Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.
Naona Mheshimiwa kamix madesa unless other wise aexplain connection ya uDINI na Epa
 
kwi kwi kwi,

labda ccm ni "chama cha wazanzibar" kama "chadema kilivyo chama cha wachaga" au "cuf kilivyo chama cha wapemba" kama wengine wanavyosema hapa.

Mgaya
Hoja ya mzee wa Kijijini ina counter attack kelele za wana CCM kila siku hapa ubaoni juu ya Chadema na Ukabila na CUF udini .Hapa ni mahala muafaka wa kujua kama CCM ni wadini na Chama cha wapemba kama wanavyo taka tuamini kwamba Chadema ni NGO na chama cha Wachaga .Hii ni mada nzito so tuwe makini kuijadili tafadhali .
 
Kama A

Kama idadi = 6
Kilichoangaliwa = majina
Kinachowaunganisha = Mkoa wa Kilimanjaro
Chama = Chadema

Hivyo = Ukabila sababu ya idadi tu;

Na B

Idadi 28
Kinachoangaliwa = majina
Kinachowaunganisha = dini
Chama = CCM

Hivyo = Udini sababu ya idadi tu;


Hivyo ndani ya Chadema kuna ukabila, ndani ya CCM kuna udini:

Lakini A inakubalika lakini B inakataliwa.

Kwani A iwe kweli na B iwe uongo wakati kinachoangaliwa ni kile kile majina na idadi na siyo factors nyingine zozote?
 
MANENO HAYA YA H.E KIKWETE YAMENISISIMUA.....KIDOGOKIDOGO TUNARUDISHA HESHIMA YETU KTK MEDANI YA SIASA ZA KIMATAIFA NA KISTARABU.....

''Rais Kikwete ambaye alikuwa mwenyekiti wa kikao hicho, alimjibu Makamu huyo wa Rais wa Burundi, “Hakuna shaka kuwa nchi zote katika eneo letu la Afrika zimechangia katika kusuluhisha mgogoro wa Burundi, lakini tunapokea shukurani hizo kwa “mchango wetu mdogo na wa unyenyekevu” tuliotoa katika Burundi. Tanzania ilijihusisha na mgogoro wa Burundi kwa kiasi cha miaka 14.

Naam, nakumbuka wakati fulani Mwl. Nyerere alipata kulalama kwamba heshima yetu ktk medani ya siasa za kimataifa ilikuwa ikiporomoka kwa kasi. Akatoa mfano 'hapo zamani wajumbe wa mikutano ya kimataifa walipotaka kwenda nje kuvuta sigara, na pengine mzumgumzaji wa Tz ndie aliekuwa anafuata kuzungumza, mtu/watu hao huahirisha kwenda kuvuta sigara zao ili kusikia maneno mazito ya kupendeza ya mzungumzaji wa Tz''. Hii ilikuwa ni heshima yetu Watz.

Mh. Kikwete ameanza kuirudishia heshima ile iliyotukuka nchi yetu ktk medani ya siasa za kimataifa, na the way alivyomjibu Makamu Wa Raisi wa Burundi, sina shaka tunaongozwa na kiongozi makini, mstaarabu na mwenye weledi wa juu ktk siasa za kimataifa. BRAVO H.E Kikwete.

Tunatambua unazo changamoto nyingi hapo nyumbani, EPA, Kiwira, Zanzibar crisis etc. Lakini all we can say is that 'You will never walk alone'.
Mapambano yaendelee kupambana na ufisadi, na makashkash mengine huku ukijenga vyema taswira yetu ktk medani ya kimataifa na kulinyoosha sawasawa bara la Afrika.

Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzainia.
 
Kama A

Kama idadi = 6
Kilichoangaliwa = majina
Kinachowaunganisha = Mkoa wa Kilimanjaro
Chama = Chadema

Hivyo = Ukabila sababu ya idadi tu;

Na B

Idadi 28
Kinachoangaliwa = majina
Kinachowaunganisha = dini
Chama = CCM

Hivyo = Udini sababu ya idadi tu;


Hivyo ndani ya Chadema kuna ukabila, ndani ya CCM kuna udini:

Lakini A inakubalika lakini B inakataliwa.

Kwani A iwe kweli na B iwe uongo wakati kinachoangaliwa ni kile kile majina na idadi na siyo factors nyingine zozote?

Sio wote tunaokubali A wala B kwani vyote ni maradhi tena yasokuwa na dawa na ikiwa tutaweka mitazamo yetu huko basi tumekwisha.
 
Bi Kirembwe
Utakataa wewe lakini CCM ndiyo haswa nia yao baada ya kuona wanabanwa sasa lazima kutafuta njia za uongo .Ndiyo maana nimewahi kuonya hapa kabla kwamba kuna hii habari ya mahubiri ya ukabila kila na kusema ni NGO wanadhani sisi hatuoni .CCM ni mabingwa wa kuacha issue na kueneza uongo na sasa wame kwama.Tunaona majibu toka kwa wale wanao sema CCM ni Chama cha Umma na Chadema ni one man party .
 
Hotuba ya kikwete imetulia.Kwa kusema kweli Jk amekua makini sana katika mambo yake kipindi hiki
 
Bi Kirembwe
Utakataa wewe lakini CCM ndiyo haswa nia yao baada ya kuona wanabanwa sasa lazima kutafuta njia za uongo .Ndiyo maana nimewahi kuonya hapa kabla kwamba kuna hii habari ya mahubiri ya ukabila kila na kusema ni NGO wanadhani sisi hatuoni .CCM ni mabingwa wa kuacha issue na kueneza uongo na sasa wame kwama.Tunaona majibu toka kwa wale wanao sema CCM ni Chama cha Umma na Chadema ni one man party .

Hii ni hoja dhaifu ya kubana CCM kwani kama ni majina na nafasi ya uongozi tutasemaje kuhusu uongozi kama huu hapa chini?

Pichani ni wajumbe wa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi la London, nchini Uingereza. Viongozi wa Tawi Ndugu Maina Owino (Mwenyekiti) na Katibu wa Tawi Bi Susan Mzee walishirikiana kwa karibu na Katibu wa Siasa na Uenezi Ndugu Moses Katega na Katibu wa Uchumi na Fedha Ndugu Alan Kalinga kufanikisha kikao mjini Reading siku ya Jumamosi Juni 28 katika ukumbi wa 79 London Road. Tawi la CCM London linaundwa na Mashina ya CCM ya Manchester, Birmingham, London Kaskazini, Southampton, Reading na London Islington. Pamoja na hoja nyingine zilizoletwa na Wajumbe, kikao hicho cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Tawi la London kilijadili njia madhubuti za kuimarisha mshikamano katika Tawi.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

Ahsante.

Wako Katika Ujenzi wa Taifa

Soames Phares

Mkurugenzi wa Habari na Teknologia

Chama Cha Mapinduzi - Tawi la London, Uingereza


Source: ©Maggid | Tarehe:30.6.08[/COLOR]
 
Bikirembwe.. point ambayo nimekuwa nikiiweka ni kuwa ukabila au udini si idadi ya watu. Ukiangalia idadi tu.. unaweza kuhukumu mambo mengi tu.. tribalism, sexism, and all the other isms out there. Mtu anapokubali ukabila Chadema kwa sababu ya idadi, hana budi kukubali mambo mengine vile vile, ndio maana wengine tunapinga hii sentiment ya ukabila, au udini kwa sababu ya idadi tu.

Binafsi sijali kina nanai wananiongoza as long as wamepata nafasi hizo freely, fairly, and transparently. Sijali anayeniongoza ni nini kwa kadiri ya kwamba anakula kiapo cha kulinda na kuitetea Katiba yetu na anaongoza kwa misingi ya sheria zetu. Mtu yeyote anayetaka kuleta hoja ya ukabila au udini kwa sababu tu idadi ya watu fulani haimpendezi na anashindwa kuonesha intellectual honesty ya kuangalia all logical explanation nawapinga.

Tusikubali kuangalia ukabila au udini kwa kuangalia namba, kwa sababu ukifanya hivyo tu mtu mwingine atakuja na namba nyingine na kudai kitu kingine.

I hope unapata point yangu.
 
Tunataka feza irudi kama ni Chama cha kidini au cha kikabila ,hilo ni lao na chama chao wao ndio wanaochaguana na kupigiana kura na hizo ni siasa za ndani na jukumu la kukijadili chama ni la wanachama wenyewe wakae washauriane na kupata suluhu ,ila kwenye maslahi ya Taifa tutakiandama kama chama kinachotawala Nchi hii ya Tanzania Bara na Tanzania Visiwani ,na tutakiandama kwa maslahi ya taifa tutakua nae yule ambae anajali maslahi ya Taifa au kwa msemo wa siku hizi Maslahi ya Taifa ni nambari one , hivyo hata akija Baniani na kuyageuza maisha ya Mtanzania kuwa bora na ya kupigiwa mfano basi huyo ndie atakae kuwa Chaguo na hata akiwepo malaika na akawa anahujumu mali na hazina ya Taifa hili huyo atakuwa hatufai na ni adui japo yupo pembeni mwa bwana Mungu ,hivyo hao CCM hatuwatazami dini au kabila zao tunatazama wanachokifanya na kutenda juu ya Taifa hili huru lililo na utajiri wa kila fani kwa kila kigezo tutawahoji kutokana na maslahi ya Taifa na wananchi wake kama ndani yake wamo wanaolifisidi Taifa hili kwa maslahi yao binafsi basi hao ni maadui wa leo na kizazi kinachokuja wechilia mbali dini zao ,sisi wananchi hazituhusu kabisa kwani kila mtu atabeba mzigo wake ,hivyo tunawaandama CCM kwa vile wao ndio wapo kwenye usukani kuliendeleza Taifa hili wanapovuruga na kuona hawafai tutawashika mashati hata kama wamebeba tasubihi na misalaba au masanamu ,ili watueleze ilikwenda kwenda je hata hali ya nchi ikakumbwa na matukio ya wizi wa mabilioni na lini fedha hizi zitarudishwa na washiriki kutiwa hatiani ,haiwezekani mambo yaishe kwa kujiuzulu tu ,hilo halikubaliki katika kiwango cha kulinda maslahi ya Nchi , CCM ikiwa imeshindwa kuithibiti hali hiyo na kuachiana kwa kuwa ni watu wa dini moja au kabila moja au itikadi moja ,WaTanzania walio wengi hawatakubali hilo lipite tu hivi hivi na kila kukicha chemchem ya madi inakuja juu na siku ikilipuka basi maeneo yake ni kwenye ikulu zote za Tanzania Jumba la wabunge na vile vile kukisakama Chama cha CCM kiachie madaraka haraka iwezekanavyo ,itakuwa hakuna kulala kama mna udini ni wenu ndani ya Chama chenu wengine hayawahusu tunataka feza muirudishe. CCM jadilianeni wenyewe kuhusu chama chenu na jipangeni safu mtaklavyo halafu muwakamate wezi wetu warudishe vijisenti hivyo hivyo na umasikini wetu tutagawana kwa kila penye mahitajio.
 
Sijali anayeniongoza ni nini kwa kadiri ya kwamba anakula kiapo cha kulinda na kuitetea Katiba yetu na anaongoza kwa misingi ya sheria zetu.
Mwkjj,
Hapo juu ndipo pagumu kwa mazingira yetu,kutenda haki , usawa na kufuata sheria ni vigumu na ndipo malalamiko mengi yanatokea hapo.kutumia logic pekee yake si rahisi hivyo.
 
Si afadhali hata Chadema top 4 leaders are from different ethnic kacgrounds,nooow hebu tucheki CCM top 4 leaders,3/4 ni wa dini moja.m/kiti muislam,katibu muislam,makamu m/kiti Zanzibar muislam,makamu bara ndiye mkristo tu.Lakini tukisema ile dini ya ufisadi nadhani 100% au 4/4 wote ni wa dini moja.Sasa hapa si ndio udini ata its best? kaazi kweli kweli
 
Si afadhali hata Chadema top 4 leaders are from different ethnic backgrounds,nooow hebu tucheki CCM top 4 leaders,3/4 ni wa dini moja.m/kiti muislam,katibu muislam,makamu m/kiti Zanzibar muislam,makamu bara ndiye mkristo tu.Lakini tukisema ile dini ya ufisadi nadhani 100% au 4/4 wote ni wa dini moja.Sasa hapa si ndio udini ata its best? kaazi kweli kweli
 
Bikirembwe.. point ambayo nimekuwa nikiiweka ni kuwa ukabila au udini si idadi ya watu. Ukiangalia idadi tu.. unaweza kuhukumu mambo mengi tu.. tribalism, sexism, and all the other isms out there. Mtu anapokubali ukabila Chadema kwa sababu ya idadi, hana budi kukubali mambo mengine vile vile, ndio maana wengine tunapinga hii sentiment ya ukabila, au udini kwa sababu ya idadi tu.

Binafsi sijali kina nanai wananiongoza as long as wamepata nafasi hizo freely, fairly, and transparently. Sijali anayeniongoza ni nini kwa kadiri ya kwamba anakula kiapo cha kulinda na kuitetea Katiba yetu na anaongoza kwa misingi ya sheria zetu. Mtu yeyote anayetaka kuleta hoja ya ukabila au udini kwa sababu tu idadi ya watu fulani haimpendezi na anashindwa kuonesha intellectual honesty ya kuangalia all logical explanation nawapinga.

Tusikubali kuangalia ukabila au udini kwa kuangalia namba, kwa sababu ukifanya hivyo tu mtu mwingine atakuja na namba nyingine na kudai kitu kingine.

I hope unapata point yangu.



Unajua hawa wenzetu wanapenda kusemea ukabila kwa kuangalia idadi ya watu,so na hata mimi nimeona niwaonyeshe udini kwa kutumia assumptions hio hizo na tena kwa kutumia the senior most leaders.Kazi kweli kweli
 
Kubwajinga, hata mimi siamini macho yangu.

Sikiliza, hawa Wazee wetu ni incompetent wa kutupwa.

Ni hivi ndio nchi imekuwa ikiendeshwa karne zote hizi toka uhuru.

Ni siku hizi ndio tunaanza kushitukia madudu ya tunavyo run hii Jamhuri.

Majuzi tulishuhudia hoja ikipindishwa kwamba suala la Meremeta halipaswi kuzungumziwa na wabunge wa kitanganyika kwa kuwa ni la "usalama wa taifa". Je kuwaachia vijana wa silicon valley waratibu mazungumzo ya ikulu sio breach ya national security? Hiki ni kichekesho cha mwaka!!!!

Hii inazidi kutudhihirishia kwamba kuna mtu nyingi sana serikalini zinakalia vyeo visivyowastahili. Kama kweli watu hawa wangekuwa wanafanyiwa evaluation ya shughuli zao lazima wengi wangetemwa kilaini mno... Incompetency ya kiasi hiki haistahili kuvumilika...
 
Majuzi tulishuhudia hoja ikipindishwa kwamba suala la Meremeta halipaswi kuzungumziwa na wabunge wa kitanganyika kwa kuwa ni la "usalama wa taifa". Je kuwaachia vijana wa silicon valley waratibu mazungumzo ya ikulu sio breach ya national security? Hiki ni kichekesho cha mwaka!!!!

... Incompetency ya kiasi hiki haistahili kuvumilika...

Mimi nilikuwa nimeangalia from a professional standpoint only, kwamba huwezi kutumia e-mail ya Yahoo proffesionally.

Hilo la vijana wa silicon valley kuwa na access ya e-mail za Ikulu sikuliona kabisa. Yani haya ni mahoka!

Ni nani huwa wana m-contract kuwashauri kwenye mambo ya IT?

Umeshawahi kutembelea website ya Bunge kutafuta document au bio ya Mbunge?

Kama hujawahi, acha. You don't wanna punch your PC screen!
 
