Udalali wa Zitto & Co kwa makampuni ya gesi na mafuta

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Kwa mtu ambae haelewi ama hajui anaweza kusoma hoja za Zitto na wenzake kina Heche, Lema nk kwamba wana hoja ya maana sana kumbe hakuna kitu. Tunaojua tunajua hao ni madalali kama madalali wengine wale aliosema Lukuvi walipe kodi.

Bora hao madalali wa vyumba na nyumba na viwanja, hawa kina Zitto ni madalali wa rasilimali za nchi.

Kwanza turudi kwenye facts, hizi ni world wide acceptable facts, sio assumptions wala projections, ni facts. Hizi ukienda Google utazikuta na ukienda kwenye field hata China utazikuta, hazibadiliki.

Kuzalisha unit moja ya umeme kwa gesi kwa pesa za kitanzania ni shilingi 147, maji ni 36, nuclear ni 65, jua ni 103.5, mafuta ni 446, upepo ni 103.5, joto ardhi ni 114.5 na makaa ya mawe ni 118 kwa uchache.

Tufanye hesabu za kawaida, kujenga mtambo mmoja wa gesi, mfano Kinyerezi 2 imegharimu zaidi ya bilioni 650 ama Dollar milioni 295 za Marekani. Hii ni taarifa ya serikali, soma hapa chini tumeijadili hio humu. Huo mradi unazalisha megawati 240.
Kwa hiyo tukijenga kinyerezi 4 gharama yake ni 650x4=2.6T sawa na Megawati 960. Hivyo tutahitaji 6.5T kujenga kinyerezi 10 zenye kupata megawati 2,400.

Kwa hiyo tunakubaliana kwamba gharama za kuzalisha megawati 2400 za gesihazina tofauti na gharama za kuzalisha 2115 za maji za bwawa la Nyerere.

Hilo la kwanza, jambo la pili, changamoto ya mitambo ya gesi ni gharama za matengenezo, mitambo ya gasi ina gharama kubwa sana za matengenezo na hilo liko wazi. Gas turbines zina maintenance costs kubwa sana kuliko mitambo ya maji, maji ukiweka mtambo leo unaweza kuchukua miaka 15 ndio ukafanya overhaul maintance ila gesi ni kila mwaka ama baada ya mwaka mmoja inahitaji matengenezo makubwa.

Hivyo gesi ina gharama mara 3 ya gharama za maji lakini pia ina gharama kubwa sana za matengenezo.

Jambo lingine, nimwahi kumsikiliza mkuu wa TPDC akisema gesi ya kuzalisha umeme inauzwa bei ghali Tanzania kwa sababu visima vyote vya gesi ni vya wageni, sio vya Watanzania, tpdc wakasema wamepewa hela na serikali wachimbe visima vyao 2 ili wauzie TANESCO ili kushusha bei ya umeme. Kwa hiyo gesi inayochimbwa sio yetu, ilishauzwa na watanzania wenzetu tuliowapa dhamana, hivyo tutalazimika kuinunua kwa bei ghali, hilo liko wazi kabisa.

Sasa, kwa kua hizo hesabu za hapo juu za unit cost per kilowatt ni za kidunia, ukija kwetu ziko zaidi ya mara 3 yaani unit cost per kilowatt Tanzania ni shilingi zaidi ya 400 sawa na kuzalisha umeme kwa mafuta mazito (Nyakato 60MW) na hii ni kwa sababu gesi sio yetu, tulishaiuza hivyo itabidi gesi tuinunue kwa bei kubwa na gharama ya umeme lazima itakua kubwa. Sasa hivi tpdc ananunua gesi halafu anaiuzia tanesco, unit moja ya umeme ni zaidi ya 400.

Je tuendelee kutumia gesi ambayo ni gali zaidi ya mara 3 kwa bei za kawaida ila kwa kua tumeiuza gharam zake zinaenda zaidi ya mara 12 kwa sasa ama tutumie maji ya bure kabisa ya Mungu ambayo hatununui kwa mtu? Lakini pia gesi bado tutakua na gharama za juu za matengenezo ya mitambo yake.

