MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,511
- 53,474
Mbona wewe hujauwawa.? Au hapa Tanzania Kuna mtu kafa sababu ya dini tusikuze vitu. Ingawa ni kweli upo ubaguzi lakini niwa watu wachache,Tena dini zote mfano wakatoliki na wasio wakatoliki , au wasabato na walokole .Mwisho wa siku tunapigana vijembe maisha yanaendelea
Haujanielewa, umedandia tu....
Kwa sasa dunia inaishi kwa amani maana waislamu wengi hamfuati hayo maagizo mlioagizwa ya kuchinja wasio wa imani yenu.
Wachache wanaoyafuata ndio hutulipukia mabomu, amri zenyewe ziko bayana.
Verses that instructs killings in quran
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
hii dunia hii ngumu sana. Yaani wewe hata humjui mtume, yaan ni imani tu ambayo umeirithi kutoka kwa ancestor wako, tena pengine hata hao hawakumuona