UDA: Connetion ya Robert Kisena na msharika wake Ridhiwani Kikwete!

Hii nchi ina mambo yake mengine ambayo ukiyafikiria sana unaweza kujikuta unaokota makopo hivi hivi
Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.
Kadri siku zinavyokwenda ndivyo ninavyozidi kumkumbuka Mwalimu Nyerere. Sera yake ya Ujamaa na Kujitegemea ililenga njia zote kuu za uchumi ziwe mikononi mwa umma ili kitakachopatikana, tukigawane kwa wote, Hali sasa ni tofauti, gap kati ya wenye nacho na wasionacho linazidi kukua. Sasa tuna makundi matatu ya nchi, Wenyenchi, Walanchi na Wananchi!.
 
Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.
Kadri siku zinavyokwenda ndivyo ninavyozidi kumkumbuka Mwalimu Nyerere. Sera yake ya Ujamaa na Kujitegemea ililenga njia zote kuu za uchumi ziwe mikononi mwa umma ili kitakachopatikana, tukigawane kwa wote, Hali sasa ni tofauti, gap kati ya wenye nacho na wasionacho linazidi kukua. Sasa tuna makundi matatu ya nchi, Wenyenchi, Walanchi na Wananchi!.

Tatizo ni kuwa watawala wamejiaminisha kuwa Watanzania ni binadamu tofauti na binadamu wengine kwamba wataendelea kuinama kwa heshima, kuzungumza kwa nidhamu na wataendelea kukubali tu. Tayari Watanzania wameshajionesha mara kadhaa sasa kuwa wako tayari kuipinga serikali yao waziwazi bila kujali gharama. Kwa kadiri serikali inaendelea kuact with utter contempt of the people ndivyo hivyo inazidi kuwasukumiza wananchi kwenye kota ya kukata tamaa.

Mwenzenu hofu yangu kubwa ni kwamba Tanzania tumekubali kuwa kama Nigeria. Na naamini tutakuwa kama Nigeria na ngoja tu mafuta yaanze kuja ndio tutakiona cha moto.
 
Kwa nini Ridhiwani anajiingiza ovyo kwenye kila kasha? Je baba yake anaunga mkono hili? Kama hivyo ndivyo basi hatma yao tutaiona 2015
 
Nchi imeoza wanamalizia mali zilizobaki masikini Tanzania,Nilijua Meya wa jiji la DSM (Msaburi)sio msafi hata kidogo yumo kwenye kundi la mafisadi,tunachoomba Wabunge wa CDM walianike wazi bungeni,hata wakilazimisha liwepo kwenye kumbukumbu za Tanzania,hawa jamaa wa magamba ndio maana wanataka kuondoa maandamano kwa kutumia bunge kweli wamepania baada ya kuona mwisho wao wa kutawala umefika.

Tanzania bila CCM inawezekana,Tanzania na CCM ni balaa tupu,hakuna umeme,mafuta ya taa bei juu kupita mafuta yote,Elimu imeanguka,thamani ya shilingi imeanguka maradufu.
 
Kwa nini Ridhiwani anajiingiza ovyo kwenye kila kasha? Je baba yake anaunga mkono hili? Kama hivyo ndivyo basi hatma yao tutaiona 2015
<br />
<br />
Hivi do u think jk give a s..t about ccm or uchaguzi ujao! Kwake yeye na familia ni kujijengea mihimili ya kiuchumi tu. Angekuwa anajali chama asingefanya na kuruhusu mengi yanayotokea sasa!

Na kwa nchi yetu hii ya mtu kutokuwa guilty mpaka awe proven so beyond reasonable doubt; watapeta tu after 2015 kinachohitajika ni pesa tu ambazo wanazo! Sometimes natamani aje dictator mmoja mwenye vision nzuri na TZ. Yetu kwani hii demokrasia inawafavor wenye nazo na kuwagandamiza wengi!
 
Kwa Dar es Salaam Suala la usafiri wa Umma Ni Janga la Kitaifa!! Usafiri ni Mmbaya Kama JEHANAM, utajua mungu alituumba bila akili!! Kwani watu wako willling kulipa nauli ila huduma ni Mbovu hakuna mfano, Sasa swali linakuja wazawa kuendeleza hii sekta ni muhimu, ila hawa wawekezaji uchwara sijui kama watatufikisha mahali popote!! Eh Mungu tusaidie ili mtu wa kuzuia hii laana angalau Ajitokeze!! MTIKILA UKO WAPI? TINDU LISU UKO WAPI? MBUNGE WANGU MNYIKA TUOKOE!!!! NCHI INAIBIWA MCHANA KWEUPE PEE!! JAMANI HATUWEZI KUSIMAMISHA HILI TATIZO?
 
Siku za karibuni nilipita hapo uda, chakushangaza, wakati nchi iko kwenye matatizo makubwa ya usafiri, shirika hili la usafirisha anauziwa mtu, tene mwenye malengo tofauti na uanzishwa wa uda, kwani mwekezaji mpya anaweka maghara, amefukia mashimo yaliyokuwa yanatumika kwa ajiri ya kufanya service kwenye magari, na ujenzi wa maghara unaendelea kwa nguvu sana..... Hii ndio tanzania, cdm wakisema tuandamane, utasikia wachochezi
 
Wapo huku wamekusikia ...nina imani kubwa kuwa ndani ya wiki ijayo HOJA YA UDA itaibuka bungeni,,......maana huu unaoendelea sasa ni ukwapuaji.......wa mali chache zilizobakia.....

Philemon ndugu yangu, hata kama hoja hiyo itaibuka Bungeni, lakini kwa Bunge hili linaloongozwa na akina Ndugai! Itazimwa tu kibabe. Maana ndugai ameamua kuwa Kibaraka wa Wakubwa kwa kuogopa yasije ya kampata ya Sitta ya kutakiwa kubadilisha Jinsia kama anataka kuendelea na Uspika. Na kwa vile CCM walishaona Mwanaume hafai kuwa Spika kwa sababu ana msimamo ndo maana wakawachagua akina Ndugai na Mwenzie wawe kwenye nafasi hizo.(Kuvaa suruali si kipimo pekee cha Uanaume)
 
Huyu KUSENA ndiye aliyempa mtoto wa Secondary form two mimba kule Maswa kipindi anasimamia miradi yake ya kifisadi binti yule hakuweza kuendelea na masomo mtu huyu ni hatari sana(mnyama)inge kuwa China angenyongwa.
 
Kwa nini Ridhiwani anajiingiza ovyo kwenye kila kasha? Je baba yake anaunga mkono hili? Kama hivyo ndivyo basi hatma yao tutaiona 2015
<br />
<br />
Hivi huyu dogo Ridhiwani mbona wana JF huwa mnamuandama sana! Sitashangaa siku moja mtu akajitokesa na kusema kwamba ana taharifa kwamba Ridhiwani anamiliki mizinga ya Nuklia,niliwahi kusoma mahali mtu anasema eti vituo vyote vya mafuta kuanzia Ubungo mpaka Morogoro vinamilikiwa na RIDHIWANI! uki-analyise kimakini utagundua kwamba hata thread hii imeletwa hapa lengo lake hasa ni kumu-attack Ridhiwani aonekane ni mtu mwenye tamaa ya kutajirika by hooks and crooks na kibaya zaidi ni kutoa impression kwamba anatumia mgongo wa mzazi wake kujinemesha.yeye na rafiki zake - Je kuna chembe ya ukweli wowote katika huzushi huo? Haya tukija kwa sakata la Robert Kisena na UDA, nani wa kulaumiwa katika hilo tusianze kutunga stori za nchi ya kufikilika wakati hatujuhi ukweli na undani wa kuhuzwa kwa UDA, mara ngapi tunalalamika kila siku kwamba mashirika ya UMMA yahuzwe kwa wazawa na siyo wageni -leo hii kahuziwa mzawa kama tupendekezavyo inakuwa taabu tena kisa: kwa nini hauziwe mtu ambaye tunadhani yuko karibu na RIDHIWANI!, nia yangu hapa si kuwasema vibaya watu bali ni kuwaomba tujirudi tuachane na mambo ya kuzulia watu, wivu, kuwachafulia sifa binadamu wenzetu.Kama kuna mtu ana bifu na mwenzake wayamalize huko huko nje ya JF wasihanzishe thread zenye an hidden agenda ya kutaka kuwabomoa wenzao kwa hila tu. HASANTENI.
 
