Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
Hujui the law of demand and supply wewe?.The lower the price the higher the demand and more quantities supplied, hivyo kama anauza 500 anaweza kuuza mara 10 na kupata 5,000 na kutoa gharama ya nauli 700 na kbaki na super profit ya 4,300.Rudi darasani usome wewe au kama ndio elimu unayosoma hapo UDOM wewe ni gharsa.Anae tongozwa na anae tongoza utasikia natoka udom, kila kizuri hakikosi kasoro. Ukweli ni kwamba nauli ya kutoka hapo udom na kurudi ni Tsh700/-! Iweje mtu akajiuze kwa Tsh 500? Si kila habari ni ya kushabikia.
chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine tanzania nzima kama petroleum engineering, ba japanese, ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
KWA HUDUMA ZA KIJAMII KWELI MKO JUU....hasa ile huduma yetu ileeeeeee!!! mpaka wabunge wanatia timu pande hizo kupata huduma ya kijamii......Chuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
mh kwa hiyo kama kipo kama Barcelona what next! Thread za UDSM kama MAN U,UDOM kama BARCELONA nadhani hazina maana na ninahisi wanaopost wapo kwenye sensory motor stage,Cognitive domain zao hazipo sawasawaChuo cha udom kwa sasa kinatisha kila nyanza ukianzia miundombinu ya madarasa mazuri kuliko chuo chochote Tanzania, vyumba vya malazi ni kujichagulia mwenyewe kwani ni vingi vya kutosha, huduma za kijamii kama mabenki, course ambazo hazipo vyuo vingine Tanzania nzima kama petroleum engineering, Ba japanese, Ba chinese, nk, malecture wa kutosha hakitegemei tena vyun vingine, ukubwa wake tu ni utalii, majengo yake hayapo sehemu nyingine isipokuwa udom, Hospitali kubwa ndani ya chuo na ya rufaa inaendelea kujengwa kwa kweli ni raha kuwa udom.....ni kama unashabikia barcelona hasa wakikutana na vibonde wao man u
Hujui the law of demand and supply wewe?.The lower the price the higher the demand and more quantities supplied, hivyo kama anauza 500 anaweza kuuza mara 10 na kupata 5,000 na kutoa gharama ya nauli 700 na kbaki na super profit ya 4,300.Rudi darasani usome wewe au kama ndio elimu unayosoma hapo UDOM wewe ni gharsa.
hawjui udom huyo! interview za mwaka huu karibia zote vija wa udo wamejaa kwenye selected new employees kwa org mbali mbali ikiwemo TRA,NSSF nhif gepf akiba bank barcleys ndo interns kibao nenda tigo, nk
Ukweli ni kitu kizuri sana!
1. Unasema lecturers japo umeandika MALECTURE wakutosha... Unajua km LAW ina waalimu WANNE (4) I mean four lecturers! Mnategemea public universities lecturers km UDSM na MU!
2. Unaongelea majengo... Mwaka jana km sikosei maneno mengi Nape Nnauye alitembelea UDOM akafanya ukaguzi sijui kwa nafasi gani.. ila kwenye TV alishtushwa na ubovu wa majengo. Ukienda UDSM na MU and institutions za zamani majengo ya zamani ni km yamejengwa miaka kumi iliyopita kumbe ni yana more than three to four decades.... Kwanini hayo majengo mapya ambayo kwa mbali yanapendezesha chuo ukifika karibu yana nyufa na mavitasa ovyo ovyo? Tuwaulize NSSF au contractors au Chancellor / VC / DVCs?
Tuacheni ushabiki! After all UDOM ni kwa ajili ya Watanzania wengi wapate elimu ya juu na yenye ubora. Something that is still a challenge to be realized kwa vyuo vya zamani na hali mbaya zaidi kwa vyuo vipya UDOM inclusive. Japo elimu bora its a combination of things including qualified lecturers na wakutosha, available infrastructures (lecture theatres za kutosha, libraries, hospitals etc), social amenities etc........
Ninachofikiri ulimaanisha UDOM ni kama Barcelona ya hapo Bahi - Dodoma.....