Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.
Tumekuwa wepesi wa kusahau au kijisahaulisha au kujifanya hatuoni. Wakati wa Mkapa mbona safu yote 100% ya juuu ilikuwa ni Wakristo?! watu hawakusema au dini ni Uislamu tu labda tukubaliane hapo kwanza.

100%? Hivi Shein ameslimu lini? Na huyu rais wetu wa sasa si alikuwa waziri wa mambo ya nje wakati wa Mkapa? Na yeye alislimu lini? Tutetee kitu lakini tusiseme uongo.

Ni obvious kuwa kiongozi yeyote atataka kuwa na watu anaowaamini karibu yake. Wengi wao mara nyingi watakuwa washiriki wake kidini. Wengi lakini si wote. Mbona Obama amejaza watu kutoka Chicago na watu hawaoni tatizo? Kinachotakiwa ni utendaji. Wakiboronga wachukuliwe hatua bila kujali dini yao.

Amandla....
 
Muuza maandazi nakuunga mkono asilimia 200. Sina cha kuongeza!!
 
Tuspoteze muda
Wakristu uchaguzi unakuja,chagua mkristu mwenzako,hii ndiyo njia ya kuyaua hayo mashetani.

Inasikitisha sana kuona mtu anatumia JF kutukana dini za wengine. Nadhani ni wakati muafaka kufungia aina hii ya members. JF ni ya watu wastarabu ambao wanaheshimu dini na imani za watu wengine.
 
Kama nafasi ni za kuchaguliwa basi hapo hamna udini maana watu wa dini zote mili wanapewa fursa ya kupiga kura. Nadhani ugomvi wa wengi ni linapo kuja swala la nafasi za kuteuliwa. Hapo ndiyo watu wanataka waone dynamics.
 
Mleta maoni kwa upande wangu nakuhisi kama vile umechanganya manyangarika ,kwa kifupi tu kuna vitu hukuvizungumzia nitakupa mfano kuwa na jina la kisilamu haimanishi kuwa wewe ni muisilamu ,Muisilamu ni vitendo na sio jina anaweza kuwa mtu muisilamu na akawa na matendo machafu na uovu kuliko huyo anaitwa si muisilamu ,hivi angalia leo umeona wapi wewe mtu anajihada kwa kuhisi anamdanganya Mungu wake kama pale unapomkuta kiongozi anakamta kitabu kitukufu cha Quran na kula kiapo halafu matendo yake ni ya nun wa firauni, na ndio hapo unapowakuta wengine wananuka Uongo .
 
Jamii, Kwa kweli tukifuata uwiyano wa dini katika nchi, au dunia haiwezi kuendelea na kutengemaa, muhimu viongozi wachaguliwe kwa nyanja za uadilifu wa utendaji wa kazi kwa vitendo, lakini katika awamu zote nne kuna hofu kama kuna more than 5% ya watendaji waadilifu na kama wangekuepo hao 5%, wangechagua manaibu wao wazuri wengine 5% kwa namna hii na mfumo wa uiwiyano huu tungepata % kubwa kiasi ya vongozi wazuri kwani kila kiongozi angechagua mbora wa chini yake, nchi ingeendelea siku nyingi vizuri bila matatizo. Lakini tumesahau kuwa samaki mmoja akioza!!!???......... Sahauni kama dini ndio kigezo cha maendeleo ya nchi, ila dini ni chombo cha usalama na mawasiliano binafsi ya binaadamu na anaemuamini na ni kipimo cha utu wake kwa yule anaeabudiwa, na kwa binaadamu wenzake.Point ni Idadi kubwa au ndogo haisaidii kitu. kitakacho saidia ni ubora wa fikra na vitendo.
 
ni utendaji au udini? hata kama wote waislam au wakristo kama wana perform waacheni! kesho mtaanza kuchunguza kuna wachaga wangapi , wasukuma wangapi? simple rule sumu ya ubaguzi ikianza haishi wazalendo hoo chonde jamani!
 
kuna dili la kuhakikisha waislam wengi wanaingia selikalini. hii inasemekana (sina uhakika) ni dili ambalo kikwete aliingia nao mashehe. tatizo si kuwa kiongozi, tatizo ni wangapi wanaandaliwa kuwa wa kesho. kama mtakuwa mnaoa wanawake 4 watoto 20 mnashindwa kuwapeleka shule, sisi wenzenu tunawaandaa watoto wetu wa kuja kupambana nanyi makazini kwa kuona mmoja, watoto wanaotufanya tuwasomeshe wote, na maisha yanakuwa mazuri. hatushindishindi kucheza bao mchana kama mnavyofanya, na kutegemea chuma ulete. pelekeni watoto shule, hapo ndo mtasovu tatizo. hata kama viongozi wote wa juu mtakuwa ninyi, si washauri wasomi tutakuwa sisi wasomi tunaopeleka watoto shule badala ya masjidi kwenye naseri ya kiislam? mta compensate vipi hilo gepu tunalowapiga wakati nyie mnafundisha watoto dini yenu isiyoeleweka?
 
