Udaktari unalipa?

Udaktari unalipa?

Habarini wanajukwaa,

Naomba kujua,udaktari unalipa?

Nimekuwa nikipashwa habari kuwa "mtoto mpeleke udaktari" ni taaluma isiyokuwa na longolongo na hakuna daktari mwenye bachelor mtaani anapambania ajira zaidi ya mwaka mmoja,hivyo imepelekea mwanangu kukulia maisha fulani yenye mtazamo wa kuwa daktari mahili hapo mbeleni,wahusika nipeni uzoefu juu ya hili mzazi ninapoteza muda juu ya hili au kuna ukweli ndani yake?
Hakuna kazi isiyolipa duniani, ni wewe mwenyewe unajipanga vipi tu.
 
Hapo kweny mshahara hpana Kuna ma engineer..wakemia pia Wana mishahara mirefu
Acha ubishi ndugu yangu.
Kada ya udaktari ndiye mshahara mkubwa zaidi serikalini.(namaanisha ajira za Serikali kuu na TAMISEMI) Narudia tena, kada ya udaktari. Kama huamini hilo, nenda halmashauri yoyote halafu chungulia miundo ya ajira na mishahara yao, halafu angalia kama kada ya uhandisi na ukemia kama ina mishahara mikubwa kuliko mshahara wa Daktari kwa level ile ile ya shahada ya kwanza.

Unaweza ukawa mfagizi wa Ikulu ukawa na mshahara mkubwa kuliko Daktari aliyeajiriwa serikalini, lakini hiyo haimanishi kada ya ufagiaji (kama ipo!) ina mshahara mkubwa zaidi serikalini kuliko kada ya udaktari.
 
- Itategemea doctor umeajiriwa wapi, ukiajiriwa doctor halmashauri mshahara ni 1,400,000/- Wakati Legal Officer wa TRA Ni 3,200,000/-, Customs Officer Ni 2.3M, Customs assistant Ni 1.8 M
-Mtu mwenye diploma anayefanya Kazi TRA, Ewura,latra anamzidi daktari mbali Sana, mwenye Degree mbali zaidi
Kuna kitu hujaelewa, umejichanganya.
Tunazungumzia Kada, tena ajira serikalini. Muundo wa ajira na Mishahara ya watumishi wa mashirika ya umma (mfano TRA, TANESCO, TPA, TCRA, TANAPA nk) iko tofauti na serikalini.

Kama unataka kumlinganisha Daktari na Legal officer kimshahara, basi walinganishe ajira zao serikalini, mfano Halmashauri. Ni halmashauri gani hapa Tanzania inayomlipa Legal officer mshahara mkubwa zaidi ya Daktari ikiwa wote wataajiriwa siku moja na wote wawe na degree moja?
 
Kuna kitu hujaelewa, umejichanganya.
Tunazungumzia Kada, tena ajira serikalini. Muundo wa ajira na Mishahara ya watumishi wa mashirika ya umma (mfano TRA, TANESCO, TPA, TCRA, TANAPA nk) iko tofauti na serikalini.

