Udom kama Barcelona

Udom kama Barcelona

UDOM wanatisha ktk interview, wameteka soko la ajira, Aibu kwa wote waliokiita chuo cha kata, pigeni shule,jivunieni kuwa UDOM, Soko la ajira linawatafuta wana UDOM.
 
hivi kuna chuo hapa TZ ambacho hakina wanafunzi wenye division 3? Nitajie kimoja tu kama mfano!

ki ukweli hakipo maana hadi division four pale SUA wanawachukua sembuse div 3 even udsm wapo sema wengi wanashindwa kukubaliana na matokeo zaidi ya kuponda
 
UDOM wanatisha ktk interview, wameteka soko la ajira, Aibu kwa wote waliokiita chuo cha kata, pigeni shule,jivunieni kuwa UDOM, Soko la ajira linawatafuta wana UDOM.

si vyema kuongelea jambo pasipo kuwa na ushahidi, yupe source tafadhali tusiongelee vitu kishabiki
 
UDOM wanatisha ktk interview, wameteka soko la ajira, Aibu kwa wote waliokiita chuo cha kata, pigeni shule,jivunieni kuwa UDOM, Soko la ajira linawatafuta wana UDOM.

kweli mkuu wanatafutwa sana kitaa hawa wana-UDOM
 
Ur great thinker, Sijui kama wanafanya research hawa watu wanakuja na post za mpira hapa, kuna mtu aliniomba nimtumie proposal wa udom kwa email nilishangaa sana, unagraduate hujafanya research??? alafu unasema Udom kama Barcelona ndo hizi product za udom polen sana..
Uwe serious mkuu, UDOM? umejaribu kuangalia university rank in Tanzania? UDOM ni ya ngap? Uliona hata Tangazo lile lenye msistizo "all aplicants are obliged to apply except those from UDOM"? Unajua kwa nn? Interview mnakuwa vilaza, Top Universities in Tanzania | Good University Ranking Guide
ACHA AKILI ZA SHULE YA MSINGI mheshimiwa, hii ni JF siyo FB
 
Wasomi wa TANZANIA ni wapuuzi kweli, ati mtu anakaa anajisifia kuwa UDOM ina majengo mazuri...very stupid. Tunataka mchango wa UDOM katika kubadilisha hali ya mambo ndani ya nchi, na sio UDOM majengo nk. Hebu badilikeni nyie wasomi wapuuzi wa TANZANIA.
Kweli kabisa lakini umegeneralize aisee, ungesema msomi aliyepost hii thread, lakini sio kosa lake kosa la UDOM inayozalisha product kama hizi...
 
kuna vijana fulani wamemamaliza pale mwaka jana mambo ya telecommunication wameajiriwa korea na kampuni kubwa sana

What is research?najua definition ya hilo neno hujui ila katika kutoa reference lazima uwe source au hamjafundishwa na hayo mambo pia? why bother to comment?kama hujui cha kuandika ni vyema ukaka kimya mkubwa, no offence ni hayo tu
 
kuna vijana fulani wamemamaliza pale mwaka jana mambo ya telecommunication wameajiriwa korea na kampuni kubwa sana

aaah aaah pia kuna kampumi toka Thailand iliwafata wakiwa chuoni, nasikia walishindana kwenye mshahara...waliambia watalipwa 2m...chezea UDOM wewe!!!
 
majengo safi + wanafunzi wenye div3 + uhaba wa wakufunzi = ????????????