<br />
<br />
Hivi huyu dogo Ridhiwani mbona wana JF huwa mnamuandama sana! Sitashangaa siku moja mtu akajitokesa na kusema kwamba ana taharifa kwamba Ridhiwani anamiliki mizinga ya Nuklia,niliwahi kusoma mahali mtu anasema eti vituo vyote vya mafuta kuanzia Ubungo mpaka Morogoro vinamilikiwa na RIDHIWANI! uki-analyise kimakini utagundua kwamba hata thread hii imeletwa hapa lengo lake hasa ni kumu-attack Ridhiwani aonekane ni mtu mwenye tamaa ya kutajirika by hooks and crooks na kibaya zaidi ni kutoa impression kwamba anatumia mgongo wa mzazi wake kujinemesha.yeye na rafiki zake - Je kuna chembe ya ukweli wowote katika huzushi huo? Haya tukija kwa sakata la Robert Kisena na UDA, nani wa kulaumiwa katika hilo tusianze kutunga stori za nchi ya kufikilika wakati hatujuhi ukweli na undani wa kuhuzwa kwa UDA, mara ngapi tunalalamika kila siku kwamba mashirika ya UMMA yahuzwe kwa wazawa na siyo wageni -leo hii kahuziwa mzawa kama tupendekezavyo inakuwa taabu tena kisa: kwa nini hauziwe mtu ambaye tunadhani yuko karibu na RIDHIWANI!, nia yangu hapa si kuwasema vibaya watu bali ni kuwaomba tujirudi tuachane na mambo ya kuzulia watu, wivu, kuwachafulia sifa binadamu wenzetu.Kama kuna mtu ana bifu na mwenzake wayamalize huko huko nje ya JF wasihanzishe thread zenye an hidden agenda ya kutaka kuwabomoa wenzao kwa hila tu. HASANTENI.
hata mimi na wewe ni wazawa..ilitangazwa tenda ili mimi na wewe tufanye bidding???hapo ndipo naposema umeandika crap at the highest level...mtoa mada kachambua mada vizuri ila wewe umeamua kutokuelewa
 
hali zenu wana jamii wenzangu, hebu tuanze jadili mambo hapa. tuweke hadharani haya ambayo mimi na wewe tunayajua kuhusu huyu kijana RIDHIWANI .

maana nasoma mengi na yote yanakuwa kama vile maneno ya juu juu. tuandike vitu na kuweka ushahidi mbele. maana kama ni marafiki ridhiwani anao wengi sana. ningependa juu, haya ili tuwe sawa katika kila jambo.maswali ya msingi

1. je, kuwa na urafiki na ridhiwani ndiyo tiketi ya kuwa maskini au kutofanya biashara zako?
2. je, huyu bwana mdogo hapaswi kuwa na maisha na kuwa na marafiki?
3. je nini ambacho tatizo? amekaba au kukwapua mali ya mtu?
 
Mbona Mama Mkapa hajafanywa kitu kuchukua maflat ya ilala na kuyaita Lamada Appartment au bado ana kinga ya Uraisi wa Mkapa? na mali nyingi walizojichukulia na mkapa!! Riz1 keshanusa Watanzania ni watu wa Kusahau mapema!

Na kweli Watanzania ni watu wa kusahau mapema sana. Na magazeti yetu nayo ndio kabisa yaandika habari inayouzika zaidi badala ya yenye tija kwa taifa.
1. Hivi Babu wa Loliondo bado yupo? Je tiba yake bado inaendelea?
2. Hivi kesi za kina Mramba na EPA zimeishia wapi?
3. Katiba Mpya je? Tume imeshaundwa? Mchakato umefikia wapi?
4. Uchunguzi wa kuzimika umeme uwanja wa Taifa je? Tume imeshakamilisha kazi yake?
5. Jairo vipi likizo yake si ilikuwa ya siku 10? Nini kinaendelea?

Anyway, taifa ya walalamishi badala ya watendaji. Na ni ugonjwa unaoanzia kwa viongozi wa juu kabisa wa serikali mpaka kwa mwananchi wa kawaida!
 
hali zenu wana jamii wenzangu, hebu tuanze jadili mambo hapa. tuweke hadharani haya ambayo mimi na wewe tunayajua kuhusu huyu kijana RIDHIWANI .

maana nasoma mengi na yote yanakuwa kama vile maneno ya juu juu. tuandike vitu na kuweka ushahidi mbele. maana kama ni marafiki ridhiwani anao wengi sana. ningependa juu, haya ili tuwe sawa katika kila jambo.maswali ya msingi

1. je, kuwa na urafiki na ridhiwani ndiyo tiketi ya kuwa maskini au kutofanya biashara zako?
2. je, huyu bwana mdogo hapaswi kuwa na maisha na kuwa na marafiki?
3. je nini ambacho tatizo? amekaba au kukwapua mali ya mtu?

Tatizo kuwa mtoo wa Rais kunafanya upate upendeleo unaoweza kuleta mashaka au lah basi usababishe mgangano wa kimaslahi. Ila kama kweli UDA imeuza hisa zake kwa bei nzuri, na malipo yakafanyika kwa wakati, haya yote yasingejitokeza. Tatizo linakuja pale ambapo kunakuwa na ujanja ujanja unataka kufanyika ile watu wajineemesha na rasimali n ''inji'' hii. Kwa kifupi, dogo hajui jinsi ya kula na vipofu (Watanzania).
 
Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika, ameingilia kati mvutano ulioko kati ya Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi na Meneja wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Victor Milanzi, akisema hakuna mwenye haki ya kumnyooshea mwingine kidole, kwani wote wawili ni sehemu ya matatizo yanayolikabili shirika hilo.
"&#8230;wote wawili wameshiriki kwa kiwango kikubwa katika kukiuka sheria, kanuni na taratibu kwenye uendeshaji wa UDA bila kuzingatia kwa ukamilifu maslahi ya wasafiri na walipa kodi," alisema Mnyika katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliyoitoa kupitia mtandao wa kompyuta jana.
Amemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuchukua hatua stahiki za kuiongoza serikali kupitia upya mkataba ulioingiwa na kutekelezwa kinyume cha sheria, kanuni na maslahi ya wananchi kati ya Jiji, UDA na Simon Group Limited, kubatilishwa maamuzi yaliyofanywa na Dk. Masaburi na vikao vya Jiji na UDA, na kupitia upya maamuzi ya Bodi ya UDA kwa miaka kadhaa.
Pia Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, kuingilia kati kupitia Msajili wa Hazina na Shirika Hodhi la Mali za Mashirika ya Umma (CHC) kunusuru hisa za serikali kuu katika UDA na mali zake, pia Kamati za Bunge za Miundombinu na ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) ziingilie kati kwa kushirikiana na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Mamlaka ya Kudhibiti Manunuzi ya Umma (PPRA) na wabunge wa mkoa wa Dar es Salaam.
"Hatua hizo zitaokoa mali za umma, kuweka msingi wa kuboresha usafiri katika mkoa wa Dar es Salaam na kuwezesha hatua za kisheria na kinidhamu kuchukuliwa kwa wahusika wote waliofikisha Jiji na taifa katika hali hiyo," alisema.
Alisema Dk. Masaburi na Milanzi, kwa nyakati tofauti walishiriki katika kuachia maamuzi ya kifisadi ya kuuzwa kwa bei chee hisa za UDA bila ya kuzingatiwa sheria, kanuni na taratibu.
Alisema Milanzi alishiriki kuanzia hatua za mwanzo za mkataba kati ya UDA na Kampuni ya Simon Group mwaka 2009 wakati Dk. Masaburi alishiriki katika kubariki utekelezaji wa mkataba huo wa kifisadi mwaka 2011 bila kuzingatia sheria, kanuni na maslahi ya wananchi wa Dar es Salaam.
Mnyika alisema Milanzi na bodi ya wakurugenzi wa UDA chini ya uenyekiti wa Iddi Simba, walishiriki katika kuingia mkataba mbovu na wa kifisadi wa mauzo ya kampuni hiyo, huku sehemu ya fedha za malipo zikiingizwa kwenye akaunti za watu binafsi.
Alisema Dk. Masaburi alitekeleza mkataba huo kinyume cha sheria, kanuni na maslahi ya umma kwa yeye binafsi kuhamisha umiliki wa UDA kwa Simon Group baada ya malipo ya Sh. milioni 285 tu sawa na asilimia 12.5 ya mauzo ya hisa hizo kupitia maamuzi yake ya Juni 10, mwaka huu wakati shirika lina mali zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 12.
Mnyika alisema baada ya kufanya maamuzi hayo, Dk. Masaburi alijaribu kujikosha kwa maamuzi batili ya vikao haramu vya Kamati ya Fedha na Uongozi vya Juni 29 na Baraza la Madiwani la Julai 20, mwaka huu.
 
