Yaani unajitekenya halafu unacheka mwenyewe! Umegubikwa na udini hata ukibadili majina namna gani tunakujua tu....
Mnanijua na nani?
Kumbuka kuwa sio kila matawi ya kijani ni mboga za majani .... mengine ni bangi!!!!
Yaani unajitekenya halafu unacheka mwenyewe! Umegubikwa na udini hata ukibadili majina namna gani tunakujua tu....
Hii ni Sensa iliyofanywa na CIA 2007
Religions
mainland - Muslim 35%,
indigenous beliefs 35%,
Christian 30%;
Zanzibar - more than 99% Muslim
sourse CIA facebook
Hii nifact sio kwamba unapoteza muda nivizuri kujifunza kituambacho ulikua hukijui, Kutokana na sensa iliyofanywa na CIA sishangai kwanini waislam niwengi CCM, CUF ninacho shangaa nikwanini niwachache CHADEMA na SERIKALINI ????
Serikali ya TZ kukataa kufanya sensa kujua wepi majority haimaanishi kua hakuna majority, labda wanasera za kuwanyima majority opportunities wanazo-deserve.
Kata yetu kule kijijini kuna waislamu wasozidi 10 kata jirani vile vile, mi naishi mjini lakini hapa nilipo ratio ni wakristo 10 kwa mwislamu mmoja, je kwa kufanya sampling si tunaweza kujua ukweli hata kama sensa ya serikali haikutupa uwazi?
aisee nimekerwa sifungui TENA jamii forum kwa kuwa mnajadili mambo ya KIPUUZI na ambayo HAYAPO Tanzania, mnataka kuleta vita vya kidini?kwaherini na mtabaki na ujinga wenu
Kinga Maker AP,
Taratibu mkuu... chonde chonde usikimbie upuuzi na ujinga. Ndio kwanza tu umejiunga na JF (June 2009). Jamvi linahitaji hekima zako.
Kinga Maker AP,
Taratibu mkuu... chonde chonde usikimbie upuuzi na ujinga. Ndio kwanza tu umejiunga na JF (June 2009). Jamvi linahitaji hekima zako.
King Maker AP![]()
King Maker AP has no status.
Junior Member
Join Date: Thu Jun 2009
Posts: 2
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Credits: 1,970
Mnanijua na nani?
Kumbuka kuwa sio kila matawi ya kijani ni mboga za majani .... mengine ni bangi!!!!
Kuna mtu aliwahi kusema hapa kuwa kuna makubaliano ndani ya ccm kuwa na uwakilishi sawa wa dini kubwa nchini za uislam na ukristo. Matokeo ya uchaguzi dodoma yanaonyesha kuwa waislam sasa wana-nafasi asilimia 75 ya uongozi wa ccm.
Ilivyokuwa CUF na viongozi wengi waislam watu waliita cuf, chama cha waislam. Sijui kama ccm itaitwa the same name? Viongozi wakuu wanne, Kikwete, Karume, Msekwa, na Makamba; ratio inaonekana tayari. Kwa kamati kuu (cc), ratio ipo wazi, cha ajabu hata NEC, ni the same trend.
Haya ni makubaliano ndani ya ccm au ni mabadiliko ya yale makubaliano ya awali? Naomba kuwasilisha
Jibaraguze utakavyo ukweli unabaki palem pale
kanda2=kanda=kanda bongo man=kkk
Point noted from bibi kizee: Waislamu ruksa kuzini na wakristo haramu pombe😀
Wale ndugu zangu mimi wanaojifanya hawajali nini kinatokea katika vyama including udini wakidani tu ili mradi watakuja hapa na bla bla bla ......... wasome signature yangu wataelewa nini ki mbele yao:
The most prominent place in hell is reserved for those who are neutral on the great issues of life.- Billy Graham
Ukiona hivyo, mtu mzima kaishiwa.Tafadhali usiweke maneno yako ndani ya kinywa changu,, huko sipo...
Tafadhali usiweke maneno yako ndani ya kinywa changu,, huko sipo...
mkuu nilitaka kukumbusha tu, mijadala kama hii huwa ni sensitive na usiwaingize wasiokuwemo, vinginevyo unawachokoza, ungezungumzia hao ccm na cuf bila kuhusisha nyumba za ibada, ww ni mkiristo mimi sipo upande wowote ila kama tunataka kujadili kwa manufaa ya nchi yetu usiwachokoze wanadini waache wapambane katika viwanja vyao!
kiongozi ni uadilifu wa mtu binafsi bila kuangalia ni dini gani, wapo viongozi wazuri waislam, wapo viongozi wabaya wakristo hapo utasemaje?
mimi nina ndugu na marafiki waislam na pombe kama kawaida, nina ndugu zangu walokole uzinifu umewatawala, lakini hayo ni too personal ninaaamini dini yao haiwafundishi hivyo.
tunahitaji viongozi waadilifu na wachapa kazi bila kuangalia kabila wala dini yao, tuliishakosea toka nyuma, faida ni kuwa na viongozi mafisadi hawana wito na kazi yao, yatupasa kubadilika
MGAYA,
Siasa ikichanganywa na dini, ni sawa na mafuta yakichanganywa na maji.