Sio ajabu waislam kuwa 75% kwasababu wao ndio majority hapa nchini (CIA Data), kinachoshangaza ni kwanini waislam ni minority sehemu nyingine za kazi? elhali wao ndio wengi nchini?

Sipendi udini, tukitaka uwiyano nilazima waislam wajaziwe sehemu ambazo wao niwachahce.

Asanteni.
 
To: Gamba la Nyoka

Who cares if 75% of leadership belongs to Masjid? the question is not their religion but their organizational skills, efficiency, capability to lead and standing tall to deliver.



Dini ni hisia and as long as people continue to feel inferior, they will always be inferior in their minds and actions.



Wanaolalamika hata mkiwapa viti vyote vya Bunge kamwe hawataweza kuwa na maendeleo bali ni kubadilisha mbinu za kisisasa na kutumia udini badala ya kuleta maendeleo ya kweli kuondoa Ujinga, Umasikini na Maradhi!

Do not worry, let them be 100%

Wanaolalamika hata mkiwapa viti vyote vya Bunge kamwe hawataweza kuwa na maendeleo bali ni kubadilisha mbinu za kisisasa na kutumia udini badala ya kuleta maendeleo ya kweli kuondoa Ujinga, Umasikini na Maradhi!


Do not worry, let them be 100%


Hujaelewa nini kwa hizo statements hapo juu?
Kama hujauelewa ujumbe wa Rev better not comment




 
Sio ajabu waislam kuwa 75% kwasababu wao ndio majority hapa nchini (CIA Data), kinachoshangaza ni kwanini waislam ni minority sehemu nyingine za kazi? elhali wao ndio wengi nchini?

Sipendi udini, tukitaka uwiyano nilazima waislam wajaziwe sehemu ambazo wao niwachahce.

Asanteni.


Wingi sio isue...Elimu ndo isue kaka....! Nenda sehem za kazi zisizohitaji elim utakuta dini flan imedominate.
 
Ninapata mashaka sana ninaposikia DINI, KABILA au RANGI zetu zikitajwa mbele ya maslahi ya umma. Ninashindwa kuamini kama sisi bado ni 'WATUMWA". Dini ni kitu gani? ukabila wetu ni nini? rangi zetu zina mchango gani katika ujenzi wa madarasa, barabara, zahanati na mabwawa yatakayoiwezesha jamii yetu kuepukana na kutegemea kilimo cha mvua zisizoaminika? Hivi, tunarithi nini hiki, kitusaidie nini, tunategemea kumrithisha nani uozo huu? Tuwe na mijadala yenye dira ya kutusaidia kulisogeza taifa letu mbele, kuwapunguzia mwendo mama na dada zetu kuvifikia vituo vya uzazi salama na namna ya kupunguza viwango vya ujinga. Tukishikilia dhana ya Utumwa tutabaki kunyosheana vidole na hakuna tukalolifanya kama familia moja, jamii moja wala Taifa moja.
 
.....kinachoshangaza ni kwanini waislam ni minority sehemu nyingine za kazi? elhali wao ndio wengi nchini?......

Katika hiyo CIA fact book hawajajibu swali hili?
Baadhi ya majibu ya swali hilo tumejadili hapa

Sipendi udini, tukitaka uwiyano nilazima waislam wajaziwe sehemu ambazo wao niwachahce.

Hapo kwenye nyekundu ndo udini wenyewe huo!
Tusijaze hizo nafasi (unazofikiri zina waislamu wachache) kwa lazima ilimradi tunajaza tu, lazima kuwe na utaratibu maalum ambao ni wa ushindani wa vigezo vya hao ambao wanapaswa kujaza nafasi hizo! Kwa namna hii hakutakuwa na malalamiko kutoka pande nyingine ambazo si waislamu (walio wengi kuliko idadi ya wakristo na waislamu ukiwachanganya)
 
"Waislamu Wajaziwe" Nani awajazie na kwa vigezo vipi?
 
Waislamu wajazwe? Na wala sio wajijaze? Basi wanaposema wajazwe ni dhahiri kuna mwenye mamlaka juu yao. Na huyo ndio mwenye nchi!!! Suala la udini hapa sio issue.
 
Hivi tz ni waislamu na wakristo tu! Wakristo + Waislamu wote hivi sasa hawazidi milioni 10, wakati jumla ya wa TZ wote hadi sasa tunakaribia 35- 40 million. Dini nyingine hazizidi 1.5 million. Hii inamaanisha sehemu kubwa ya wananchi hawana dini! Sasa tunapokuwa tunazungumzia uwakilishi wa wakristo na waislamu ndani ya CCM naona kama kudata vile!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom