Mombo Wetu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2008
- 377
- 36
Kivipi? Kitu gani ambacho dini inapigania ambacho kina-contradict na kile ambacho siasa inapigania. Kama kuna ujinga ambao tumelishwa miaka mingi katika siasa za Tanzania ni hili la kusema dini na siasa hazichanganyika.These are both ways of life; they are complementary rather than contradictory! Amkeni, mmelishwa upupu vya kutosha!
Kitila kitila nakuheshimu mwalimu wangu mwl si zaidi ya mwanafunzi lakini mwanafunzi akiongeza darasa anamzidi mwalimu wa darasa la chini.
Ndugu kama complementary why do you want one to substitute the other? From which science is this derived from? Can a key become a lock or otherwise can an enzyme substitute substrate; can negative be positive and can light be dark etc etc such science is new on earth and if its a new hypothesis validation is very important. The law of creation states "every matter was created from non matter", that is out of nothing something was made being so carnal things can never be superior to spiritual things. For the physical object to be manifested the idea must be conceived first you can not have a building before having its structure or at least in our vernicular raman sasa vipi tuweze kuchanganya principle za mungu na principle za wanadamu? Yupi ni perfect kuliko mwingine kama huamini Mungu yupo basi hakuna dini kuna serikali kama unaamini Mungu yupo ijiunge na dini na serikali uiache iendelee na utaratibu wake kama unamini vyote basi kila moja ifanye kazi yake huku wakikamilishana pale mwingine anapomhitaji mwenzake bila kulazimisha principle ya mojawapo ndo pekee ifuatwe na mwingine apuuzwe kama itafika hapo basi maanake ni mwenye nguvu ndo adominate na hapo sijui nani ana physical power kati ya serikali na kanisa. "Tena wanabahati raisi ni muungwana ingekuwa mimi hao top wote keko japo kwa siku mbili tu uone kama kuna hata mmoja atanyanyua mdomo kuhusu elimu ya raia" Tena najua pale unapo fight kama Mungu hajaruhusu we lazima ushindwe tu mbona wana waisrael walipojidai wananguvu kwa kuangalia majeshi yao wafilisti waliwafundisha adabu? Weh! Bora waelewe tangu sasa mimi ni rais mtarajiwa na kama wanaweza wasinipigie kura wote ila ole wao nichukue nchi kama udikteta hawajawahi kuuonja then wataujua. Yaani hapa nimetoa kilicho moyoni mwangu a true colour of who I am (Green in colour).
Last edited: