Jazba i think its strong word sio jazba mawazo ya kurudi nyuma ndio yana kera kwa sababu tumekua na amani tu atujui matatizo yanayotokana na ujinga wa mawazo yaani beliefs ambazo azileti faida yoyote muslim or christian is not an issue for me. dont be fooled by the Juma in contena that is an alias only, in reality i have a christian father or he is supposed to be. at the moment i do believe in god for some reason but i do question his existence in other occassions.
but my belief should remain to me and not try and raise issues that serves no purpose off the goals you claim you want to achieve. we have never had religous trouble before remember, its Mwinyi's government that dealt in brutal way all those extremist muslim who started vandalizing buthchers that stocked pork in Magomeni.
its not the post im looking at but its his way of thinking that distinguishes what is fair and what aint, it means he already has criteria or a distinguished ideology of who he is, thats why the idea off having muslim members on that administration to him dont save fairness. this is what provoked me because distinguishing on grounds of criteria is danger very dangerous either religion, tribal or any thing that says us and them. he just looked at the current administration and pointed out the Muslim members and decided it was a part of Muslim, which is far from the truth, but just moaning on the grounds of his ideology which has 'us' and 'them' already on his sick head. believe me i'll never apoligize there ni MPUMBAVU WA MWISHO
MUngu Ibariki Tanznania
wampinge nani sasa? maana wote wanashinda msikitini na lao moja!
Ukweli kuwa kuna influence ya mwenyekiti wa chama kwenye baadhi ya position, kama watu wake ni waislamu basi ndio hivyo tena
Pia si siri kuwa JK amejaza 'watu wake' katika nafasi nyingi muhimu, sipati piacha kama ingekuwa kinyume chake. Lakini world wide inajulikana kuwa wakristo they do not mind wala ku-care, wao na mambo yao!
thats how we are, so kama mtu anataka JK ahukumiwe kwa hilo, kwa kifupi wakristo hawana muda huo, na hakuna atakayekusikiliza
Pundamilia amesahau kukwambia kuwa Waziri mkuu kipindi cha Mkapa alikuwa mkrsitu-Sumaye.
Hivyo MKAPA alikuwa na wasaidizi wote wakristu mfano makamu wa Mwenyekiti alikuwa John Malecela,waziri mkuu sumaye,katibu mkuu wa chama Philiph Mangula. katibu mkuu ofisi ya Rais Martin ,hawa ndio wasaidizi wakubwa wa rais au mwenyekiti wa chama kama udini basi Mkapa ni mdini.
wakati JK ana mizengo Pinda,makamba yusuf, PIUS MSEKWA na Luhanjo kama wasaidizi wake kiserikali na kichama.
Hakuna cha ujuzi wala nini.tunachojua ni kuwa waislam(hasa wa tanzania) hawapendi shida wanapenda zoga zaidi.hawataki kutumia akili kutafuta mkate wa kila siku bali bla blaaaaaaa.ndo maana wameingia katika siasa ambazo ni bla blaaa.ie ccm(chama cha majangili).hivi sasa nchi hii inamezwa na hii mijitu mivivu isyotaka kujishughulisha.every angle sasa waislamu tupu
Inaonyesha bwana akilisana unachuki na hawa jamaa,kwani wamekunyima nini?Mbona mimi ni mkristo na maisha yangu yapo poa sana?Kesi ya matumizi mabaya ya madaraka inayoyakumba akina YONA,MRAMBA,MGONJA,LIUMBA, KWEKA na wengineo,je hao nao waislam?Hawa wamebunya mapesa ya TZ kwa miaka mingi mbona huna mchango wowote wa kuwabana?Nawashauri wana JF tuwe macho na akina akilisana inawezekana akili zao zimezidi mno hata kusahau kufikiri tumetoka wapi na tunakwenda wapi.Ama kweli nimeamini "SHETANI AKIZEEKA HUJIFANYA MALAIKA"Mungu ibariki JF mungu ibariki Tanzania.
mkuu Wabero..Hii haipingani na hoja yako?
Hakuna cha ujuzi wala nini.tunachojua ni kuwa waislam(hasa wa tanzania) hawapendi shida wanapenda zoga zaidi.hawataki kutumia akili kutafuta mkate wa kila siku bali bla blaaaaaaa.ndo maana wameingia katika siasa ambazo ni bla blaaa.ie ccm(chama cha majangili).hivi sasa nchi hii inamezwa na hii mijitu mivivu isyotaka kujishughulisha.every angle sasa waislamu tupu
Mkuu nina bahati mbaya napenda kuongelea ukweli hata kama mimi mwenyewe unaniumiza! hakuna dini yoyote katika sayari hii inayoongoza kuhubiri -udini popote pale na kwa njia yeyote ile kama waislamu! Tz waislam ndio wanaongoza kuwasema vibaya wakristo. au unafikiri why 75%??
hata hivyo hii sio hoja ni taarifa unaweza ukakataa au kukubali, kwani kukataa kwako au kukubali hakutafuta ukweli au uongo.
so be happy I was refering to cuf and ccm, na sio walio je ya hapo ila kwa sababu zile zile , uko sensitive mno na dini kiasi cha kuwa unaona kila linaposemwa neno msikiti basi unajua na wewe humo! soma tena! CUF wamekuwa wanahubiri udini mpaka unaogopa!
mikutano yote ya CUF ukihudhuria kuna takbir zinapigwa hili nalo haulijui?? sasa kama mna umoja, mumpinge Kikwete mtaanzia wapi after all 75% ndani ya ccm ni nyie wenyewe ??
Hii ndio imeua CUF, rais angekuwa mkristo mama yangu ungesikia mambo!
hebu nipishe mie, sitaki kujadili haya mambo haya after all shemeji zangu, majirani zangu, marafiki zangu wote ni waislamu! tunapiga kitimoto pamoja na maisha yanaendelea wenye dini wako mashariki ya kati na Roma wengine tumeparamia tu ndio maana unakuta akina Hamis hafanyi swala tano wala hajui kusoma quran, utakuta akina John haendi kanisani mpaka x-mass! then tupiganie nini??
ukitaka dini kaa chini mwache baba yako na mama yako tafuta ukweli mwenyewe mimi nilifanya hiyo assignment na kukuta ukweli uko ndani ya biblia wala sio makanisani! kazi kwako!
Mkuu nina bahati mbaya napenda kuongelea ukweli hata kama mimi mwenyewe unaniumiza! hakuna dini yoyote katika sayari hii inayoongoza kuhubiri -udini popote pale na kwa njia yeyote ile kama waislamu! Tz waislam ndio wanaongoza kuwasema vibaya wakristo. au unafikiri why 75%??
hata hivyo hii sio hoja ni taarifa unaweza ukakataa au kukubali, kwani kukataa kwako au kukubali hakutafuta ukweli au uongo.
so be happy I was refering to cuf and ccm, na sio walio je ya hapo ila kwa sababu zile zile , uko sensitive mno na dini kiasi cha kuwa unaona kila linaposemwa neno msikiti basi unajua na wewe humo! soma tena! CUF wamekuwa wanahubiri udini mpaka unaogopa!
mikutano yote ya CUF ukihudhuria kuna takbir zinapigwa hili nalo haulijui?? sasa kama mna umoja, mumpinge Kikwete mtaanzia wapi after all 75% ndani ya ccm ni nyie wenyewe ??
Hii ndio imeua CUF, rais angekuwa mkristo mama yangu ungesikia mambo!
hebu nipishe mie, sitaki kujadili haya mambo haya after all shemeji zangu, majirani zangu, marafiki zangu wote ni waislamu! tunapiga kitimoto pamoja na maisha yanaendelea wenye dini wako mashariki ya kati na Roma wengine tumeparamia tu ndio maana unakuta akina Hamis hafanyi swala tano wala hajui kusoma quran, utakuta akina John haendi kanisani mpaka x-mass! then tupiganie nini??
ukitaka dini kaa chini mwache baba yako na mama yako tafuta ukweli mwenyewe mimi nilifanya hiyo assignment na kukuta ukweli uko ndani ya biblia wala sio makanisani! kazi kwako!