UDINI ni kitu kibaya sana

UDINI ni kitu kibaya sana

Hapa JamiiForums Kuna Daily dose ya kutukana Waisilamu kila siku, hukosi thread 5 ama 10.

Pia Uisilamu unaongozwa na sheria zake hatufuati mihemko, jifunze waisilamu wanaishi vipi utaishi nao vizuri otherwise usiforce maisha na lifestyle yako waisilamu nao waifuate Hio Hio.
mkuu tunahubiri Amani na upendo ambazo hata wewe mwenyewe unazihusudu, acha mambo ya udini badilika.
 
Kila siku UDINI,kwani mnakula,kuvaa huo udini,kila mtu ashike anachoamini kinamsaidia,wa BIBLIA shikeni Bible,wale wa MSAAFU,kazaneni huko na wale wazee wa ngwasuma,MATUNGURI kamateni pia!hakuna haja ya kupangiana,kuchukiana kwa kuwa hakuna mwenye uhakika wa nani yuko sahihi#TUHESHIMIANE
mkuu umewahi kusikia jihadi? Amani ni tunu ambayo ikipotea ni ngumu kuipata tena.
 
Haujanielewa, umedandia tu....
Kwa sasa dunia inaishi kwa amani maana waislamu wengi hamfuati hayo maagizo mlioagizwa ya kuchinja wasio wa imani yenu.
Wachache wanaoyafuata ndio hutulipukia mabomu, amri zenyewe ziko bayana.

Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Duu kumbe hii ipo kabisa kwenye mafundisho hii sio Dini sasa ni ugaidi huu
 
Mimi ni Mkiristo lakini msiwaseme waislamu vibaya mimi nimeishi nao sana.

Mademu wangu wote nilio lala nao, Amina, Aziza, Husna, Mariamu na Sheila wote nilibahatika kupata waislamu yote tisa ila kumi waislamu wana roho nzuri sana ila hawa waislamu kanzu walio sahau uislamu kazi kutapeli watu na kuuza ngada allah awafanyie wepesi. Pia waache ushoga kina jumalokole.

Tatizo ni kuwa muslim wanaopigana kareti na judo au mashorati wanajazana ujinga na kudharau ukiristo lakini jamani eeeh waislamu wa bara ni wenzetu wana roho nzuri tu bado kuna shida kwa hawa wa pwani..
Kabisa waislamu wa bara wako vizuri sana ila wa pwani ndio tatizo.

Mimi nimeishi bara na marafiki zangu wakubwa walikuwa waislamu na kila mtu anaheshimu imani ya mwenzake ila nilipo amishishwa kikazi huku pwani ndio nikaona hii dini ina ubaguzi balaa yaani nilipoamia hapa majirani walipo gundua mimi ni mkristo nilichukiwa na mtaa mzima kisa Dini duuh sina hamu kwa kweli
 
mkuu kilichoongelewa kwenye hii siredi sicho unachokiongea, kuna watu humu wamefafanua vizuri kuhusu chuki za kidini.

kama mtu anaswali, anafuga ndevu na anaishi na wenzake vizuri huyo siyo mbaguzi wa kidini bali anaiishi imani yake, tutakuwa na mashaka na hiyo imani kama tu itakiuka misingi ya utu, kama ilivyoelezwa kwenye baadhi quote kwenye hii thread.

jaribu kuelewa kwamba kinachokemewa ni chuki ya kiimani ambayo ina matokeo mabaya sana.

Kama kweli wewe ni muungwana ihubiri amani na upinge udini kwa sauti kuu.
Nachokwambia kinaukweli ndugu yangu na yamenikuta, tena kuna chuki kubwa kutoka kwa wakristo kwenda kwa Waisilamu na kundi kubwa linaloongoza kwa hizo chuki ni wanawake
 
Mimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.

Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona

Halafu eti dah unachachamaa kabisa....... lets take things easy guys destiny itasema kila kitu wakati sahihi utasema, believe what you believe let others do so. kwasababu wote ndo wale wale.

Udini unasababisha kupotea kwa maisha ya watu, unafarakanisha ndugu na kupelekea uadui baina ya watu, sasa kwann tufike huko? let's go easy.
Waislma unafiki na chuki upo ndani ya damu yao, kumbuka hata Waarab wenyewe hawapendani huko Uarabuni, wana ukabila sana na huchukiana kishenzi. Sasa uje hapa kwetu kwa watu waliopandikizwa imani kwa kulazimishwa, yaani unakuta mtu hajuwi lolote kuhusu dini yake amejaikariria tu vitu kichwani na kujiona anajuwa kila kitu. Hapo shule hataki anashinda msikitini tu. Akiona wenzake aliosoma nao wanakwenda kazini anawakasirika na kuwatupia majini au kuwanafiki kwa majobless wenzake msikitini huku wakinywa kahawa.
 
Waislma unafiki na chuki upo ndani ya damu yao, kumbuka hata Waarab wenyewe hawapendani huko Uarabuni, wana ukabila sana na huchukiana kishenzi. Sasa uje hapa kwetu kwa watu waliopandikizwa imani kwa kulazimishwa, yaani unakuta mtu hajuwi lolote kuhusu dini yake amejaikariria tu vitu kichwani na kujiona anajuwa kila kitu. Hapo shule hataki anashinda msikitini tu. Akiona wenzake aliosoma nao wanakwenda kazini anawakasirika na kuwatupia majini au kuwanafiki kwa majobless wenzake msikitini huku wakinywa kahawa.
yaani umeonyesha uhalisia wako jinsi ulivyokuwa na chuki kwa Waisilamu,kwanza nashindwagwa kuelewa hivi mbona baadhi ya watu wanaonaga kuyataja hayo majini ni rahirahisi tu,labd sababu hawana elimu nayo

Kwa bahati nzuri nimekuwa muumini wa dini zote mbili ukristo na Uisilamu,wakati tuko wakristo hatukuwahi kufundishwa jinsi ya kujikinga na hivi viumbe, lakini nilipoingia kwenye Uisilamu nilifundishwa kuhusu elimu ya majini, kwamba wapo wabaya wanazulu watu na kuna wema ambao tunaswali nao msikitini,

Kwa tafsiri yake majini wapo hata bar, hata kwenye mikusanyiko ya watu, lakini je wewe mwingine usiyekuwa muisilamu unajua jinsi ya kujikinga nayo
 
Mimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.

Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona

Halafu eti dah unachachamaa kabisa....... lets take things easy guys destiny itasema kila kitu wakati sahihi utasema, believe what you believe let others do so. kwasababu wote ndo wale wale.

Udini unasababisha kupotea kwa maisha ya watu, unafarakanisha ndugu na kupelekea uadui baina ya watu, sasa kwann tufike huko? let's go easy.
Kuna nyimbo moja ya afande sele inaitwa dini ukiisikiliza ile nyimbo utagundua waafrika wengi hatuna akili.
 
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali
Siku hizi kisses ni kunyonya kumbe? hiki kiswahili cha Kenya
 
Kabisa waislamu wa bara wako vizuri sana ila wa pwani ndio tatizo.

Mimi nimeishi bara na marafiki zangu wakubwa walikuwa waislamu na kila mtu anaheshimu imani ya mwenzake ila nilipo amishishwa kikazi huku pwani ndio nikaona hii dini ina ubaguzi balaa yaani nilipoamia hapa majirani walipo gundua mimi ni mkristo nilichukiwa na mtaa mzima kisa Dini duuh sina hamu kwa kweli
Ndiyo hii ipo dhahiri kabisa pwani wamejitwika ujinga kuwa dini ipo kwao.
 
mkuu umewahi kusikia jihadi? Amani ni tunu ambayo ikipotea ni ngumu kuipata tena.
ni watu wachache mno wanaweza kuweka kile wanachokiamini wakajadili mambo jumuish,weng wetu dini zimetulevya haswaa,tunatumia hisia badala ya akili...nikuambie tu ndg hakuna watu wenye chuki na wabaguz kama wafia dini,wanaamin kila wanachoambiwa na viongoz wao,ni ngumu kuwabadilisha
 
ni watu wachache mno wanaweza kuweka kile wanachokiamini wakajadili mambo jumuish,weng wetu dini zimetulevya haswaa,tunatumia hisia badala ya akili...nikuambie tu ndg hakuna watu wenye chuki na wabaguz kama wafia dini,wanaamin kila wanachoambiwa na viongoz wao,ni ngumu kuwabadilisha
ni kweli aisee yaan wako brainwashed kinoma.
 
Mimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.

Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona

Halafu eti dah unachachamaa kabisa....... lets take things easy guys destiny itasema kila kitu wakati sahihi utasema, believe what you believe let others do so. kwasababu wote ndo wale wale.

Udini unasababisha kupotea kwa maisha ya watu, unafarakanisha ndugu na kupelekea uadui baina ya watu, sasa kwann tufike huko? let's go easy.
Nilimtongoza FaizaFoxy akanichomolea kisa Mie Mgalatia
 
Mimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.

Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona

Halafu eti dah unachachamaa kabisa....... lets take things easy guys destiny itasema kila kitu wakati sahihi utasema, believe what you believe let others do so. kwasababu wote ndo wale wale.

Udini unasababisha kupotea kwa maisha ya watu, unafarakanisha ndugu na kupelekea uadui baina ya watu, sasa kwann tufike huko? let's go easy.
Uwongo mtupu.

Ingekuwa tunawatenga tungewapataje makundi kwa makundi wanaotoka kizani na kuiona nuru ya Uislam? Fikiri.

Tena wale haters kama wewe wasiojijuwa ndiyo tunapenda sana kuwaweka karibu muuone wema wa Uislam.
 
Dini ni ujinga nasema siku zote.. dini zenyewe ndo hizi za waarabu na wazungu!
 
Waislam wangekuwa wanatenga watu, hii nchi isingekuwa na dini zingine za kiajabu ajabu.

Kumbuka kuwa dini zingine zote ziliukuta Uislam tayari upo ardhi i hii inayoitwa Tanzania leo.
Dini ya waarabu wewe ina kuhusu Nini? Wewe mwarabu? Babu wa babu wa babu yako alikuwa hana dini? Ukiangalia..Muhindi ana dini yake, mchina ana dini yake, mjapan ana dini yake, Mzungu ana dini yake.. mwafrika tu ndo mtu mjinga ambae hana dini yake, anadandia dini za race zingine
 
Back
Top Bottom