what is uchaga by the way.... hakuna wachaga masikini? hakuna wachaga wanaotumikishwa? unahisi we kuwa mchaga ndo kumiliki pesa? shame on you.... hujajielewa... any body ambae ni mpambanaji anaweza kutoka tu kimaisha.... endelea kukariri ukabila wenzio wanapiga hatua Hata kama si Wachaga.
Msiwashambulie wachaga kwa mawazo mgando ya huyu hayawani aliyeleta uzi.... Ukabila siyo kitu ktk kutafuta pesa na maisha.....huyu jamaa hajielewi..... Mchaga hana tofauti na binadamu wengine hapa chini ya jua...........
House Maid Wangu Tu Ni Mchaga Sasa Na Hapa Sijui Atasemaje. Sasa Nimeamini Kwanini Hili Kabila Haliaminiki Kupewa Mamlaka Kiutawala.
Bank ni taasisi sio kama lile tangazo meku linadhalilisha sana.