Kama unataka kumlinganisha Daktari na Legal officer kimshahara, basi walinganishe ajira zao serikalini, mfano Halmashauri. Ni halmashauri gani hapa Tanzania inayomlipa Legal officer mshahara mkubwa zaidi ya Daktari ikiwa wote wataajiriwa siku moja na wote wawe na degree moja?
Lakini ebu tushauriane kidogo wadau mm kuna kitu kinanichanganya kabisa .
Kwa mwajiriwa wa serikalini tamisemi akisoma BACHELOR OF law haiwezi kumlipa ?
Anahama idara kutoka afya kwenda sheria .
Sababu za kufanya hivyo n kwa sababu kujiendeleza katika fani ya udaktari n gharama kubwa sana kwenye vyuo vyetu private 8-9m kwa mwaka ambapo kwa miaka 5 ni sawa na 45m.
Ukienda ikiendeleza kwenye sheria ada n 1.2-1.6m kwa mwaka n sawa na 6m kwa miaka 4 had una hitimu.
Lakin pia kwenye udaktari utendaji kazi katika fani ya udaktari n kama vile kifungo huru kwa sababu serikali haijajali maslahi ya madaktari ukilinganisha na kazi tunazozifanya na kifupi n kwamba n sawa na wito tu ila kiuchumi haisaidii kabisa daktari anazidiwa hata na mtu wa diploma ya mionzi radiology.
Mm binafsi nimeamua kuhama idara ya afya niende nikaisome law ili nikirudi masomoni nifanyiwe recategorization ili nifanye kazi za law badala ya afya.
Ila kitu kingine n kwamba Tusiime vitu kwa sababu ya kutaka heshima ila tusome vitu kwa malengo na kwa kuipppenda fani.
Na asiwadanganye mtu kuwa udaktari unalipa hiyo n kazi ya wito tu wadau niko kwenye field ya medicine miaka 8 sasa nafanya kazi serikalini ivo naijua.
 
Lakini ebu tushauriane kidogo wadau mm kuna kitu kinanichanganya kabisa .
Kwa mwajiriwa wa serikalini tamisemi akisoma BACHELOR OF law haiwezi kumlipa ?
Anahama idara kutoka afya kwenda sheria .
Sababu za kufanya hivyo n kwa sababu kujiendeleza katika fani ya udaktari n gharama kubwa sana kwenye vyuo vyetu private 8-9m kwa mwaka ambapo kwa miaka 5 ni sawa na 45m.
Ukienda ikiendeleza kwenye sheria ada n 1.2-1.6m kwa mwaka n sawa na 6m kwa miaka 4 had una hitimu.
Lakin pia kwenye udaktari utendaji kazi katika fani ya udaktari n kama vile kifungo huru kwa sababu serikali haijajali maslahi ya madaktari ukilinganisha na kazi tunazozifanya na kifupi n kwamba n sawa na wito tu ila kiuchumi haisaidii kabisa daktari anazidiwa hata na mtu wa diploma ya mionzi radiology.
Mm binafsi nimeamua kuhama idara ya afya niende nikaisome law ili nikirudi masomoni nifanyiwe recategorization ili nifanye kazi za law badala ya afya.
Ila kitu kingine n kwamba Tusiime vitu kwa sababu ya kutaka heshima ila tusome vitu kwa malengo na kwa kuipppenda fani.
Na asiwadanganye mtu kuwa udaktari unalipa hiyo n kazi ya wito tu wadau niko kwenye field ya medicine miaka 8 sasa nafanya kazi serikalini ivo naijua.
Kivipi MD anazidiwa, pesa na diploma ya radiology ?
 
Lakini ebu tushauriane kidogo wadau mm kuna kitu kinanichanganya kabisa .
Kwa mwajiriwa wa serikalini tamisemi akisoma BACHELOR OF law haiwezi kumlipa ?
Anahama idara kutoka afya kwenda sheria .
Sababu za kufanya hivyo n kwa sababu kujiendeleza katika fani ya udaktari n gharama kubwa sana kwenye vyuo vyetu private 8-9m kwa mwaka ambapo kwa miaka 5 ni sawa na 45m.
Ukienda ikiendeleza kwenye sheria ada n 1.2-1.6m kwa mwaka n sawa na 6m kwa miaka 4 had una hitimu.
Lakin pia kwenye udaktari utendaji kazi katika fani ya udaktari n kama vile kifungo huru kwa sababu serikali haijajali maslahi ya madaktari ukilinganisha na kazi tunazozifanya na kifupi n kwamba n sawa na wito tu ila kiuchumi haisaidii kabisa daktari anazidiwa hata na mtu wa diploma ya mionzi radiology.
Mm binafsi nimeamua kuhama idara ya afya niende nikaisome law ili nikirudi masomoni nifanyiwe recategorization ili nifanye kazi za law badala ya afya.
Ila kitu kingine n kwamba Tusiime vitu kwa sababu ya kutaka heshima ila tusome vitu kwa malengo na kwa kuipppenda fani.
Na asiwadanganye mtu kuwa udaktari unalipa hiyo n kazi ya wito tu wadau niko kwenye field ya medicine miaka 8 sasa nafanya kazi serikalini ivo naijua.
Hivi, inawezekana kwamba ni MD TAMISEMI lakini ukaenda kusoma law au kitu kingine kabisa tofauti na afya na bado unaendelea kulipwa mshahara wa MD ?
 