<br />
<br />
Hivi huyu dogo Ridhiwani mbona wana JF huwa mnamuandama sana! Sitashangaa siku moja mtu akajitokesa na kusema kwamba ana taharifa kwamba Ridhiwani anamiliki mizinga ya Nuklia,niliwahi kusoma mahali mtu anasema eti vituo vyote vya mafuta kuanzia Ubungo mpaka Morogoro vinamilikiwa na RIDHIWANI! uki-analyise kimakini utagundua kwamba hata thread hii imeletwa hapa lengo lake hasa ni kumu-attack Ridhiwani aonekane ni mtu mwenye tamaa ya kutajirika by hooks and crooks na kibaya zaidi ni kutoa impression kwamba anobert Kisena na UDA, nani wa kulaumiwa katika hilo tusianze kutunga stori za nchi ya kufikilika wakati hatujuhi ukweli na undani wa kuhuzwa kwa UDA, mara ngapi tunalalamika kila siku kwamba mashirika ya UMMA yahuzwe kwa wazawa na siyo wageni atumia mgongo wa mzazi wake kujinemesha.yeye na rafiki zake - Je kuna chembe ya ukweli wowote katika huzushi huo? Haya tukija kwa sakata la R-leo hii kahuziwa mzawa kama tupendekezavyo inakuwa taabu tena kisa: kwa nini hauziwe mtu ambaye tunadhani yuko karibu na RIDHIWANI!, nia yangu hapa si kuwasema vibaya watu bali ni kuwaomba tujirudi tuachane na mambo ya kuzulia watu, wivu, kuwachafulia sifa binadamu wenzetu.Kama kuna mtu ana bifu na mwenzake wayamalize huko huko nje ya JF wasihanzishe thread zenye an hidden agenda ya kutaka kuwabomoa wenzao kwa hila tu. HASANTENI.

..Ewee mtumwa..aliyekutuma [bwana wako] umuombe na akufunze kutumia Keyboard yako....

Hapa hakuna mtu mwenye time ya kumchukia mtu binafsi......kama ni watoto wa viongozi wako wengi ,wengine tumo nao huku....kwanini achukiwe yeye..narudia tena hakuna mwanadamu anayeweza kuhukumu ...kama hajakasimiwa kazi hiyo...na chombo pekee cha kukuhukumu ni mahakama....so haitasaidia kutuma watu waje humu na migurubaja yao kurusha taulo..mchezo huu bado ni mbishi.....