Tunataka feza irudi kama ni Chama cha kidini au cha kikabila ,hilo ni lao na chama chao wao ndio wanaochaguana na kupigiana kura na hizo ni siasa za ndani na jukumu la kukijadili chama ni la wanachama wenyewe wakae washauriane na kupata suluhu ,ila kwenye maslahi ya Taifa tutakiandama kama chama kinachotawala Nchi hii ya Tanzania Bara na Tanzania Visiwani ,na tutakiandama kwa maslahi ya taifa tutakua nae yule ambae anajali maslahi ya Taifa au kwa msemo wa siku hizi Maslahi ya Taifa ni nambari one , hivyo hata akija Baniani na kuyageuza maisha ya Mtanzania kuwa bora na ya kupigiwa mfano basi huyo ndie atakae kuwa Chaguo na hata akiwepo malaika na akawa anahujumu mali na hazina ya Taifa hili huyo atakuwa hatufai na ni adui japo yupo pembeni mwa bwana Mungu ,hivyo hao CCM hatuwatazami dini au kabila zao tunatazama wanachokifanya na kutenda juu ya Taifa hili huru lililo na utajiri wa kila fani kwa kila kigezo tutawahoji kutokana na maslahi ya Taifa na wananchi wake kama ndani yake wamo wanaolifisidi Taifa hili kwa maslahi yao binafsi basi hao ni maadui wa leo na kizazi kinachokuja wechilia mbali dini zao ,sisi wananchi hazituhusu kabisa kwani kila mtu atabeba mzigo wake ,hivyo tunawaandama CCM kwa vile wao ndio wapo kwenye usukani kuliendeleza Taifa hili wanapovuruga na kuona hawafai tutawashika mashati hata kama wamebeba tasubihi na misalaba au masanamu ,ili watueleze ilikwenda kwenda je hata hali ya nchi ikakumbwa na matukio ya wizi wa mabilioni na lini fedha hizi zitarudishwa na washiriki kutiwa hatiani ,haiwezekani mambo yaishe kwa kujiuzulu tu ,hilo halikubaliki katika kiwango cha kulinda maslahi ya Nchi , CCM ikiwa imeshindwa kuithibiti hali hiyo na kuachiana kwa kuwa ni watu wa dini moja au kabila moja au itikadi moja ,WaTanzania walio wengi hawatakubali hilo lipite tu hivi hivi na kila kukicha chemchem ya madi inakuja juu na siku ikilipuka basi maeneo yake ni kwenye ikulu zote za Tanzania Jumba la wabunge na vile vile kukisakama Chama cha CCM kiachie madaraka haraka iwezekanavyo ,itakuwa hakuna kulala kama mna udini ni wenu ndani ya Chama chenu wengine hayawahusu tunataka feza muirudishe. CCM jadilianeni wenyewe kuhusu chama chenu na jipangeni safu mtaklavyo halafu muwakamate wezi wetu warudishe vijisenti hivyo hivyo na umasikini wetu tutagawana kwa kila penye mahitajio.

Du, sijapata kuona sentensi ndefu kama hii, mzee mwiba, punctuations pleas, utauwa watu tehetehetehete... sorry for going of the line
 
Naona hii ndiyo thread pekee nitakayoanza kuchangia kwani hata MEGAPAYNE MWENYEWE KANIKARIBISHA HAPA!
Ndugu zangu kuna watu wananichongea ili nifungiwe hapa kwasababu ya kitendo changu cha kupinga hoja za udini na ukabila!
Sasa nimepewa warning...Na mimi nimemwomba mod huyo anipe list ya watu ambao hawataki nichangie thread zao ili kuepuka kufungiwa...Na kwa hivyo basi...Kuna watu kama Mafuchila na Megapayne na wengineo ambao najuwa hawana noma nikichangia mijadala hii bila matusi wala kwenda personal!
Once again nashukuru MegaPAYNE kwa ukarimu wako na pia sasa ni muda wa kujiandaa na NONDOZ ili kieleweke!
Pia kama kuna yule asiyetaka nichangie kwenye thread yake naomba ani PM kabla ya kwenda kunichongea ili nifungiwe.

Pole Mushi kwa masahibu yanayokukuta. Lakini, wanakuchongea kwa sababu unachangia thread zao au kwa sababu unayoyaandika? Kama wanakuchongea kwa sababu unachangia thread zao, mimi sitaki kuamini mpaka nitakapopata uhakikisho lakini nianze kwa kuonya tu kuwa kama ndivyo hivyo, huko tutakuwa tunakwenda kubaya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom