwa juu chini ya B.W. Mkapa mambo yanakwenda.

UDOM wamejitahidi sana lazima tuwapongeze kwa hatua waliyofikia, UDSM badala ya kujiiimarisha wanatumia muda wao mwingiiiii kuwakebehi UDOM wasomi ninyi hivi mnaijua HISTORY AND PHILOSOPHY YA ELIMU YA NCHI HII?

Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u

Ukweli ni kitu kizuri sana!
1. Unasema lecturers japo umeandika MALECTURE wakutosha... Unajua km LAW ina waalimu WANNE (4) I mean four lecturers! Mnategemea public universities lecturers km UDSM na MU!
2. Unaongelea majengo... Mwaka jana km sikosei maneno mengi Nape Nnauye alitembelea UDOM akafanya ukaguzi sijui kwa nafasi gani.. ila kwenye TV alishtushwa na ubovu wa majengo. Ukienda UDSM na MU and institutions za zamani majengo ya zamani ni km yamejengwa miaka kumi iliyopita kumbe ni yana more than three to four decades.... Kwanini hayo majengo mapya ambayo kwa mbali yanapendezesha chuo ukifika karibu yana nyufa na mavitasa ovyo ovyo? Tuwaulize NSSF au contractors au Chancellor / VC / DVCs?

Tuacheni ushabiki! After all UDOM ni kwa ajili ya Watanzania wengi wapate elimu ya juu na yenye ubora. Something that is still a challenge to be realized kwa vyuo vya zamani na hali mbaya zaidi kwa vyuo vipya UDOM inclusive. Japo elimu bora its a combination of things including qualified lecturers na wakutosha, available infrastructures (lecture theatres za kutosha, libraries, hospitals etc), social amenities etc........

Ninachofikiri ulimaanisha UDOM ni kama Barcelona ya hapo Bahi - Dodoma.....

Ndugu yangu Big F jibu hoja.... Usikurupuke na ushabiki.
 
Nilicho ona hapo ni ulimbukeni kwana in udom ata ile dhana ya mwl nyerere amna aliwai kusema ivi wakati alpokua anafungua chuo kikuu cha udsm "THE UNIVERSITY IS PLACE WHERE PEOPLE'S MIND ARE TRAINED FOR CLEAR THINKING AND FOR INDEPENDENT THINKING" sasa kwa udom km public institution iyo hamna uckurupuke kuweka thread humu kusifia usichokijua ww km unaproud kusema petroleum eng nakushangaa sn,kuna wengne adi leo amjapata ata bum la 1 afu unabaki unasifia ujinga acha izo mawazo mgando udom ni sawa na private institute like SAUT, TUMAINI, TEKU, hizo ndio saiz yenu barca ya bahi njooni mcheze na bom bom mchapwe mabao .

kaa chini utulie ujifunze kuheshimu na kuithamini lugha yako. Maneno kama "ata" badala ya "hata", " izi" badala ya "hizi" , "iyo" badala ya "hiyo", "afu" badala ya "halafu" na mengine mengi yanalete kichefuchefu na kutia kinyaa hasa yanapotamkwa/andikwa na mtu anayejipambanua ni msomi kama wewe! Siku hizi wadogo zetu wanafeli sana hasa mtihani wa kiswahili kwa makosa madogo ya uzembe kama hayo kwani mwalimu akiyakuta kazi ni moja tu, kuyazungushia duara na hivyo kupunguza "marks"
 
Wasomi wa TANZANIA ni wapuuzi kweli, ati mtu anakaa anajisifia kuwa UDOM ina majengo mazuri...very stupid. Tunataka mchango wa UDOM katika kubadilisha hali ya mambo ndani ya nchi, na sio UDOM majengo nk. Hebu badilikeni nyie wasomi wapuuzi wa TANZANIA.
 
Wasomi wa TANZANIA ni wapuuzi kweli, ati mtu anakaa anajisifia kuwa UDOM ina majengo mazuri...very stupid. Tunataka mchango wa UDOM katika kubadilisha hali ya mambo ndani ya nchi, na sio UDOM majengo nk. Hebu badilikeni nyie wasomi wapuuzi wa TANZANIA.

Wewe ndio mpuuzi kama kimeshindwa chuo kilichoanzishwa sawa na uhuru kwanini mapovu yakutoke kwa chuo kichanga? Wewe umeisaidia nini nchi na chuo chako ambacho hakina majengo bora? Ila kina ubora wa elimu? Zaidi ya kuiweka ichi hapa ilipo?
 
Huo ni uzembe wa kufikiri UDSM ina miaka zaidi ya 50 UDOM ina miaka 5 huwezi linganisha mtoto na mzee, ugonjwa wa UDSM kila kitu ututoke Watanzania tujue kuwa kuna watu wanakuja kasi na wanatisha nao ni UDOM, mbona UDSM wameshusha entry qualifications kwa Masters kama hawawahofii UDOM. Ukweli ni kwamba UDSM sasa hivi wana hofu kubwa kwani muda wa kunyenyekewa umekwisha na ndani ya miaka kumi ijayo UDSM itakuwa hooooooi kwani imedumaa lakini UDOM wako katika harakati za kukua na kujiiimarisha. UDSM chuo cha wakoloni mnataka muendelee kututawala hata wakati huu wa ELIMU HURIA. ACHENI UZEMBE WA KUFIKIRI NINYI WAKATI UKUTA. Ukoloni mamboleo huo nyie TCU? UDSM mnawasifia MU kama SUA kwa sababu hao ni watoto wenu na UDOM mngewasifia endapo nao wangeanza kama chuo kishiriki WAKATI UMEBADILIKA YA NINI sisi bora ninyi dhaifu hazisaidii kitu. Big up UDOM miaka michache ijayo mtakuwa juu chini ya B.W. Mkapa mambo yanakwenda.

UDOM wamejitahidi sana lazima tuwapongeze kwa hatua waliyofikia, UDSM badala ya kujiiimarisha wanatumia muda wao mwingiiiii kuwakebehi UDOM wasomi ninyi hivi mnaijua HISTORY AND PHILOSOPHY YA ELIMU YA NCHI HII?

udom kijana udsm mzee! tangu mwaka stini udsm imeleta maendeleo gani katika hii nchi zaidi ya kutengeneza mafisadi tu! udom inamiaka 5 lakini ishaanza kuonesha muelekeo wa kuwatoa vijani ujingani! udsm ndio imechangia kuipoteza hii nchi kimaendeleo sana sana sana! kwenye read hapo hata wewe hujui siri ya udsm na hii nchi ni ipi, ni watu wachache tunaojua lengo la udsm na hii nchi, wajuaji wengine walishatangulia mbele za haki! hamna chuo hapo udsm, bali chenyewe ndo kimeua maaendeleo ya hii nchi, udsm mnajua kugoma tu ndo hata kwenye historia iko ivo! amka kijana wewe!
 
Jamani toeni hoja acheni mipasho
 
Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
update
kuna watu wanadharau majengo hv chuo gani usomee chini ya mti? Au mnataka vyuo ambavyo majengo hata st mary's hayafikii? Chuo kikuu pia majengo yanahusika. Udom sasa hv lectures wapo asikudanganye mtu na mwonekano wake kweli ni chuo kikuu
hatari sana, unashindwa hata kukitaja chuo chako vizuri, umakini wa chuo unachakingiwa na watu waliopo au waliosoma hapo jitahidi kuwa makini
 
Udsm ki2 gan mbona vilaza wengi wako huko na wengine tumesoma nao .udsm imebak jina 2 hakuna lolote.
 
Back
Top Bottom