Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.
Kule kwa Mwanasheria mkuu nimeshusha nonda wamefuta posts lakini hapa kwa vile anajadiliwa muislam wanaacha tu.Mwanasheria aliyechaguliwa ni kihiyo hana uwezo wowote.Mwanasheria mkuu alivaa Mwanaidi Maajar ana ujuzi mkubwa wa mikataba hasa Commercial Law.
 
Rev Kishoka ameongea point ya maana. Siku hizi watu hatuangalii dini ya mtu, muhimu ni roho yake na matendo yake. Wakristo wangapi wanachemsha? Waislamu wangapi wanachemsha? Let them be 200%, cha msingi Mahakama ya Kadhi isianzishwe!
 
Rev-Kishoka.
Sasa hapa nimekupata vizuri Kabisa, ahsante kwa clarification mkuu.

Tuendelee kukata ishu mkuu, tuendelee kuupiga vita ubaguzi/udini/ na ufisadi wote kwa ari mpya na kasi mpya.


Nafurahi kujua nia yako halisi mkuu, b true always. pamoja na hayo inaonyesha huyu rev.kishoka shule ipo mahali pake. Big up Bro'
 
Hata wakiwa 100% waislam haiamanishi chochote, maana waisalm wanafiki ndio wabaya zaidi ya wakristo wazuri,waislam na ndio ni kweli, wengi saaana, wenye kutimiza ahadi au waumini ndio wanao takiwa kufuatwa sio jina muislam hawa ni vitu viwili tofauti tena mbali mbali. katika hao 75% basi ni % ndogo waumini kama wapo !!! wala hawatishi chochote kile mambo yote yanajionyesha. wana nguvu gani.wanaogopa watu sio Mwenyezi Mungu.
 
Kifupi ni hivi.

CUF kama wanavyosema ni cha waislamu na wapemba.
CHADEMA chama cha wakatoliki na wachaga
CCM chama cha mafisadi
 
amini usiamini udini unatisha nchi hii hasa baada ya kuingia huyu bwana kikwete................


Mimi ni Mkristu wa RC, sikibaliani kabisa na hiyo statement, namtetea JK kwa kusemas, Kikwete si mdini.

Watu ndio wanaanzinza udini halafu wanataka kuu-link na rais. Jamani kuweni Objective katika kuchambua mambo badala ya hisia na kuwa critic wa kila jambo hata ambalo halipo ili mradi kuweka mjadara tu
 
Ndugu zangu naomba tupitie magazeti ya daily news ya kila siku ili tulinganishe idadi ya majina ya kiislam na kikristo ya wanaoitwa kwenye interviews kwa ajili ya post mbali mbali za serikali hapo ndipo tutajua ni dini inayojipendelea.Tena interviews zenyewe hufanyika kuanzia saa 6 mchana siku za ijumaa bila kujali kuwa kuna watu ambao wana ibada siku hiyo.
 
ok wanajamii huu mjadala mlionzisha sidhani kama unaweza kutufikisha pazuri. Kwa mtu ambaye anathink logically hawezi kusema kuna udini kwani wagombea wote wanachukua form na kujinadi mbele ya wapiga kura ( waislam, wakristo na wapagani). Kwa hiyo basi nawaomba sana ndugu zangu tuwe tunajadili vitu ambavyo vinaweza kutuunganisha sote tuwe wamoja na si kutengana. tunachallenges nyingi sana ambazo tunatakiwa tuzijadili zinazohusu nchi yetu, naomba sana tupige vita watu wote wanaotaka kututenganisha kwa dhana potofu ya udini.
 
Nafikiri ndugu yangu unahitaji msaada sana katika mambo ya muungano.





.......hebu fanya analysis kidogo. Wenyeviti wa CCM mikoa na makatibu wa mikoa waislam wangapi na wakristo wangapi.......


..........Vile vile hata wakati wa mkapa ambao kulikuwa na wakatoliki wengi ndani ya CCM lakini ndani ya CC ambako kuna wajumbe 20 toka bara na 20 toka Zanzibar na wawili wanaoingia ambao ni Mzee Kawawa na Mzee Malecela. Utaona lazima waislamu wawe wengi..................

Wakatoliki hacheni kulalama mbona hamkusema wakati wa Mkapa ambapo kulikuwa na Mkapa, malecela, mangula,msome,msekwa, sumaye etc

Pamoja na yote msizungumzie uislamu kwa mwislamu ambaye huwakimbia waislamu wenzake na matokeo yake huenda kuanguka kwa waksritso, Sababu( at I was Tired...........)
 
Tell them the Truth, so that they observe their poor in following and analysing political issue
 
Kule kwa Mwanasheria mkuu nimeshusha nonda ?wamefuta posts lakini hapa kwa vile anajadiliwa muislam wanaacha tu.Mwanasheria aliyechaguliwa ni kihiyo hana uwezo wowote.Mwanasheria mkuu alivaa? Mwanaidi Maajar ana ujuzi mkubwa wa mikataba hasa Commercial Law.


Mind your language please, hujaeleweka hapo na hasa kunusu NONDA na ALIVAA, ulikuwa unataka kumaanisha nini?
 
Hii post inabore, haina mvuto. Mtachinjana bure kama Rwanda hapa
 
hivi nyie mods pst kama hizi kwanini mnaziachia?hamuoni kuwa zinaharibu jamii ya Tanzania?kwani hamna ukweli wowote na uthibitisho wa mambo yote yanayo husu dini
 
Ndugu zangu tujiulize: Rais(kwa mfano) anapoteua kiongozi wa ngazi yeyote, anaangalia kwamba ni rafiki yake, ndugu yake, CV yake, au anapelekewa tu majina ya candidates na makatibu wake? Naamini kuna wateua wengine ambao anakuwa hawafahamu kabisa!
 
Barubaru umetoa tathmini nzuri sana. hawa watu walizoea kubebwa sasa kuna fair play wanaanza kulalamika. Na bado watasema sana. Hawa watu ni wepesi wa kusahau ama kweli Mla mua husahau ila Mtupa Maganda, umewakumbusha vizuri wakati wa Mkapa. Mbona kwenye maofisi ya serikali wamejaa wao hasa nafasi za juu? achani kutonesha kidonda, acheni kabisaa. waislamu wameteseka na kudharauliwa sana tangu uhuru wakisingiziwa kuwa hawataki kusoma kumbe kulikuwa na mpango mahsusi! Acheni kabisa hiyo kitu!
 
amini usiamini udini unatisha nchi hii hasa baada ya kuingia huyu bwana kikwete................
kwa muda wa miaka mingi waislamu walikuwa wakilalamikia udini...kuwa wakiristo ndo wanapendelewa kuliko waislamu...lwo ukiona wakiristo wanalalamika ujue kuna jambo. rejea makala ya Rweyemamu kabla hajakuwa mnukulu. Jamani siku zote waislamu walikuwa na wamekuwa wakiuweka mbele utaifa kuliko hata maslahi ya waislamu. na waislamu walipolalamika walipewa majina mbalimbali kuwa hawajasoma, mara ohooo magaidi mara hivi mara vile...Jamani kuweni makini na uchochoze huu..kila nafasi akipewa muislamu basi ujue kapendelewa na kuna udini...lakini akipewa mkiristo hakuna tatizo. Hala hala mti namacho
 
Inaelekea jamiiforums ina udini. maada mbaya za waislamu ndo zinatamba hivi wakristo ni watakatifu sana?! na katika mada zote za waislamu, nimejifunza kitu kimoja kuwa, Wasio waislamu, wanauchukia uislamu na inadhihirisha kuwa Qurani Tukufu haingopi kwa kusema kuwa " Yaliyo mioyoni mwao ni mengi kuliko wanayoyadhihirisha" " Hawatakuwa na radhi nanyinyi mpaka mtakapofuata matamanio yao" kwa mfano, Ile post ya takwimu ya waislamu kuongezeka kwa kasi, watu walitoa maoni ya matusi, kebehi na dharau! hatuwezi kukubali hali hii iendelee wakati tupo. Big up HM Hafif, gKundi na Chiwaso.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom