jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
Pole Mushi kwa masahibu yanayokukuta. Lakini, wanakuchongea kwa sababu unachangia thread zao au kwa sababu unayoyaandika? Kama wanakuchongea kwa sababu unachangia thread zao, mimi sitaki kuamini mpaka nitakapopata uhakikisho lakini nianze kwa kuonya tu kuwa kama ndivyo hivyo, huko tutakuwa tunakwenda kubaya
Kulikuwapo na threads zenye mwelekeo wa kikabila na kidini na mimi nilikemea bila woga!
Nenda kwenye profile yangu kuna watu badala ya kuni pm wanakuja wanapost na kuni harass..Na kila nikichangia...Then wakanichongea nifungiwe!
Nikafungiwa...Then kuna wengine bado wananichongea.
Sasa na mimi najihadhari...Na kama kuna ambaye hataki nichangie thread yake basi ani PM.
Na si kwenda kutoa malalamiko yasiyo na msingi.
Kama ni kutukanwa nishatukanwa kila aina ya matusi!
Lakini humu kuna watu wanjuwana...Mimi nawajuwa watu hapa kwa maandishi yao na si vinginevyo.
Unachoandika ndicho unachopimwa nacho na kujuana ni baadae.
Kama kuna mtu unamfahamu na bado unamtetea kwasababu tu unamfahamu...Then nina mashaka kama watu hao wanaweza kutupatia viongozi wazuri kwani mambo ya kitaifa yanaweka sympathy pembeni!
WE ALL SHOULD SYMPATHISE WITH THE PEOPLE na si vinginevyo kwa sababu tu mi ni flani na namjuwa flani kuwa hawezi kuwa MKABILA WALA MDINI....Na huku tukiona wazi threads zenye mwelekeo huo wa kimajina majina...Huku wakisahau RA na ANDY.
NA WAKATI KILA KITU NI UCHAGGA HIVI UCHAGGA VILE...Na wale wa dini...Uslam hivi...Ukristo vile!
Hizo ni siasa na mimi hapa niko kwa sababu si za kisiasa...NO...Bali HAKI...HAKI AMBAYO NI SHERIA.