Naambiwa Udaktari unalipa mara tatu zaidi ikiwa utataka kulinganisha na fani nyingine yoyote, kwa mfano.
1. Heshima kubwa kijamii.
2. Uhakika wa ajira (ikiwa utalinganisha na fani nyingine yoyote)
3. Mshahara mkubwa zaidi ya fani zote (katika ajira za serikali)
3.hii una uhakika nayo?
 
Lakini ebu tushauriane kidogo wadau mm kuna kitu kinanichanganya kabisa .
Kwa mwajiriwa wa serikalini tamisemi akisoma BACHELOR OF law haiwezi kumlipa ?
Anahama idara kutoka afya kwenda sheria .
Sababu za kufanya hivyo n kwa sababu kujiendeleza katika fani ya udaktari n gharama kubwa sana kwenye vyuo vyetu private 8-9m kwa mwaka ambapo kwa miaka 5 ni sawa na 45m.
Ukienda ikiendeleza kwenye sheria ada n 1.2-1.6m kwa mwaka n sawa na 6m kwa miaka 4 had una hitimu.
Lakin pia kwenye udaktari utendaji kazi katika fani ya udaktari n kama vile kifungo huru kwa sababu serikali haijajali maslahi ya madaktari ukilinganisha na kazi tunazozifanya na kifupi n kwamba n sawa na wito tu ila kiuchumi haisaidii kabisa daktari anazidiwa hata na mtu wa diploma ya mionzi radiology.
Mm binafsi nimeamua kuhama idara ya afya niende nikaisome law ili nikirudi masomoni nifanyiwe recategorization ili nifanye kazi za law badala ya afya.
Ila kitu kingine n kwamba Tusiime vitu kwa sababu ya kutaka heshima ila tusome vitu kwa malengo na kwa kuipppenda fani.
Na asiwadanganye mtu kuwa udaktari unalipa hiyo n kazi ya wito tu wadau niko kwenye field ya medicine miaka 8 sasa nafanya kazi serikalini ivo naijua.
Unapenda mikozi ya mda mrefu
 
Naambiwa Udaktari unalipa mara tatu zaidi ikiwa utataka kulinganisha na fani nyingine yoyote, kwa mfano.
1. Heshima kubwa kijamii.
2. Uhakika wa ajira (ikiwa utalinganisha na fani nyingine yoyote)
3. Mshahara mkubwa zaidi ya fani zote (katika ajira za serikali)
Ajira za serikali??

Watu wanavuta pesa kuliko za daktari, acha masihara
 
Huu n uwanja wa kushauriana n kozi ipi ambayo n nzuri kuanzia kuajiriwa hadi kujiajiri mkuu ila afya hapana nimeitumikia nimetosha.
Nahitaji kwenda kwenye field nyingine
Hutaki tena kua practice kama daktari? Au unataka kuongeza maokoto zaidi ya Udaktari.

Kama issue ni maokoto tafuta namna ya kujiajiri kwenye kada yako ya afya.

Kama issue ni kubadili carrier, Basi nenda tena shule.
 
Hutaki tena kua practice kama daktari? Au unataka kuongeza maokoto zaidi ya Udaktari.

Kama issue ni maokoto tafuta namna ya kujiajiri kwenye kada yako ya afya.

Kama issue ni kubadili carrier, Basi nenda tena shule.
Career na swala la kiuchumi zaidi kwa sababu ili ujiajiri kwenye afya gazi ya kituo cha afya mtaji c chini ya 50m
. Tofauti na law mtaji ni kidogo sana
 
Back
Top Bottom