who z the best teacher kati ya hawa?
1.anayechukuwa mtoto wa kidato cha kwanza aliyepata wastani wa 81 (A) na kumfanya apate div 1.7
2 .anayechukua mtoto wa kidato cha kwanza aliyepata wastani wa 41 (C) na kumfanya apate div 1.7
nadhani mfano huu upeleke kwenye universities,kuna other issues mfanye mfanyavyo vitabaki kuwa UDOM tu.sidhani kama kuna university inayotoa best student katika technology kama UDOM,kama mnabisha nenda TCRA kaulize ni system ngapi wamenunua UDOM na kwa tsh ngapi kwa mwaka huu tu.umeshaskia chuo gani kimetengeneza system hizi hapa Tanzania?
1.phone calling system,mtu anapiga simu bure anywhere.unaweza kuitengenezea credit na unaweka charges.
2.house parental control system.unazima na kuwasha electronic devices katika nyumba yako kwa kutumia computer ofisini kwako au simu ya mkononi,ni kitendo cha kutuma tx "switch off TV".
3.car accident reporter system,endapo gari litapata ajali intuma taarifa makao makuu sehemu gari lilipopatia ajali,mwendo kasi uliokuwa ukitumika,hali halisi ya dereva wakati anaendesha (mlevi/sio mlevi),picha 10 za ajali,instantly
4.facial recognition software ambazo mmezoea kuziona katika movies,na zinatumika sana CIA,now iko inprogress katika hotel moja bagamoyo.ikiwa ni team ya wanachuo 20's na supervisor mmoja.
na nyingine nyingi tu!
Mwanafunzi wa UDSM bado anasoma language za zamani katika programming, kama PASCAL na C na C#,tena anasoma katika madaftari na karatasi but real world programming hajui,usimlinganishe huyo usimlinganishe na mwanafunzi wa UDOM anayesoma C++.the world now is in C++ and Java.mfano mzuri naomba uende Nyerere airport uliza wanafunzi wangapi wameajiliwa from UDOM and SUA compared to those from UDSM.next time is better muwe na current statistics ndio muanze kuongea,sio mnaongea kutumia statistics za miaka 20 iliyopita
mtu anayesoma computer science ni multipurpose,anaingia sehemu nyingi so naweza nkasema conputer science haina profession.but huwez kumlinganisha computer scientist wa UDSM na UDOM,UDOM ni chuo cha kwanza Tanzania kufundisha Software Engineering, na ni among of most paying Carrier in the world,mtu wa computer science wa UDOM anasoma na hao watu wa SE,so kunatofauti kubwa sana.UDOM ni chuo cha kwanza kuacha kutumia ARIS system na kutengeneza system yao ya SR (student record),hawakumwajili mtu kutengeneza but imetengenezwa na wanafunzi.nadhani kuna umuhimu wa kuanzishwa kwa maonyesho ya vyuo vikuu tanzania!nadhani ndio mtajua jinsi vyuo vyetu vingine tofauti na chuo kilichozoeleka UDSM vinafanya nini.pia naomba tu kila mmoja asome kwa upande wake malengo yake yakiwa kupata elimu itakayo msaidia.
 
...hiki chuo cha kata sikijui na sijawahi kukipenda hata siku moja...
 
Mtoa post hv unauhakika PETROLIUM ENGINEERING ipo udom tu? FANYA UTAFIT KABLA YA KUANDIKIA UMMA
 
Katika rank za sasa UDSM no chuo cha 4 barani Afrika na UDOM hampo hats top 50 na kuhusu ufanisi usiangalie upande Wa sayansi mi niliajili mhasibu toka UDOM oooooooh nimemtimua kazi 4 real Hanna kitu bora hats CBE
 
UDOM wanatisha ktk interview, wameteka soko la ajira, Aibu kwa wote waliokiita chuo cha kata, pigeni shule,jivunieni kuwa UDOM, Soko la ajira linawatafuta wana UDOM.

nitakuja kuwato.mbea wakufunzi bhaaasi
 
Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
update
kuna watu wanadharau majengo hv chuo gani usomee chini ya mti? Au mnataka vyuo ambavyo majengo hata st mary's hayafikii? Chuo kikuu pia majengo yanahusika. Udom sasa hv lectures wapo asikudanganye mtu na mwonekano wake kweli ni chuo kikuu

Kwani dada zenu wa pale udom wameacha kuuza papuchi mi nakumbuka kuna kipindi nimenunua hadi mnduku wa udom....daahhhh ulikuwa mtamu xanxanaxana big up chuo cha makabaha
 
Back
Top Bottom