ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,282
- 541
Wadau waswahili wanasema mficha uchi hazai mi naomba leo nitoe kero yangu ili moyo wangu ubaki safi....
Kuna hili tangazo la jay milions, kila nikiskia nazima radio hapo hapo na hasira zinanipanda mbaya ss nahisi afya ya moyo wangu haitakaa vizuri unless nifunguke.
Hivi nyie wachaga inakuaje mnakubali tangazo lile liendelee kurushwa hewan wkt linadhalilisha utu wa mchaga...??
Yani et "mwanaume" wa kichaga anampigia simu "mwanaume" wa kihaya na kumwomba mil 100 za mtaji hivi nyie wachaga are u serious kweli??? Yani mwanaume mzima tena mchaga unamwomba mwanaume mwenzako mtaji??? Mwanaume mwenyewe mhaya??? Kwel?? Yani off all people wahaya ndo wakuwaomba mtaji??
Nadiriki kusema mnatudhalilisha sana kukaa huko mjini na kujivunia uchaga wenu huku mkiruhusu wapuuzi wachache waharibu heshima ya mwanaume wa kichaga.
Shame on u all, shame on u JAY, shame on u marketing manager, shame on u ulioigiza hilo tangazo.
Mwanaume wa kichaga kamwe sio wakuomba mtaji kwa mwanaume mwenzake mwanaume wa kichaga ni MPAMBANAJI.
Kuna hili tangazo la jay milions, kila nikiskia nazima radio hapo hapo na hasira zinanipanda mbaya ss nahisi afya ya moyo wangu haitakaa vizuri unless nifunguke.
Hivi nyie wachaga inakuaje mnakubali tangazo lile liendelee kurushwa hewan wkt linadhalilisha utu wa mchaga...??
Yani et "mwanaume" wa kichaga anampigia simu "mwanaume" wa kihaya na kumwomba mil 100 za mtaji hivi nyie wachaga are u serious kweli??? Yani mwanaume mzima tena mchaga unamwomba mwanaume mwenzako mtaji??? Mwanaume mwenyewe mhaya??? Kwel?? Yani off all people wahaya ndo wakuwaomba mtaji??
Nadiriki kusema mnatudhalilisha sana kukaa huko mjini na kujivunia uchaga wenu huku mkiruhusu wapuuzi wachache waharibu heshima ya mwanaume wa kichaga.
Shame on u all, shame on u JAY, shame on u marketing manager, shame on u ulioigiza hilo tangazo.
Mwanaume wa kichaga kamwe sio wakuomba mtaji kwa mwanaume mwenzake mwanaume wa kichaga ni MPAMBANAJI.