Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.
Yaani unajitekenya halafu unacheka mwenyewe! Umegubikwa na udini hata ukibadili majina namna gani tunakujua tu....

Mnanijua na nani?

Kumbuka kuwa sio kila matawi ya kijani ni mboga za majani .... mengine ni bangi!!!!
 
Hii ni Sensa iliyofanywa na CIA 2007

Religions
mainland - Muslim 35%,
indigenous beliefs 35%,
Christian 30%;
Zanzibar - more than 99% Muslim

sourse CIA facebook


Hii nifact sio kwamba unapoteza muda nivizuri kujifunza kituambacho ulikua hukijui, Kutokana na sensa iliyofanywa na CIA sishangai kwanini waislam niwengi CCM, CUF ninacho shangaa nikwanini niwachache CHADEMA na SERIKALINI ????

Serikali ya TZ kukataa kufanya sensa kujua wepi majority haimaanishi kua hakuna majority, labda wanasera za kuwanyima majority opportunities wanazo-deserve.

Bull,

Hata kama hiyo sensa kwa mujibu wa CIA ikichukuliwa kuwa ni kweli (sijui hata ilichukuliwa vipi), basi waislam na wenyeji wanalingana kwa idadi ya watu (Ukiweka sampling error na fact kuwa population ya Zanzibar sio kubwa sana). Au wewe waonaje?
 
Kata yetu kule kijijini kuna waislamu wasozidi 10 kata jirani vile vile, mi naishi mjini lakini hapa nilipo ratio ni wakristo 10 kwa mwislamu mmoja, je kwa kufanya sampling si tunaweza kujua ukweli hata kama sensa ya serikali haikutupa uwazi?



Hongera mchukia ufisadi, hii sample size uliyo kuja nayo 40m population ukilinganisha na kata yako jirani na unapokata kinywaji uu nao ni ufisadi

Bora ni stick na sensa ya CIA
 
aisee nimekerwa sifungui TENA jamii forum kwa kuwa mnajadili mambo ya KIPUUZI na ambayo HAYAPO Tanzania, mnataka kuleta vita vya kidini?kwaherini na mtabaki na ujinga wenu
 
aisee nimekerwa sifungui TENA jamii forum kwa kuwa mnajadili mambo ya KIPUUZI na ambayo HAYAPO Tanzania, mnataka kuleta vita vya kidini?kwaherini na mtabaki na ujinga wenu

Kinga Maker AP,

Taratibu mkuu... chonde chonde usikimbie upuuzi na ujinga. Ndio kwanza tu umejiunga na JF (June 2009). Jamvi linahitaji hekima zako.
 
Kinga Maker AP,

Taratibu mkuu... chonde chonde usikimbie upuuzi na ujinga. Ndio kwanza tu umejiunga na JF (June 2009). Jamvi linahitaji hekima zako.

Huyu bwana kasema anaondoka ila ukiangalia chini ya thread bado yupo which means bado ana angalia thread. watu hatukimbii matatizo tunaya solve lakini mwenzetu sijui vipi. Mkuu King kama umeona kuna kitu JF ni kibaya toa maoni kurekebisha laa sivyo JF ilikuwepo kabla ya wewe kujiunga na itaendelea kuwepo ukiondoka.
 
Kinga Maker AP,

Taratibu mkuu... chonde chonde usikimbie upuuzi na ujinga. Ndio kwanza tu umejiunga na JF (June 2009). Jamvi linahitaji hekima zako.
King Maker AP
user_online.gif

King Maker AP has no status.
Junior Member
Join Date: Thu Jun 2009
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Credits: 1,970

Tena mtu mwenyewe ndio ana post 2 tu. Hajaona moto. Mwache atakimbia sasa hivi maana dini yake imeguswa. Hap uwe tayari kumeza shubiri King Maker AP
 
As long hao waislam wangeweza ku-deliver,I dont care much in dini but what I do care ni tabia ya CCM ya Makamba kuwapandikiza watz waichukie CUF kwa kuita chama cha kidini wakisahau kuwa hata wao wanamuelekea huohuo.Does him(Makamba }kasahau kuwa JK,yeye,Shein,karume wanaounda top cream ya CCM ni waislam?
 
Mnanijua na nani?

Kumbuka kuwa sio kila matawi ya kijani ni mboga za majani .... mengine ni bangi!!!!

Jibaraguze utakavyo ukweli unabaki palem pale Mwafrika wa kike = Mgaya = Mwafrika = Mdini
 
Sensa ya 2002 inaonyesha dini na idadi ya asilimia nendeni mukaangalie
 
Koba uko sahihi cha maana hapo ni output, bila kujali dini tunachotaka ni what a person can deliver
 
Kuna mtu aliwahi kusema hapa kuwa kuna makubaliano ndani ya ccm kuwa na uwakilishi sawa wa dini kubwa nchini za uislam na ukristo. Matokeo ya uchaguzi dodoma yanaonyesha kuwa waislam sasa wana-nafasi asilimia 75 ya uongozi wa ccm.