Ukisikia mtu anasema eti umeme wa maji umepitwa na wakati ujue huyo ni eidha dalali ama haelewi anachokisema, ni mjinga ila kwa watu kama Zitto wanajua wanachokisema, walishahongwa tayari.

Angalia nchi ambazo zinajenga hydro power hadi leo, hadi nchi za mabwana zao kama Canada wanajenga Hydro Power Plant.
Ama Canada hawajui kua maji yamepitwa na wakati? Canada, Brazil, Paraguay, China, Ghana, Eithiopia, India na nchi kadha wa kadha wao hawajui kua maji ni unreliable and unsustainable, mbona wao bado wanajenga hydro plants?

Angalia hapa, China anajenga Baihetan Hydro Power project yenye megawati 16,000 ambayo itakua ndio plant ya pili kwa ukubwa China, bado haijakamilika, je China hawajui kua maji ni unreliable and unsustainable source of electricity wajikite kwenye gesi?
Bado china ana mpango wa kujenga hydro project kubwa kuliko zote Duniani ya kutoa Megawati laki 6
Hii Red Rock Hydro Power inayojengwa Iowa Marekani, Je marekani hawajui kua maji ni unreliable and unsustainable and outdated source of electricity watumie gesi pekee?

Zitto na wenzako tunajua nyie ni madalali, mmeshalipwa mpige kelele, pigeni tu.
 
hiyo gesi inayochimbwa sio yetu, ilishauzwa na watanzania wenzetu tuliowapa dhamana, hivyo tutalazimika kuinunua kwa bei ghali, hilo liko wazi kabisa.
Unajua gharama za kudrill na kuigeuza kutoka kimiminika hadi kuwa gesi? tena ile ya Mnazi Bay ndio chini ya bahari kabisa hiyo pesa na vifaa hatuna so anachimba mwingine kma tu dhahabu na sie tunapewa stahiki zetu ikiwemo kodi, mrabaha n.k kama zilivyo concession agreenents zingine otherwise hizo trillion 30+ hatuwezi zimudu wenyewe.


Kuzalisha unit moja ya umeme kwa gesi kwa pesa za kitanzania ni shilingi 147, maji ni 36, nuclear ni 65, jua ni 103.5, mafuta ni 446, upepo ni 103.5, joto ardhi ni 114.5 na makaa ya mawe ni 118 kwa uchache.
Unajua cost-effectiveness maana yake? Kwamba gharama inaweza kubwa ila ina ufanisi zaidi, mfano umeme wa hydro tunaona risk zake imagine bila gesi hali ingekuwaje wakati huu wa ukame?? But gesi tuna trillion of cubic litres so supply ni reliable hivyo gharama zinapunguza risk.

Hata SGR ina gharama kuliko reli ya kawaida kma Tazara ila je tuache kujenga reli yenye ufanisi zaidi kisa gharama?? Tusiangalie gharama ya direct tu but angalia hta ufanisi, risk, na supply reliability.
 
Kwa mtu ambae haelewi ama hajui anaweza kusoma hoja za Ziito na wenzake kina Heche, Lema nk kwamba wana hojaya maana sana kumbe hakuna kitu. Tunaojua tunajua hao ni madalali kama madalali wengine wale aliosema Lukuvi walipe kodi.

Bora hao madalali wa vyumba na nyumba na viwanja, hawa kina Zitto ni madalali wa rasilimali za nchi.

Kwanza turudi kwenye facts, hizi ni world wide acceptable facts, sio assumptions wala projections, ni facts. Hizi ukienda Google utazikuta na ukienda kwenye field hata China utazikuta, hazibadiliki.

Kuzalisha unit moja ya umeme kwa gesi kwa pesa za kitanzania ni shilingi 147, maji ni 36, nuclear ni 65, jua ni 103.5, mafuta ni 446, upepo ni 103.5, joto ardhi ni 114.5 na makaa ya mawe ni 118 kwa uchache.

