Nafikiri ndugu yangu unahitaji msaada sana katika mambo ya muungano.
.......hebu fanya analysis kidogo. Wenyeviti wa CCM mikoa na makatibu wa mikoa waislam wangapi na wakristo wangapi.......
..........Vile vile hata wakati wa mkapa ambao kulikuwa na wakatoliki wengi ndani ya CCM lakini ndani ya CC ambako kuna wajumbe 20 toka bara na 20 toka Zanzibar na wawili wanaoingia ambao ni Mzee Kawawa na Mzee Malecela. Utaona lazima waislamu wawe wengi..................
Wakatoliki hacheni kulalama mbona hamkusema wakati wa Mkapa ambapo kulikuwa na Mkapa, malecela, mangula,msome,msekwa, sumaye etc
Pamoja na yote msizungumzie uislamu kwa mwislamu ambaye huwakimbia waislamu wenzake na matokeo yake huenda kuanguka kwa waksritso, Sababu( at I was Tired...........)