UDINI ni kitu kibaya sana

UDINI ni kitu kibaya sana

Dini ya waarabu wewe ina kuhusu Nini? Wewe mwarabu? Babu wa babu wa babu yako alikuwa hana dini? Ukiangalia..Muhindi ana dini yake, mchina ana dini yake, mjapan ana dini yake, Mzungu ana dini yake.. mwafrika tu ndo mtu mjinga ambae hana dini yake, anadandia dini za race zingine
Yesu, alayhi salaam, alikuwa dini gani na kabila gani?
 
Mimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.

Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona

Halafu eti dah unachachamaa kabisa....... lets take things easy guys destiny itasema kila kitu wakati sahihi utasema, believe what you believe let others do so. kwasababu wote ndo wale wale.

Udini unasababisha kupotea kwa maisha ya watu, unafarakanisha ndugu na kupelekea uadui baina ya watu, sasa kwann tufike huko? let's go easy.
Naunga mkono hoja.
 
yaani umeonyesha uhalisia wako jinsi ulivyokuwa na chuki kwa Waisilamu,kwanza nashindwagwa kuelewa hivi mbona baadhi ya watu wanaonaga kuyataja hayo majini ni rahirahisi tu,labd sababu hawana elimu nayo

Kwa bahati nzuri nimekuwa muumini wa dini zote mbili ukristo na Uisilamu,wakati tuko wakristo hatukuwahi kufundishwa jinsi ya kujikinga na hivi viumbe, lakini nilipoingia kwenye Uisilamu nilifundishwa kuhusu elimu ya majini, kwamba wapo wabaya wanazulu watu na kuna wema ambao tunaswali nao msikitini,

Kwa tafsiri yake majini wapo hata bar, hata kwenye mikusanyiko ya watu, lakini je wewe mwingine usiyekuwa muisilamu unajua jinsi ya kujikinga nayo
Nifafanulie kwanini masheikh na waumini wengi wa Kiislam wanafuga majini wa vitabu (wabaya) na kuwatumia kama vile chuma ulete na kuwapa watu wengine mateso....ndivyo Mungu anavyosema hivi kwenye vitabu vyenu?
 
Nifafanulie kwanini masheikh na waumini wengi wa Kiislam wanafuga majini wa vitabu (wabaya) na kuwatumia kama vile chuma ulete na kuwapa watu wengine mateso....ndivyo Mungu anavyosema hivi kwenye vitabu vyenu?
Nitakujibu mimi kama mimi,Nimefundishwa na kuelimishwa Elimu inayohusiana na Uganga,Yaani tiba za jadi, zinazohusiana kuanzia miti shamba, kitabu cha Mungu na Uchawi ndani yake.

Kila mtu atakubaliana na mimi kabla ya kuja wakoloni, jamii yetu ilijitibu kwa miti shamba, siyo dhambi wala uchawi, dhambi inaanza pale utakapoambiwa unapokunywa hii dawa usimame katikati ya mlango au uangalie jua linapochomoza na useme maneno haya,hii haichagui uwe mpagani au mkristo umeshaingia kwenye ushirikina,

Na Quruani ni tiba, kuna aya ukizisoma unapoingia kulala, Unalindwa na vitu vibaya vyote kuanzia majini mpaka wachawi, na vilevile kuna aya ukisoma kama unaumwa unapona,

Lakini kuna watu kwa kufata matamanio ya Dunia wanachanganya mambo ya Uisilamu na uchawi, ndiyo maana tukafundishwa ni jinsi gani nitamgundua mganga mchawi,kwanza anakuwa na vitambaa vyeupe na vyekundu,mikia ya wanyama,ngozi za wanyama, mapembe ya wanyama na mengineyo,

Halafu hupenda kukwambia mambo yajayo kama vile kukutabilia ya kesho au kukukwambia sijui unarogwa na nani na mengineyo huo ndiyo uchawi,haijalishi huyo mtu ni mkristo, Muisilamu au mpagani
 
Uwongo mtupu.

Ingekuwa tunawatenga tungewapataje makundi kwa makundi wanaotoka kizani na kuiona nuru ya Uislam? Fikiri.

Tena wale haters kama wewe wasiojijuwa ndiyo tunapenda sana kuwaweka karibu muuone wema wa Uislam.
Mkuu uko nje ya box mim sijaprom dini yangu mimi nimeongea uhalisia., halafu hii thread inakemea udini.

nikisema udini nafikir unaelewa namaanisha kitu gani!
 
Nitakujibu mimi kama mimi,Nimefundishwa na kuelimishwa Elimu inayohusiana na Uganga,Yaani tiba za jadi, zinazohusiana kuanzia miti shamba, kitabu cha Mungu na Uchawi ndani yake.

