Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
And who cares if you are Rev Kishoka or Rev SHETANI?
hii topic sio siasa tena ila ni udini tuu,nilijua topic kama hizi zinainvolve emotions za watu kwa hiyo hapo dini mbele then siasa baadaye...dini is so powerfull,bora hamishia hii kule kwenye imani na dini ili mkakutane na kina mtindio wa ubongo muone alivyochanganyikiwa
I do not give a damn about what you think about me. Yes ni Rev. Shetani, nina Limkia kubwa jekundu na mapembe kwenye kichwa! Nakusubiri motoni!
Gamba,
I will repeat in a different mannaer. I do not care if 75% of CCM leadersship is made up of people of Islamic faith. Same thing if it was 100% Islam or Christian.
May be you jumped into conclusion that I am vindicative due to my REV. title.
Bottom line I do not care about your religion, what i care is if you have passion to lead and delibver and not otherwise. In the past, there have been outcries that Waislamu have no enough representation in Bunge, Serikali or Mawaziri. I say let them take over 100% because at the end what matter it not about your faith but if you can be faithful to Jamhuri and deliver results.
I despise anyone who thinks having religious upper hand makes them better deliveres of quality leadership or that they will resolve critical issues that affect our nation.
May be you do not know my stand on issues and you come in here assuming that just because I am a Rev. then I am short sighted.
Matatizo ya Watanzania si ya Waislamu pekee, ni ya Wapangani na Wakristo. ndio maan animesema, sijali ni dini gani uliyonayo, wajibu wako ni kuhakikisha kama kongozi unaongoza kupiga vita Ujinga, Umasikini na Maradhi. la nyingeza ni kuwa Utatumia uongozi wako na madaraka kwa hekima kuhakikisha kuwa Haki na Usawa unatumika na sii Imani yako ya kibaguzi ya kidini.
Finally, as Christian I have no fear if 110% of leadership is made up by Moslems!
My own progression as human being and development to get away from poverty does not come from going to church and preach that Islam is bad religion. My success will come due to hard working, being ethical and just.
Yes I am christian by faith and I care about my faith and religion, however if I am strong on my faith and spirituality, why should I be worried about Moslems being leaders? how does that interfere with my progression? Yes i will be vocal if they will try to impose their faith as the only way of living in my country, if they will decide that I as Christioan has no place in Tanzania where I can enjoy my Freedom, than I can have Kiti Moto without fear of kutupiwa moto or Fatwa!
Tanzania as country and its constitution and laws have no rligion. Its people though are from different faiths. So what leads and governs Tanzania is its Constitution and Laws, not a Bible, Quran or Mbuyu!
__________________
Amani Iwe Nanyi,
Revolutionary Right Reverend Kishoka
"Any existence deprived of freedom is a kind of death." Gen. Michel Aoun
Yamekugusa nini?
Umeshaamua hatima ya thread!
Hehehehehe....wale vinara wa udini naona wameuchuna leo...
Duh! sikujua kuwa lishetani lina limkia jekundu na mapembe halafu linaishi motoni.Damn!! That's scary
Rev Kishoka.
according to you The one who signed the buzwagi contract is From Masjid leadership, and according to you has no skills, he cant deliver,and so on!
according to your statement, the one who did illegal bussines and authorized heavy-burden Radar deal while in the state house is From Masjid leadership and according to you he has no skills, he cant deliver and so on!
.
sumu ya ubaguzi huwa haikomi.. ikishaingia kwenye kundi fulani basi kundi hilo huanza wa kubagua. Likimaliza kubagua linatafuta kipimo kingine cha kutumia kubagua. Ukishabagua makabila na kuamua kabila fulani ni duni halistahili, basi unaenda kwenye kipimo kingine; dini. Ukishawabagua watu kwa dini, ukimaliza utajiuliza "hivi wengi ni dhehebu gani?" hivyo utaanza kuwatenganisha Sunni na Shia, Wakatoliki na Waprotestanti n.k mwisho unaweza kujikuta unaanza kubagua watu kwa kuwaanangalia (nani anafanana na Mtutsi)..
La maana ni lazima tuukatae ubaguzi mapema unapojitokeza. Ratio ya CC inasema wajumbe saba kutoka pande zote mbili za Muungano (which is absurdy in itself) hiyo kutoka Zanzibar you'll probably get all seven wakiwa ni Waislamu. Halafu ukija bara wale saba hata wakristu wakiwa wanne bado kwenye general membership utakuta waislamu 10.. Sasa ukija na nafasi za viongozi wanaoingia kwa nyadhifa zao Kikwete, Shein, Karume, Makamba bado namba ya Waislamu inaongezeka. So, hilo ni jambo la mantiki, utaweza kuepuka vipi isipokuwa useme "Zanzibar ichague wakristu, au Bara ilete wagombea wakristu tu" .. na ukishafanya hivyo.. ile sumu itakuwa imekuingia!!
Kuna mtu aliwahi kusema hapa kuwa kuna makubaliano ndani ya ccm kuwa na uwakilishi sawa wa dini kubwa nchini za uislam na ukristo. Matokeo ya uchaguzi dodoma yanaonyesha kuwa waislam sasa wana-nafasi asilimia 75 ya uongozi wa ccm.