Ilivyokuwa CUF na viongozi wengi waislam watu waliita cuf, chama cha waislam. Sijui kama ccm itaitwa the same name? Viongozi wakuu wanne, Kikwete, Karume, Msekwa, na Makamba; ratio inaonekana tayari. Kwa kamati kuu (cc), ratio ipo wazi, cha ajabu hata NEC, ni the same trend.

Haya ni makubaliano ndani ya ccm au ni mabadiliko ya yale makubaliano ya awali? Naomba kuwasilisha

MGAYA,
Siasa ikichanganywa na dini, ni sawa na mafuta yakichanganywa na maji.
 
Acheni mambo ya dini, hayatufikishi popote kwa dunia ya leo ya utandawizi, hata wote wawe waislam au wakristo it doesnt matter, kubwa kuliko yote ni kiongozi mwenye uzalendo wa kweli wa kulitumikia taifa na kuwasaidia watanzania ktk umaskini unaonuka. Wakiwa mchanganyiko halafu mafisadi itatusaidia nini?
 
Wale ndugu zangu mimi wanaojifanya hawajali nini kinatokea katika vyama including udini wakidani tu ili mradi watakuja hapa na bla bla bla ......... wasome signature yangu wataelewa nini ki mbele yao:
The most prominent place in hell is reserved for those who are neutral on the great issues of life.- Billy Graham

kheri wewe mwenye kujua mwelekeo wako na kutoa hukumu hizo, kuna haja gani ya kuwa mwanadini wakati hufuati mafundisho ya dini,

mfano mdogo tu angalia thread zinazogusa dini hapa JF, tena ndio hoja za wale ambao kidooogo wameelimika wanajua hata kubonyeza keyboard, utajua mwelekeo ukoje

Aka bora niwe zangu neutral nakutimiza wajibu wangu wa kuwa raia mwema, kudumisha upendo na amani, kupingana na uzinzi na uasherati, kuwahurumia viumbe vyote vyenye uhai, kufanya kazi kwa juhudi, nk. ili kuendelea tunahitaji siasa safi, uongozi bora na na na
 
Tafadhali usiweke maneno yako ndani ya kinywa changu,, huko sipo...

mkuu nilitaka kukumbusha tu, mijadala kama hii huwa ni sensitive na usiwaingize wasiokuwemo, vinginevyo unawachokoza, ungezungumzia hao ccm na cuf bila kuhusisha nyumba za ibada, ww ni mkiristo mimi sipo upande wowote ila kama tunataka kujadili kwa manufaa ya nchi yetu usiwachokoze wanadini waache wapambane katika viwanja vyao!
kiongozi ni uadilifu wa mtu binafsi bila kuangalia ni dini gani, wapo viongozi wazuri waislam, wapo viongozi wabaya wakristo hapo utasemaje?

mimi nina ndugu na marafiki waislam na pombe kama kawaida, nina ndugu zangu walokole uzinifu umewatawala, lakini hayo ni too personal ninaaamini dini yao haiwafundishi hivyo.

tunahitaji viongozi waadilifu na wachapa kazi bila kuangalia kabila wala dini yao, tuliishakosea toka nyuma, faida ni kuwa na viongozi mafisadi hawana wito na kazi yao, yatupasa kubadilika

Hayo maneno niliyo ya bold hapo juu aliandika nani? uliandika ukiwa umelewa?
Kumbuka hapa jukwaani uko kati ya great thinkers. Tunajua kila unachoandika. Tunachambua kila unachopumua😀
 
MGAYA,
Siasa ikichanganywa na dini, ni sawa na mafuta yakichanganywa na maji.

Kivipi? Kitu gani ambacho dini inapigania ambacho kina-contradict na kile ambacho siasa inapigania. Kama kuna ujinga ambao tumelishwa miaka mingi katika siasa za Tanzania ni hili la kusema dini na siasa hazichanganyika.These are both ways of life; they are complementary rather than contradictory! Amkeni, mmelishwa upupu vya kutosha!
 
Sielewi sana uislam lakini naona tofauti ya wazi kiutendaji kati ya viongozi wa kiserikali waislam toka bara na visiwani, mimi napenda waliotoka visiwani. Pia naamini Tanzania itakua na amani ya muda mrefu endapo chama chochote tawala kitakua na waislam wengi ngazi za juu kuliko wakristo. Hivyo basi uongozi wa CCM ngazi ya juu kuwa na waislam wengi naona kama ni hali halisi tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom