Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,486
- 2,315
Narudia tena, “kila kizuri kina ubaya wake and vice versa” nadhani hii ilitosha kukufanya uelewe maana unaongea as if hiyo Modernization haina madhara tena makubwa tu yaliyojitokeza kwa binadamu, wanyama, mimea na universe kiujumla.Kwa hiyo watu watembee uchi kwa sababu zamani mavazi hayakuwepo? Duni imepambana sana kufika hapa tulipo kuna madhara makubwa kwa baadhi kulazimisha kuishi tulipotoka, maana tulipotoka kulikuwa na mambo mengi na kulikuwa na mapungufu mengi pia.
Utataka leo watu wasiende shule shule sababu zamani kulikuwa hakuna mashule?
Watu watembee uchi sababu zamani hapakuwepo nguo?
Baadhi ya jamii ziendelee kuua na kuwala watu wa jamii nyingine sababu siyo wa jamii yao?
Watu waendelee na maisha ya uwindaji na kulala maprini sababu zamani waliishi hivyo?
Kusiwe na sheria wala restrictions kwa sababu zamani hazikuwepo kama za hivi sasa
Modernization ina mambo mengi mazuri ila kuna vijikunda vinapenyeza ya kwao hapo ndipo wanapotaka kutuharibia modernization.
Elewa, lengo kuu la uwepo wa binaadam ni kuhakikisha anai modenise na kui covilize dunia na jamii zake.
Swala sio kurudi porini, mind you that there’s still a society of humans living in the bush till this moment, yet life goes on.
End of the day, ni nani hasa mwenye kipimo cha kusema haya mavazi ni ya heshima? Huu mnyoo kwa mwanaume ni sahihi!!! Na vitu kama hivyo. Mi nadhani civilization iendane na asili ya sehemu husika, utamaduni na mila as ustaarabu wa mzungu unaonekana haifai kwa Muarabu, same applies kwa jamii nyingine nyingi zilizojitambua na kuweka misingi yake. Kwa Zanzibar ni copy and paste, kama mtu kavaa skin jeans yake utasema yupo uchi?