Kila mtu atakubaliana na mimi kabla ya kuja wakoloni, jamii yetu ilijitibu kwa miti shamba, siyo dhambi wala uchawi, dhambi inaanza pale utakapoambiwa unapokunywa hii dawa usimame katikati ya mlango au uangalie jua linapochomoza na useme maneno haya,hii haichagui uwe mpagani au mkristo umeshaingia kwenye ushirikina,

Na Quruani ni tiba, kuna aya ukizisoma unapoingia kulala, Unalindwa na vitu vibaya vyote kuanzia majini mpaka wachawi, na vilevile kuna aya ukisoma kama unaumwa unapona,

Lakini kuna watu kwa kufata matamanio ya Dunia wanachanganya mambo ya Uisilamu na uchawi, ndiyo maana tukafundishwa ni jinsi gani nitamgundua mganga mchawi,kwanza anakuwa na vitambaa vyeupe na vyekundu,mikia ya wanyama,ngozi za wanyama, mapembe ya wanyama na mengineyo,

Halafu hupenda kukwambia mambo yajayo kama vile kukutabilia ya kesho au kukukwambia sijui unarogwa na nani na mengineyo huo ndiyo uchawi,haijalishi huyo mtu ni mkristo, Muisilamu au mpagani
natafakari
 
Nitakujibu mimi kama mimi,Nimefundishwa na kuelimishwa Elimu inayohusiana na Uganga,Yaani tiba za jadi, zinazohusiana kuanzia miti shamba, kitabu cha Mungu na Uchawi ndani yake.

Kila mtu atakubaliana na mimi kabla ya kuja wakoloni, jamii yetu ilijitibu kwa miti shamba, siyo dhambi wala uchawi, dhambi inaanza pale utakapoambiwa unapokunywa hii dawa usimame katikati ya mlango au uangalie jua linapochomoza na useme maneno haya,hii haichagui uwe mpagani au mkristo umeshaingia kwenye ushirikina,

Na Quruani ni tiba, kuna aya ukizisoma unapoingia kulala, Unalindwa na vitu vibaya vyote kuanzia majini mpaka wachawi, na vilevile kuna aya ukisoma kama unaumwa unapona,

Lakini kuna watu kwa kufata matamanio ya Dunia wanachanganya mambo ya Uisilamu na uchawi, ndiyo maana tukafundishwa ni jinsi gani nitamgundua mganga mchawi,kwanza anakuwa na vitambaa vyeupe na vyekundu,mikia ya wanyama,ngozi za wanyama, mapembe ya wanyama na mengineyo,

Halafu hupenda kukwambia mambo yajayo kama vile kukutabilia ya kesho au kukukwambia sijui unarogwa na nani na mengineyo huo ndiyo uchawi,haijalishi huyo mtu ni mkristo, Muisilamu au mpagani
Wacha upuuzi, binamu yangu mimi ni mchawi haswa na anatumia Qur'an kuroga watu.
 
Unachoongea kinaukweli labda, au ni unavyodhan wewe?
Nafanya nini kujiridhisha kuhusu hili
 
Imani haina kanuni
Watu wameamua kuwa wadini ili kuishi nje ya kanuni.

Imani ni nje ya kanuni kwasababu hata ukiambiwa Dar es Salaam ilitolewa bara la Antarctica Mungu akaisogeza hapo hakuna mahojiano.
Hatupaswi kulewa sana na haya mambo kwani yanaweza kutufarakanisha hata kusababisha mauaji hasa kwa wenye akili ndogo ambazo hazijawahi waza nje ya dini zilimo,

Kwahiyo tupendane, tusibaguane kwa dini tulizo nazo. Amani ikitoweka tu bhasi mtapata nafasi ya kufanyia kazi nadharia yangu kuwa huenda Adamu hakuishi wala hakuwahi kuishi bustanini, inawezekana alikuwa Porini akiwindana na Nyati. ☮️

hii ni njia kutufikisha kwenye uhalisia wa matendo ya Kinyama kutoka kwa Watu.
 
Waislam wangekuwa wanatenga watu, hii nchi isingekuwa na dini zingine za kiajabu ajabu.

Kumbuka kuwa dini zingine zote ziliukuta Uislam tayari upo ardhi i hii inayoitwa Tanzania leo.
Usidanganye watu wewe mwanamke, waarabu walivyokuja kufanya biashara yao haramu ya utumwa walifikia kwenye maeneo ya mwambao wa Afrika Mashariki.

Hivyo ni ktk hayo maeneo ndipo walipoeneza zaidi dini ya kiislamu lakini maeneo mbalimbali ya bara uislamu haikuingia kihivyo.

So please be informed accordingly and stop the religious fallacy.
 
Usidanganye watu wewe mwanamke, waarabu walivyokuja kufanya biashara yao haramu ya utumwa walifikia kwenye maeneo ya mwambao wa Afrika Mashariki.

Hivyo ni ktk hayo maeneo ndipo walipoeneza zaidi dini ya kiislamu lakini maeneo mbalimbali ya bara uislamu haikuingia kihivyo.

So please be informed accordingly and stop the religious fallacy.
Sasa nilichodanganya ni kipi? Mwenyewe unakiri Uislaam tauari ulikuwepo pwani yote.

Unaelewa unachokisoma au unakurupuka kwa chuki za kijinga tu?

Waliokuwepo kwanza ni nani huko pwani ambako ndiyo lilikuwa lango kuu.

Tumia kichwa chako kufikiri siyo kukiwacha kama mzigo tu mabegani mwako.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mimi nashangaa sana, eti mtu anamchukia mwenzake kwasababu ya imani, na niwe mkweli wala siyo kwasababu ya udini, nyie wenzetu waislam mna chuki sana.

Yaani unakuta eti mtu anamtenga kabisa mwanajamii mwenzake eti kisa dini hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona

Halafu eti dah unachachamaa kabisa....... lets take things easy guys destiny itasema kila kitu wakati sahihi utasema, believe what you believe let others do so. kwasababu wote ndo wale wale.

Udini unasababisha kupotea kwa maisha ya watu, unafarakanisha ndugu na kupelekea uadui baina ya watu, sasa kwann tufike huko? let's go easy.

Wengine ni ruksa kwa Mujibu wa Imani zao lli wafuzu!

وَقَالَتِ الْيَهُودُ عُزَيْرٌ ابْنُ اللَّهِ وَقَالَتِ النَّصَارَى الْمَسِيحُ ابْنُ اللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَاهِهِمْ ۖ يُضَاهِئُونَ قَوْلَ الَّذِينَ كَفَرُوا مِن قَبْلُ ۚ قَاتَلَهُمُ اللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ

[ AT-TAWBA - 30 ]
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!

وَدُّوا لَوْ تَكْفُرُونَ كَمَا كَفَرُوا فَتَكُونُونَ سَوَاءً ۖ فَلَا تَتَّخِذُوا مِنْهُمْ أَوْلِيَاءَ حَتَّىٰ يُهَاجِرُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ ۚ فَإِن تَوَلَّوْا فَخُذُوهُمْ وَاقْتُلُوهُمْ حَيْثُ وَجَدتُّمُوهُمْ ۖ وَلَا تَتَّخِذُوا مِنْهُمْ وَلِيًّا وَلَا نَصِيرًا

[ AN-NISAAI - 89 ]
Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi msiwafanye marafiki miongoni mwao mpaka wahame kwa ajili ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Na wakikengeuka basi wakamateni na wauweni popote mnapo wapata. Wala msimfanye rafiki katika wao wala msaidizi.

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
Do not greet the Jews and the Christians before they greet you and when you meet any one of them on the roads force him to go to the narrowest part of it.
حَدَّثَنَا قُتَيْبَةُ بْنُ سَعِيدٍ، حَدَّثَنَا عَبْدُ الْعَزِيزِ، - يَعْنِي الدَّرَاوَرْدِيَّ - عَنْ سُهَيْلٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ لاَ تَبْدَءُوا الْيَهُودَ وَلاَ النَّصَارَى بِالسَّلاَمِ فَإِذَا لَقِيتُمْ أَحَدَهُمْ فِي طَرِيقٍ فَاضْطَرُّوهُ إِلَى أَضْيَقِهِ ‏"‏ ‏.‏
Reference : Sahih Muslim 2167a
In-book reference : Book 39, Hadith 16


Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Sasa nilichodanganya ni kipi? Mwenyewe unakiri Uislaam tauari ulikuwepo pwani yote.

Unaelewa unachokisoma au unakurupuka kwa chuki za kijinga tu?

Waliokuwepo kwanza ni nani huko pwani ambako ndiyo lilikuwa lango kuu.

Tumia kichwa chako kufikiri siyo kukiwacha kama mzigo tu mabegani mwako.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Wewe ulisema uislamu uliingia Tanzania kumbe ilikuwa ni katika sehemu ndogo tu ya hiyo Tanzania sasa na wewe unatakiwa uelewe hilo ili ionekane kwamba hata wewe una elimu dunia na sio ya madrassa tu ya kukariri kama kasuku.
 
Wewe ulisema uislamu uliingia Tanzania kumbe ilikuwa ni katika sehemu ndogo tu ya hiyo Tanzania sasa na wewe unatakiwa uelewe hilo ili ionekane kwamba hata wewe una elimu dunia na sio ya madrassa tu ya kukariri kama kasuku.
Sijawahi kusema "uislamu uliingia Tanzania".

Tanzania imeukuta Uislam upo zamani Tanganyika.

Kanisome tena nilichiandika, usitake kutia maneno yako kwenye maandiko yangu.
 
Back
Top Bottom