Tufanye hesabu za kawaida, kujenga mtambo mmoja wa gesi, mfano Kinyerezi 2 imegharimu zaidi ya bilioni 650 ama Dollar milioni 295 hii ni taarifa ya serikali, soma hapa chini tumeijadili hio humu. Huo mradi unazalisha megawati 240.

Kwa hiyo tukijenga kinyerezi 4 gharama yake ni 650x4=2.6T sawa na Megawati 960. Hivyo tutahitaji 6.5T kujenga kinyerezi 10 zenye kupata megawati 2,400.

Kwa hiyo tunakubaliana kwamba gharama za kuzalisha megawati 2400 za gesihazina tofauti na gharama za kuzalisha 2115 za maji za bwawa la Nyerere.

Hilo la kwanza, jambo la pili, changamoto ya mitambo ya gesi ni gharama za matengenezo, mitambo ya gasi ina gharama kubwa sana za matengenezo na hilo liko wazi. Gas turbines zina maintenance costs kubwa sana kuliko mitambo ya maji, maji ukiweka mtambo leo unaweza kuchukua miaka 15 ndio ukafanya overhaul maintance ila gesi ni kila mwaka ama baada ya mwaka mmoja.

Hivyo gesi ina gharama mara 3 ya gharama za maji lakini pia ina gharama kubwa sana za matengenezo.

Jambo lingine, ni.ewahi kumsikiliza mkuu wa TPDC akisema gesi ya kuzalisha umeme inauzwa bei ghali Tanzania kwa sababu visima vyote vya gesi ni vya wageni, sio vya Watanzania, tpdc wakasema wamepewa hela na serikali wachimbe visima vyao 2 ili wauzie TANESCO ili kushusha bei ya umeme. Kwa hiyo gesi inayochimbwa sio yetu, ilishauzwa na watanzania wenzetu tuliowapa dhamana, hivyo tutalazimika kuinunua kwa bei ghali, hilo liko wazi kabisa.

Ukisikia mtu anasema eti umeme wa maji umepitwa na wakati ujue huyo ni eidha dalali ama haelewi anachokisema, ni mjinga ila kwa watu kama Zitto wanajua wanachokisema, walishahongwa tayari.
Angalia nchi ambazo zinajenga hydro power hadi leo, hadi nchi za mabwana zao kama Canada wanajenga Hydro Power Plant.

Ama Canada hawajui kua maji yamepitwa na wakati?

Zitto na wenzako tunajua nyie ni madalali, mmeshalipwa mpige kelele, pigeni tu.

Mkuu Hakimu Mfawidhi heshima kwako,
Nakushukuru kwa hoja nzito ulizozitoa hata hivyo sijafurahishwa na "Character Assasination" (Hujaweka Ushahidi wa udalali wao) uliyofanya dhidi ya Zito Kabwe na wenzake. Mkuu Hakimu Mfawidhi , hebu niambie kwa hali ya nchi yetu ilivyo kwa vyanzo vya maji kutokutunza, Je uzalishaji wa umeme kwa kutumia maji ni "Reliable" ?
Ahsante
 
Kwa mtu ambae haelewi ama hajui anaweza kusoma hoja za Ziito na wenzake kina Heche, Lema nk kwamba wana hojaya maana sana kumbe hakuna kitu. Tunaojua tunajua hao ni madalali kama madalali wengine wale aliosema Lukuvi walipe kodi.
Asante kwa andiko lako zuri na analytical.

Umeme wa maji ndio best duniani kote na hauwezi kupitwa na wakati. Hao wananchi wanaoshadidia gesi ni mbumbumbu wanaoongozwa na chuki dhidi ya JPM na wakina Zitto ni makuwadi wa mafisadi. Kumtumia Zitto ni sehemu ya mkakati wa kulaghai watu kwa sababu wale wajinga watamwona Zitto kama mpinzani hivyo anachosema kina mantiki wakati siyo.

Fikiria katika mazingira haya ya kukosekana umeme bado waziri anaona kipaumbele ni kuwalipa wahindi US Dollar million 30 zaidi ya shilingi bilioni 70 kwa shughuli ya kitapeli.
 
Ndugu hakimu
Tunaomba utueleweshe vya kutosha kutokana na hii hoja yako hapa kwamba hawa watu ni madalali na wewe uko sahihi kwa hichi unachoongea hapa

Mfano umesema unit moja inayozalishwa kwa maji ni sh 36 yani iko tayari kwenda kwa mlaji
Lakini leo hii mlaji anaipata unit moja kwa zaidi ya shilingi350

Kwa elfu1000 tuseme mteja anapata unit 3
Ambazo zinazalishwa kwa shilingi 100 umeona
Kwaiyo umeme unaozalishwa kwa bilion moja aunauzwa kwa bilion 10

Kwanini tushindwe kutumia makaa kuzalisha umeme ikiwa itatucost 118 na tutauza kwa zaidi ya shilingi 300 kwa unit

Ikiwa hili liko nje ya uwezo wa shirika la umeme serikali ina nia gani na wananchi
Sekta binafsi zipo achaneni nalo mbona mnang'anga'nia






Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ni punguani pekee atakaye amini maneno ya hawa wanasiasa uchwara eti maji yamepugua ili hali sisi wakongwe tumelelewa kwa umeme wa maji kama tu bwawa la nyumba ya Mungu pale same ni man-made na halikauki linazalisha umeme miaka kibao sembuse hayo yanayotegemea mito? Ndio maana siku zote naamini hii elimu ya bure inayotolewa nowdays ni makusudi ya kufanya watanzania kuendelea kuwa mabwege
 
Unajua gharama za kudrill na kuigeuza kutoka kimiminika hadi kuwa gesi? tena ile ya Mnazi Bay ndio chini ya bahari kabisa hiyo pesa na vifaa hatuna so anachimba mwingine kma tu dhahabu na sie tunapewa stahiki zetu ikiwemo kodi, mrabaha n.k kama zilivyo concession agreenents zingine otherwise hizo trillion 30+ hatuwezi zimudu wenyewe.



Unajua cost-effectiveness maana yake? Kwamba gharama inaweza kubwa ila ina ufanisi zaidi, mfano umeme wa hydro tunaona risk zake imagine bila gesi hali ingekuwaje wakati huu wa ukame?? But gesi tuna trillion of cubic litres so supply ni reliable hivyo gharama zinapunguza risk.
Hata SGR ina gharama kuliko reli ya kawaida kma Tazara ila je tuache kujenga reli yenye ufanisi zaidi kisa gharama?? Tusiangalie gharama ya direct tu but angalia hta ufanisi, risk, na supply reliability.
Zitto Kabwe project Work!

Endeleeni kudanganya wajinga.ila
Tunaomba kamati ya bunge ya nishati na viwanda vyanzo vya maji na mabwawa yote yenye mitambo ya kuzalisha umeme wa hydroelectric ili kutuwakilisha wananchi tujiridhishe kama kweli mabwawa yamekauka.

Sababu kila kiongozi mwandamizi amekuja na kauli tofauti kuhusiana na sakata hili la mgao wa umeme na hivyo kupelekea sisi wananchi kushindwa kujua nani ndio msemakweli.
 
Zitto Kabwe project Work!

Endeleeni kudanganya wajinga.ila
Tunaomba kamati ya bunge ya nishati na viwanda vyanzo vya maji na mabwawa yote yenye mitambo ya kuzalisha umeme wa hydroelectric ili kutuwakilisha wananchi tujiridhishe kama kweli mabwawa yamekauka.

Sababu kila kiongozi mwandamizi amekuja na kauli tofauti kuhusiana na sakata hili la mgao wa umeme na hivyo kupelekea sisi wananchi kushindwa kujua nani ndio msemakweli.
Punguza siasa kijana, mpango wa taifa wa miaka mitano na ilani ya CCM inasema energy mix ndio inatekelezwa yaani umeme kutumia nishati mbadala mfano wa upepo, gesi, na geothermal. Sasa Zitto anaingiaje hapo wakati bunge lililopitisha ni lenu same to ilani imepitishwa na CCM wenzako??

Miaka yote mikataba imesainiwa na CCM ikiwemo ya kifisadi huko kwenye gesi na Tanesco sasa kwanini usilaumu chama chenu unaanza kutafuta mchawi ambaye hata bungeni hayupo?

Kamwambie aliyekutuma kuwa wananchi tunafahamu kuwa CCM inamiliki serikali zote kuanzia za mitaa hadi halmashauri, bunge, na serikali kuu so mistake yoyote lawama ni kwa CCM not otherwise

Tukutane 2025!
 
tujiridhishe kama kweli mabwawa yamekauka
Usichangie mada zilizo juu ya elimu yako!! Umeme zaidi ya 60% unategemea gesi sio maji hapa TZ. Sasa kwanini hujuma isifanyike kwenye gesi ili kuua capacity ya 60% eti watu wahujumu 40% pekee??

Hizi conspiracy theory zenu ziishe huko huko Lumumba sio kuleta ujuaji wakati hata facts of the matter hauna?
 
Kuna Tatizo gani wakiwa madalali wa Rasilimali za nchi?
Kwa mtu ambae haelewi ama hajui anaweza kusoma hoja za Ziito na wenzake kina Heche, Lema nk kwamba wana hojaya maana sana kumbe hakuna kitu. Tunaojua tunajua hao ni madalali kama madalali wengine wale aliosema Lukuvi walipe kodi.

Bora hao madalali wa vyumba na nyumba na viwanja, hawa kina Zitto ni madalali wa rasilimali za nchi.

Kwanza turudi kwenye facts, hizi ni world wide acceptable facts, sio assumptions wala projections, ni facts. Hizi ukienda Google utazikuta na ukienda kwenye field hata China utazikuta, hazibadiliki.

Kuzalisha unit moja ya umeme kwa gesi kwa pesa za kitanzania ni shilingi 147, maji ni 36, nuclear ni 65, jua ni 103.5, mafuta ni 446, upepo ni 103.5, joto ardhi ni 114.5 na makaa ya mawe ni 118 kwa uchache.

Tufanye hesabu za kawaida, kujenga mtambo mmoja wa gesi, mfano Kinyerezi 2 imegharimu zaidi ya bilioni 650 ama Dollar milioni 295 hii ni taarifa ya serikali, soma hapa chini tumeijadili hio humu. Huo mradi unazalisha megawati 240.

Kwa hiyo tukijenga kinyerezi 4 gharama yake ni 650x4=2.6T sawa na Megawati 960. Hivyo tutahitaji 6.5T kujenga kinyerezi 10 zenye kupata megawati 2,400.

Kwa hiyo tunakubaliana kwamba gharama za kuzalisha megawati 2400 za gesihazina tofauti na gharama za kuzalisha 2115 za maji za bwawa la Nyerere.

Hilo la kwanza, jambo la pili, changamoto ya mitambo ya gesi ni gharama za matengenezo, mitambo ya gasi ina gharama kubwa sana za matengenezo na hilo liko wazi. Gas turbines zina maintenance costs kubwa sana kuliko mitambo ya maji, maji ukiweka mtambo leo unaweza kuchukua miaka 15 ndio ukafanya overhaul maintance ila gesi ni kila mwaka ama baada ya mwaka mmoja.

Hivyo gesi ina gharama mara 3 ya gharama za maji lakini pia ina gharama kubwa sana za matengenezo.

Jambo lingine, ni.ewahi kumsikiliza mkuu wa TPDC akisema gesi ya kuzalisha umeme inauzwa bei ghali Tanzania kwa sababu visima vyote vya gesi ni vya wageni, sio vya Watanzania, tpdc wakasema wamepewa hela na serikali wachimbe visima vyao 2 ili wauzie TANESCO ili kushusha bei ya umeme. Kwa hiyo gesi inayochimbwa sio yetu, ilishauzwa na watanzania wenzetu tuliowapa dhamana, hivyo tutalazimika kuinunua kwa bei ghali, hilo liko wazi kabisa.

Ukisikia mtu anasema eti umeme wa maji umepitwa na wakati ujue huyo ni eidha dalali ama haelewi anachokisema, ni mjinga ila kwa watu kama Zitto wanajua wanachokisema, walishahongwa tayari.
Angalia nchi ambazo zinajenga hydro power hadi leo, hadi nchi za mabwana zao kama Canada wanajenga Hydro Power Plant.

Ama Canada hawajui kua maji yamepitwa na wakati?

Zitto na wenzako tunajua nyie ni madalali, mmeshalipwa mpige kelele, pigeni tu.
 
'Lobbying'-- hii kitu hatujaki-experience TZ na kitakuja kwA kasi Sana awamu hii
Tony blair and co.
 
Unajua gharama za kudrill na kuigeuza kutoka kimiminika hadi kuwa gesi? tena ile ya Mnazi Bay ndio chini ya bahari kabisa hiyo pesa na vifaa hatuna so anachimba mwingine kma tu dhahabu na sie tunapewa stahiki zetu ikiwemo kodi, mrabaha n.k kama zilivyo concession agreenents zingine otherwise hizo trillion 30+ hatuwezi zimudu wenyewe.



Unajua cost-effectiveness maana yake? Kwamba gharama inaweza kubwa ila ina ufanisi zaidi, mfano umeme wa hydro tunaona risk zake imagine bila gesi hali ingekuwaje wakati huu wa ukame?? But gesi tuna trillion of cubic litres so supply ni reliable hivyo gharama zinapunguza risk.
Hata SGR ina gharama kuliko reli ya kawaida kma Tazara ila je tuache kujenga reli yenye ufanisi zaidi kisa gharama?? Tusiangalie gharama ya direct tu but angalia hta ufanisi, risk, na supply reliability.
Hapo si kweli cost effective .mpaka tukawa tunajenga hilo bwawa ku visibility study za kutosha na hatuna dam la maana Kama hilo la mwalim nyerere kamwe huwezi kulinganisha na akina kidatu ambalo ni man made
 
Usichangie mada zilizo juu ya elimu yako!! Umeme zaidi ya 60% unategemea gesi sio maji hapa TZ. Sasa kwanini hujuma isifanyike kwenye gesi ili kuua capacity ya 60% eti watu wahujumu 40% pekee??

Hizi conspiracy theory zenu ziishe huko huko Lumumba sio kuleta ujuaji wakati hata facts of the matter hauna?
Huja yako ni ya kijinga sana muhalifu anaangalia volunarable source za kuweza kuhujum sio rahisi aifikie mitambo ya gesi
 
Kwa mtu ambae haelewi ama hajui anaweza kusoma hoja za Ziito na wenzake kina Heche, Lema nk kwamba wana hojaya maana sana kumbe hakuna kitu. Tunaojua tunajua hao ni madalali kama madalali wengine wale aliosema Lukuvi walipe kodi.

Bora hao madalali wa vyumba na nyumba na viwanja, hawa kina Zitto ni madalali wa rasilimali za nchi.

Kwanza turudi kwenye facts, hizi ni world wide acceptable facts, sio assumptions wala projections, ni facts. Hizi ukienda Google utazikuta na ukienda kwenye field hata China utazikuta, hazibadiliki.

Kuzalisha unit moja ya umeme kwa gesi kwa pesa za kitanzania ni shilingi 147, maji ni 36, nuclear ni 65, jua ni 103.5, mafuta ni 446, upepo ni 103.5, joto ardhi ni 114.5 na makaa ya mawe ni 118 kwa uchache.

Tufanye hesabu za kawaida, kujenga mtambo mmoja wa gesi, mfano Kinyerezi 2 imegharimu zaidi ya bilioni 650 ama Dollar milioni 295 hii ni taarifa ya serikali, soma hapa chini tumeijadili hio humu. Huo mradi unazalisha megawati 240.

Kwa hiyo tukijenga kinyerezi 4 gharama yake ni 650x4=2.6T sawa na Megawati 960. Hivyo tutahitaji 6.5T kujenga kinyerezi 10 zenye kupata megawati 2,400.

Kwa hiyo tunakubaliana kwamba gharama za kuzalisha megawati 2400 za gesihazina tofauti na gharama za kuzalisha 2115 za maji za bwawa la Nyerere.

Hilo la kwanza, jambo la pili, changamoto ya mitambo ya gesi ni gharama za matengenezo, mitambo ya gasi ina gharama kubwa sana za matengenezo na hilo liko wazi. Gas turbines zina maintenance costs kubwa sana kuliko mitambo ya maji, maji ukiweka mtambo leo unaweza kuchukua miaka 15 ndio ukafanya overhaul maintance ila gesi ni kila mwaka ama baada ya mwaka mmoja.

Hivyo gesi ina gharama mara 3 ya gharama za maji lakini pia ina gharama kubwa sana za matengenezo.

Jambo lingine, ni.ewahi kumsikiliza mkuu wa TPDC akisema gesi ya kuzalisha umeme inauzwa bei ghali Tanzania kwa sababu visima vyote vya gesi ni vya wageni, sio vya Watanzania, tpdc wakasema wamepewa hela na serikali wachimbe visima vyao 2 ili wauzie TANESCO ili kushusha bei ya umeme. Kwa hiyo gesi inayochimbwa sio yetu, ilishauzwa na watanzania wenzetu tuliowapa dhamana, hivyo tutalazimika kuinunua kwa bei ghali, hilo liko wazi kabisa.

Ukisikia mtu anasema eti umeme wa maji umepitwa na wakati ujue huyo ni eidha dalali ama haelewi anachokisema, ni mjinga ila kwa watu kama Zitto wanajua wanachokisema, walishahongwa tayari.
Angalia nchi ambazo zinajenga hydro power hadi leo, hadi nchi za mabwana zao kama Canada wanajenga Hydro Power Plant.

Ama Canada hawajui kua maji yamepitwa na wakati?

Zitto na wenzako tunajua nyie ni madalali, mmeshalipwa mpige kelele, pigeni tu.
nionavyo mimi hapa ni lazima yuwe na energy backup, inaweza kuwa ni gharama kubwa kweli kwa hiyo mitambo mingine, lakini kutegemea hydropwer kwa asilimia tuseme 70 bila backup kutoka kwenye vyanzo vingine ni hatari kubwa maana maji yetu haya tunamtegemea MUNGU 100% na kwa sababu sisi binadamu ni vichwa ngumu katuacha tuhangaike na mabadiliko ya tabia ya nchi!!!. Gharama ya kukosa umeme ni kubwa sana kama tutakwenda na mtazamo wa kujenga mitambo ya kuzalisha umeme ya bei rahisi tu. Mi nashauri Serikali ifanye yote kwa ufanisi na si kwa ufisadi. Kuhusu gas kuuzwa najiuliza ni nani alibeba cost za kufanya utafiti wa hiyo gas, ni sisi na TPDC yetu?!? au ni wakubwa na mipesa yao?!? na kwa makubalino yapi?!?
 
Mkuu Hakimu Mfawidhi heshima kwako,
Nakushukuru kwa hoja nzito ulizozitoa hata hivyo sijafurahishwa na "Character Assasination" (Hujaweka Ushahidi wa udalali wao) uliyofanya dhidi ya Zito Kabwe na wenzake. Mkuu Hakimu Mfawidhi , hebu niambie kwa hali ya nchi yetu ilivyo kwa vyanzo vya maji kutokutunza, Je uzalishaji wa umeme kwa kutumia maji ni "Reliable" ?
Ahsante
Kama miaka yote tumeendelea kutegemea bwawa la Mtera kama chanzo kikuu cha HEP nchini, na bwawa la Mtera chanzo chake cha maji sio kikubwa kama mto Rufiji, tunapata wapi uhalala wa kusema umeme wa HEP kwa Tanzania sio reliable?
 
Back
Top Bottom