"nani wa kulaumiwa katika hilo tusianze kutunga stori za nchi ya kufikilika wakati hatujuhi ukweli na undani wa kuhuzwa kwa UDA, mara ngapi tunalalamika kila siku kwamba mashirika ya UMMA yahuzwe kwa wazawa na siyo wageni "

Hembu elewa kuwa unaoongea na watu wenye uwezo mkubwa wa kuchambua mambo ni si wale ...wapambe mabongo lala....HIYO TENDA YA UDA KUUZWA ILITOKA KWENYE GAZETI GANI?? SHERIA YA TENDA HIZI NI WAZI UKISHINDWA KULIPA NDANI YA VALIDITY PERIOD UNARUDISHIWA PESA ZAKO BAADA YA KUKATWA ASILIMIA FULANI YA USUMBUFU.....inamaa tayari zowezi lote ni void kwa kuwa wameshindwa kulipia hisa zao ndani ya wakati na hata sasa........yote hatakufanyika ...hawakurudishiwa pesa zao..na zaidi wameenda mbali kuwamilikisha kampuni na tena kwa kuwafukuza menejimenti halali kihuni...hii ni kinyume kabisa cha rule of law inayohubiriwa.......

Tunataka wazawa wenye uwezo wauziwe kampuni kwa tenda za wazi na sio huu ujanja ujanja.....huu ni wizi wa mchana ..kununua kampuni yenye mali za dhamani ya bilioni 12 kwa shilingi milioni 200 tu!!!!!....mnawatafuta wananchi ubaya..
 
..Ewee mtumwa..aliyekutuma [bwana wako] umuombe na akufunze kutumia Keyboard yako....

Hapa hakuna mtu mwenye time ya kumchukia mtu binafsi......kama ni watoto wa viongozi wako wengi ,wengine tumo nao huku....kwanini achukiwe yeye..narudia tena hakuna mwanadamu anayeweza kuhukumu ...kama hajakasimiwa kazi hiyo...na chombo pekee cha kukuhukumu ni mahakama....so haitasaidia kutuma watu waje humu na migurubaja yao kurusha taulo..mchezo huu bado ni mbishi.....

"nani wa kulaumiwa katika hilo tusianze kutunga stori za nchi ya kufikilika wakati hatujuhi ukweli na undani wa kuhuzwa kwa UDA, mara ngapi tunalalamika kila siku kwamba mashirika ya UMMA yahuzwe kwa wazawa na siyo wageni "

Hembu elewa kuwa unaoongea na watu wenye uwezo mkubwa wa kuchambua mambo ni si wale ...wapambe mabongo lala....HIYO TENDA YA UDA KUUZWA ILITOKA KWENYE GAZETI GANI?? SHERIA YA TENDA HIZI NI WAZI UKISHINDWA KULIPA NDANI YA VALIDITY PERIOD UNARUDISHIWA PESA ZAKO BAADA YA KUKATWA ASILIMIA FULANI YA USUMBUFU.....inamaa tayari zowezi lote ni void kwa kuwa wameshindwa kulipia hisa zao ndani ya wakati na hata sasa........yote hatakufanyika ...hawakurudishiwa pesa zao..na zaidi wameenda mbali kuwamilikisha kampuni na tena kwa kuwafukuza menejimenti halali kihuni...hii ni kinyume kabisa cha rule of law inayohubiriwa.......

Tunataka wazawa wenye uwezo wauziwe kampuni kwa tenda za wazi na sio huu ujanja ujanja.....huu ni wizi wa mchana ..kununua kampuni yenye mali za dhamani ya bilioni 12 kwa shilingi milioni 200 tu!!!!!....mnawatafuta wananchi ubaya..

Ebu angalia hiyo akili alafu ujiulize mara mbili mbili utapata jibu kwanini hayo mambo yanafanyika hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom