Udhalilishaji waendelea Kisiwani Pemba Zanzibar

Udhalilishaji waendelea Kisiwani Pemba Zanzibar

Kwanza nivyema ukakisoma hicho kitabu cha muhammad, mana pia kimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.

Usisahau kuwa zanzibar (pemba) hakuna machafuko,
pemba kuna amani sana. Hata ukiskia vurugu za zanzibar ni vurugu za kisiasa sio zakidini nadhani sio mdai wa hayo.

Pemba ni sehem iliyojijengea heshima kubwa ndani ya visiwa vya zanzibar na kwa baadhi ya jamii za huku tanganyika.

Kisha pemba hakuna jinai yeyote ya kusikiliza nyimbo za hip hop. Bila ya kuingiza imani yako unaweza kuongea na kueleweka.

Zanzibar pia kuna wasanii wa hip hop na wanatambulika kwenye baraza la sanaa la zanzibar Kama "SONGA" ambae nimsanii mzuri wa hizo nyimbo za hip hop.
Pia zanzibar kuna waimbaji wa R&B kama "sultan king". Pia pemba kuna waimbaji wa taarabu nadhani ni maarufu pia. Pemba wana nyimbo zao za asili ambazo hazipo kwenye dini ya kiislam

NB: Zanzibar ndo sehemu pekee yenye chimbuko la ustaarabu tanzania nzima na isiwe tanzania bara au tanganyika. (Bila ya zanzibar usingelistaarabika)

Note: mm sio mzanzibari

Sent using Jamii Forums mobile app
ww mwarabu koko wa bopwe naona unatype ukiwa hapo mtemani, mwambie mkuu wako wa wilaya anisubiri hapo Mtemani nipo njiani natokea Limbani nina uduku wangu kichwani na jeans yangu tight, athubutu kunigusa na mkasi atajuta, ataenda kuwasimulia sisiemu tutakachomfanya, tunafahamu kwake, tunamfahamu mwenza wake,familia yake yote tunawafahamu!
Atarajie retaliation
 
Nchi ikishakuwa na itikadi za kiislamu, tegemea ghasia, machafuko na matatizo makubwa sana ambayo yanaenda mpaka kwenye mizizi ya serikali!

Huwa natamani nijue hicho kitabu cha muhamadi kinawajaza nini vichwani hawa ndugu zetu waarabu koko!

Nasikia hata kusikiliza mziki wa rick rose ni kosa la jinai unaweza kukatwa hata mapanga!

Duh!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu sasa mbona unaleta udini? matendo yanayofanywa na CCM yanauhusiano gani na mambo ya Uislamu?
 
ww mwarabu koko wa bopwe naona unatype ukiwa hapo mtemani, mwambie mkuu wako wa wilaya anisubiri hapo Mtemani nipo njiani natokea Limbani nina uduku wangu kichwani na jeans yangu tight, athubutu kunigusa na mkasi atajuta, ataenda kuwasimulia sisiemu tutakachomfanya, tunafahamu kwake, tunamfahamu mwenza wake,familia yake yote tunawafahamu!
Atarajie retaliation
Hapana mimi sio mtu wa maeneo hayo ingawa nilisoma pemba chasasa secondary school na nikakaa hostel za utaani lakini sio mzanzibari.
Ila naielewa vyema pemba na naelewa vizuri unguja.

TWENDE KWENYE POINT

Awali tambua kua sio kila kitu kinahitaji ushabiki na mihemko. Kuna vitu vyengine vinahitaji busara kujitambua yani kujua nini unafanya, kwasababu gani na faida gani utapata? Jiulize kabla hujafanya chochote

kutumia jamiiForum sio kipimo cha akili yako. Wazanzibar munapenda kujitapa na kujidai kwenye suala la umoja na mshikamano lakini tambua kua kwenye msafara wa mamba na kenge wamo.
Unaemuhisi leo ni msaada kwako usishangae kesho akakuruka kizimbani na mitiulaya.

Kwenda kumhujumu yeye na familia yake hilo ni lakwako wewe na familia yako. Kikubwa ni kujiuliza ukifanya hujuma yeyote je wewe utabaki salama?

NB :
i) Usitumie mihemko kwenye kutoa maoni.
ii) Fata kanuni za uandishi unapoandika maelezo yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nivyema ukakisoma hicho kitabu cha muhammad, mana pia kimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.

Usisahau kuwa zanzibar (pemba) hakuna machafuko,
pemba kuna amani sana. Hata ukiskia vurugu za zanzibar ni vurugu za kisiasa sio zakidini nadhani sio mdai wa hayo.

Pemba ni sehem iliyojijengea heshima kubwa ndani ya visiwa vya zanzibar na kwa baadhi ya jamii za huku tanganyika.

Kisha pemba hakuna jinai yeyote ya kusikiliza nyimbo za hip hop. Bila ya kuingiza imani yako unaweza kuongea na kueleweka.

Zanzibar pia kuna wasanii wa hip hop na wanatambulika kwenye baraza la sanaa la zanzibar Kama "SONGA" ambae nimsanii mzuri wa hizo nyimbo za hip hop.
Pia zanzibar kuna waimbaji wa R&B kama "sultan king". Pia pemba kuna waimbaji wa taarabu nadhani ni maarufu pia. Pemba wana nyimbo zao za asili ambazo hazipo kwenye dini ya kiislam

NB: Zanzibar ndo sehemu pekee yenye chimbuko la ustaarabu tanzania nzima na isiwe tanzania bara au tanganyika. (Bila ya zanzibar usingelistaarabika)

Note: mm sio mzanzibari

Sent using Jamii Forums mobile app

Mujarab


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar sio nchi ya kidini bali ni nchi yenye wakazi wengi waisilamu. Kuwa nchi yenye waisilamu wengi, hakutoi haki yoyote ya kuwalazimisha wkuvaa au kuwa ni mitindo inayoridhisha waisilamu wa maeneo hayo. Mnasema ni mashoga ili mjipe uhalali wa kuingilia uhuru wa wengine. Kama wewe unashinda na kanzu, suruali nusu uwanja na kuvaa makobazi, sio kila mtu lazima awe kama ww. Nyie mnao fanya hivyo kwa kisingizio cha maadili, huo ni uhalifu kama uhalifu mwingine. Kama hao vijana wanavunja sheria yoyote ya kuvaa hivyo, badala ya kuwadhalilisha wapelekeni mahakamani mkadhibitishe hayo makosa yao.


Uko sahihi sana, lakini vingapi vimewekwa hapa jukwaani na ushaidi juu lakini hakuna stahiki, kiasi kwamba udai ushahidi kwenye hili?
Hoja yangu sio kwamba nafurahia watu kuchaniwa nguo au kunyolewa. Nataka tu kujua kama hii habari ni ya kweli isije ikawa uzushi. Na kama ni kweli basi ni makosa. Maana hata huku bara ofisi za serikali wanazuia baadhi ya mavazi. Lakini hawawezi kukuchania ila watakuambia usiingie.
 
Hio ni yakweli kwa ushahidi wa video ikionesha jins walivotenga office za konyolea nywele kwa mikasi tena bila ya ustadi wa kunyoa na wanachana nguo bila ustadi. Pia wakuu wa wilaya wanahimiza uteji kazi wa zoezi hilo
Hoja yangu sio kwamba nafurahia watu kuchaniwa nguo au kunyolewa. Nataka tu kujua kama hii habari ni ya kweli isije ikawa uzushi. Na kama ni kweli basi ni makosa. Maana hata huku bara ofisi za serikali wanazuia baadhi ya mavazi. Lakini hawawezi kukuchania ila watakuambia usiingie.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom