GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Ushenzi Udhalili shaji na Ubaguzi kwa Ccm Zanzibar ni jadi yao kuwafanyia Wazanzibari hasa Wana nchi wa Pemba. Sasa hivi Kijana Mwanaume anae shuka bandari za Pemba Wana katwa nywele kipara na ukivaa jeans na track suit zinachanwa. Badala kupambana na Corona wanakimbilia ushenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app