DAH ITAKUJA NYINGINE MZUMBE KAMA REAL MADRID,IFM KAMA MANCHESTERCITY,SAUT KAMA LIVERPOOL, TUMAINI KAMA TOTe, nHAM, TEKU KAMA BAYERNMUNICH, dit KAMA BAYERNLIVERKUSEN,
SUA KAMA SWANSEA( tamka SWANSI)
DAH ITAKUJA NYINGINE MZUMBE KAMA REAL MADRID,IFM KAMA MANCHESTERCITY,SAUT KAMA LIVERPOOL, TUMAINI KAMA TOTe, nHAM, TEKU KAMA BAYERNMUNICH, dit KAMA BAYERNLIVERKUSEN,
Ukweli ni kitu kizuri sana!
1. Unasema lecturers japo umeandika MALECTURE wakutosha... Unajua km LAW ina waalimu WANNE (4) I mean four lecturers! Mnategemea public universities lecturers km UDSM na MU!
2. Unaongelea majengo... Mwaka jana km sikosei maneno mengi Nape Nnauye alitembelea UDOM akafanya ukaguzi sijui kwa nafasi gani.. ila kwenye TV alishtushwa na ubovu wa majengo. Ukienda UDSM na MU and institutions za zamani majengo ya zamani ni km yamejengwa miaka kumi iliyopita kumbe ni yana more than three to four decades.... Kwanini hayo majengo mapya ambayo kwa mbali yanapendezesha chuo ukifika karibu yana nyufa na mavitasa ovyo ovyo? Tuwaulize NSSF au contractors au Chancellor / VC / DVCs?
Tuacheni ushabiki! After all UDOM ni kwa ajili ya Watanzania wengi wapate elimu ya juu na yenye ubora. Something that is still a challenge to be realized kwa vyuo vya zamani na hali mbaya zaidi kwa vyuo vipya UDOM inclusive. Japo elimu bora its a combination of things including qualified lecturers na wakutosha, available infrastructures (lecture theatres za kutosha, libraries, hospitals etc), social amenities etc........
Ninachofikiri ulimaanisha UDOM ni kama Barcelona ya hapo Bahi - Dodoma.....
Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
update
kuna watu wanadharau majengo hv chuo gani usomee chini ya mti? Au mnataka vyuo ambavyo majengo hata st mary's hayafikii? Chuo kikuu pia majengo yanahusika. Udom sasa hv lectures wapo asikudanganye mtu na mwonekano wake kweli ni chuo kikuu
Vyuo vya kata bhana!
hahahahaaa yale duuuhNa mie wa YALE UNIVERSITY nisemeje jamani?
yanawasaidia nini??wewe utakua upeo wako wa kufikiri ni mdogo, competent law lecturers ni haba kwa upatikanaji wao ni mdogo! cuo kama chuo lazima kisomeshe lecturers wake i think ndicho kinachofanyika even to law, mbali na upungufu ambao unausema chuo kimeendelea kutumia part time lecturers kutoka other public universities! na kumbuka kwamba hakuna chuo ambacho kina lecturers wa kutosha hata vyuo vikongwe e.g udsm, mzumbe n.k, they stil need part timers!
Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
update
kuna watu wanadharau majengo hv chuo gani usomee chini ya mti? Au mnataka vyuo ambavyo majengo hata st mary's hayafikii? Chuo kikuu pia majengo yanahusika. Udom sasa hv lectures wapo asikudanganye mtu na mwonekano wake kweli ni chuo kikuu
Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
update
kuna watu wanadharau majengo hv chuo gani usomee chini ya mti? Au mnataka vyuo ambavyo majengo hata st mary's hayafikii? Chuo kikuu pia majengo yanahusika. Udom sasa hv lectures wapo asikudanganye mtu na mwonekano wake kweli ni chuo kikuu
Wewe ndio mpuuzi kama kimeshindwa chuo kilichoanzishwa sawa na uhuru kwanini mapovu yakutoke kwa chuo kichanga? Wewe umeisaidia nini nchi na chuo chako ambacho hakina majengo bora? Ila kina ubora wa elimu? Zaidi ya kuiweka ichi hapa ilipo?
Udsm ki2 gan mbona vilaza wengi wako huko na wengine tumesoma nao .udsm imebak jina 2 hakuna lolote.
Na hizo pass marks za 30 mnataka mwende wapi?.
nani amekuuliza?:A S angry:...Udsm ipo juu
ukikua utaacha
Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
update
kuna watu wanadharau majengo hv chuo gani usomee chini ya mti? Au mnataka vyuo ambavyo majengo hata st mary's hayafikii? Chuo kikuu pia majengo yanahusika. Udom sasa hv lectures wapo asikudanganye mtu na mwonekano wake kweli ni chuo kikuu
majengo safi + wanafunzi wenye div3 + uhaba wa wakufunzi = ????????????