UDA: Connetion ya Robert Kisena na msharika wake Ridhiwani Kikwete!

Katika mjadala wa jana wa bajeti ya Wizara ya Mawasiliano na uchukuzi, yalijitokeza malalamiko kadhaa, lakini kubwa kuliko yote ni namna UDA ilivyobinafsishwa na fedha kuingia mfukoni kwa mtu binafsi. Lakini katika baadhi ya mapendekezo, wabunge waliomba maamuzi magumu yachukuliwe, kwa kuivunja Halmashauri ya Jiji ambayo kinara wake ni fisadi Masaburi. Wakasisitiza kwamba hatua kama hii ilipata kuchukuliwa huko nyuma na baada ya hapo Halmashauri ilirejea ikiwa ni imara. Hii ikanikumbusha enzi za utawala wa Sumaye akiwa PM na kuingia kwa akina Keenja ambao walisaidia kulisafisha jiji.

Lakini msisitizo wa kipekee ni kuchukuliwa kwa hatua za kisheria tena za mara moja dhidi ya wale ambao walikuwa katika mpango huu wa uporaji na kwa kweli hapa ndipo unapojiuliza ni kwa namna gani DG-PCCB, DG-TISS, DPP na DCI wanaendelea kula mshahara kwa kazi ambayo hawaifanyi. Hizi kelele za kumtaka CAG aingilie kati katika issues ambazo unaona wazi kwamba zina fraud ndani yake ni kupoteza muda kusiko na sababu. Afterall, watu kama Masaburi ndiyo wale walioua mradi wa mabasi ya wanafunzi baada ya kuacha kazi Kibuku kwa nia ya kuingia CCM ili kuendesha wizi wake!
 
Japo halijaingia kwenye Hansard baada ya Mwenyekiti wa mjadala wa jana kuzuia lakini moja ya maamuzi magumu ni kuondoa uhuru walionao Masaburi, Iddi Simba, Kapuya na wale wote waliotajwa kuhusika.
 
Japo halijaingia kwenye Hansard baada ya Mwenyekiti wa mjadala wa jana kuzuia lakini moja ya maamuzi magumu ni kuondoa uhuru walionao Masaburi, Iddi Simba, Kapuya na wale wote waliotajwa kuhusika.

Binafsi ukiniuliza kazi za Halmashauri ya jiji katika mazingira ambayo tayari Dar es Salaam zina manispaa zake tatu zinazofanya kazi kwa ufanisi, sipati jibu. Nahisi kuna duplication ya majukumu na kuongeza mzigo kwa walipa kodi maskini. Jiji limegeuka kuwa pango la ufisadi na mingi ya mikataba yao imejaa utata eg. Mkataba wa Ubungo Terminal na sasa huo ubinafsishaji wa UDA. As long as tunaruhusu watu wa aina ya Masaburi kugombea uongozi, nchi hii haitabaki salama.
 
Kwangu mimi, kuvunja halmashauri ya jiji moja kwa moja iwe ni hatua ya kwanza. Lakini nilitarajia sasa hivi kuwe na holding charges dhidi ya wale waliohusika halafu uchunguzi wa kina uendelee. Bila hivyo nchi hii dola haitakaa iogopwe au kuheshimiwa, hasa na watu wakubwa.
 
Rais wangu Kikwete na Mpendwa Waziri Mkuu wetu, tuondoleeni unyonge huu tuanoupata kwa wale wanaokejeli uongozi wenu na kuonekana kama vile hakuna linalowezekana chini yenu. Nafasi ya kurejesha imani kwa wananchi bado ipo. Hivi ni nani aliyewaloga ghafla mkawa hivi?
 
Ewe Mungu wa Yakobo! Watie nguvu wale wanaopaswa kuchukua maamuzi ili wawatie adabu majambazi hawa dhalimu wa ustawi wa vizazi vyetu!
 
Ninamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kupunguza umri wa mwanadamu humu duniani....haya yote wayafanyayo linalonisuuza roho yangu na Kuwa na amani ya Bwana ni kuwa watayaacha hapahapa duniani........kwa hiyo wanajisumbua bure..............in JK's aura like father like son...............
 
.....
PALE BUNGENI MMEONA PILIKA ZA ESTHER BULAYA juzi kujaribu kuwashawishi wabunge mbali mbali[and you know what ...as coincidence huyu KISENA alikuwa behind the scene hotelini kuratibu haya yote......!!

Mkuu, kwa nafasi yangu kama katibu wa wabunge wa DSM nieleze tu kwamba Esther pamoja na Deo ambao wote ni wajumbe wa kamati ya kudumu ya hesabu za mashirika ya umma walishiriki kwenye kikao chetu cha jana cha wabunge wa DSM kutoa mchango wao wa mawazo kwa sababu kuna taarifa kuhusu kashfa ya UDA ambazo zilipitia kwenye kamati yao. Nafahamu kuwa Robert Kisena wa Simon Group Ltd alikutana na Zitto wakiwa pamoja na Esther siku kadhaa nyuma ili kuwapa taarifa za upande wao. Hata hivyo, naelewa kwamba msimamo wa wote wawili na kamati yao ni kupinga ufisadi na ukiukwaji wa sheria uliofanywa kuhusu UDA uliohusisha kampuni ya Simon na wamepingana wazi wazi na Robert. Leo wabunge wa Dar es salaam tumetoa tamko kuhusu matatizo ya UDA ikiwemo nafasi ya Meya Masaburi katika sakata zima pamoja kutoa mwito wa hatua za ziada kuchukuliwa zaidi ya kauli aliyotoa Waziri Mkuu Pinda bungeni leo wakati akijibu maswali ya papo kwa papo. Nawatakia mjadala mwema

JJ
 
Katika mjadala wa jana wa bajeti ya Wizara ya Mawasiliano na uchukuzi, yalijitokeza malalamiko kadhaa, lakini kubwa kuliko yote ni namna UDA ilivyobinafsishwa na fedha kuingia mfukoni kwa mtu binafsi. Lakini katika baadhi ya mapendekezo, wabunge waliomba maamuzi magumu yachukuliwe, kwa kuivunja Halmashauri ya Jiji ambayo kinara wake ni fisadi Masaburi. Wakasisitiza kwamba hatua kama hii ilipata kuchukuliwa huko nyuma na baada ya hapo Halmashauri ilirejea ikiwa ni imara. Hii ikanikumbusha enzi za utawala wa Sumaye akiwa PM na kuingia kwa akina Keenja ambao walisaidia kulisafisha jiji.

Lakini msisitizo wa kipekee ni kuchukuliwa kwa hatua za kisheria tena za mara moja dhidi ya wale ambao walikuwa katika mpango huu wa uporaji na kwa kweli hapa ndipo unapojiuliza ni kwa namna gani DG-PCCB, DG-TISS, DPP na DCI wanaendelea kula mshahara kwa kazi ambayo hawaifanyi. Hizi kelele za kumtaka CAG aingilie kati katika issues ambazo unaona wazi kwamba zina fraud ndani yake ni kupoteza muda kusiko na sababu. Afterall, watu kama Masaburi ndiyo wale walioua mradi wa mabasi ya wanafunzi baada ya kuacha kazi Kibuku kwa nia ya kuingia CCM ili kuendesha wizi wake!

Mbopo leo ID yako inatumiwa na mtu mwingine nini?
 
Kama haya yanayosemwa ni ya kweli ndugu zangu hakika Tunahitaji uongozi kutoka kwa Mungu ,hali hii kama ni kweli inaumiza mioyo ya watanzania na Mungu hata puuza kilio cha dhuluma hii,Ole ya mwanadamu ambaye amepumbazika kwa dhuluma kiburi na kujiinua,saa inakuja ambapo watajuta kuzaliwa katika ulimwengu huu, inaumiza moyo sana kuona nchi inatafunwa kwa watu aambao tuliwaamini na kuwapenda,Ole wao watu hao sikuNguvu na ulinzi wa Mungu wa Isaca na Yacob utakapotolewa na mjaribu kuruhusiwa kuwapa maumivu,ni heri kwao kama wangalijua huzuni ya Mungu juu yao na hasira yake dhidi ya watu hawa,Asante Peter serukamaba kusimama iomara bungeni,asanteni wabunge mnaojua na kuwatetea maskini hawa walioachwa kama kondoo nyikani wasio na msaada katika jangwa kame lisilo na maji,Siku inakuja asema Bawana ambapo Njaa ya wenye kiburi itakapo ijaza mioyo yao,ole wa haya kama yana ukwqeli,wataanguka na hawatainiuka,leo ninatoa unabii mkuu katika Jamii Forum,Siku ya huzuni inakuja kwa wanaowadhulumu watanzania na kuwapuuza kwa uonevu na manyanyaso,Tuombe sana ili kujiliwa kwetu tuwe katika mising ya haki,ole wao watoto wa watawala wanaotumi nafasi za wazazi wao kijitajirisha kwa hila na kuacha njia za haki,
Sikia eee Tanzania,Mungu wa Yakobo asema hivi,hii ni saaa ya kupelelezwa kwako,ujapo zificha hazina zako katioka bahari na mashimi,Mungu atazifichua na kukufanya mtupu watu wa one aibu yako,kwa maana umetenda kiburi na kifuata miungu ya dunia ,na waganga na wabiga ramli na wabashiri,nawe umamkataa Mungu wa kweli mwenye hukumu \za haki na upendo katika Yesu,Ole wa miti na bahari,ole wa o maana kwa hakika ni siku ya giza lakini hawawezi kuiona kwa maana macho yao yamepofushwa na mali na tamaaa za dunia hii,ninaluia kwa taifa hili ole,
 
Mkuu, kwa nafasi yangu kama katibu wa wabunge wa DSM nieleze tu kwamba Esther pamoja na Deo ambao wote ni wajumbe wa kamati ya kudumu ya hesabu za mashirika ya umma walishiriki kwenye kikao chetu cha jana cha wabunge wa DSM kutoa mchango wao wa mawazo kwa sababu kuna taarifa kuhusu kashfa ya UDA ambazo zilipitia kwenye kamati yao. Nafahamu kuwa Robert Kisena wa Simon Group Ltd alikutana na Zitto wakiwa pamoja na Esther siku kadhaa nyuma ili kuwapa taarifa za upande wao. Hata hivyo, naelewa kwamba msimamo wa wote wawili na kamati yao ni kupinga ufisadi na ukiukwaji wa sheria uliofanywa kuhusu UDA uliohusisha kampuni ya Simon na wamepingana wazi wazi na Robert. Leo wabunge wa Dar es salaam tumetoa tamko kuhusu matatizo ya UDA ikiwemo nafasi ya Meya Masaburi katika sakata zima pamoja kutoa mwito wa hatua za ziada kuchukuliwa zaidi ya kauli aliyotoa Waziri Mkuu Pinda bungeni leo wakati akijibu maswali ya papo kwa papo. Nawatakia mjadala mwema

JJ

Tunashukuru mkuu kwa kutufafanulia..maana sisi tuliombali tulipata hizi taarifa za huyu jamaa kuonekana akijaribu kukutana na watu wa upande wenu....na tunashukuru sana kama wamemueleza wazi kuwa hawaungi mkono....na especially kwa Easther mkumbushe kuwa huyu meya masaburi ndiye aliyeuwa mradi wa magari ya wanafunzi wa umoja wa vijana akishirikiana na kina sukwa said sukwa ,kilaza william lukuvi etc....tunashukuru sana kama wabunge baadhi wa ccm wanaanza kuelewa umuhimu wa kuungana kwenye hoja za msingi za taifa...upinzani sio uadui...na naamini kwenye masuala ya Kitaifa mtaonge firm bila kuweka siasa ...kama ambavyo katika siku za karibuni mmefanikiwa kufanya...

Pia tunaomba kuelewa jambo moja ..kwanini serikali inadharaulika ?? wameondoa kodi...na bado mafuta wamekataa kushusha ..what is this>>>
 
1. uhusiano wa kibiashara kati ya ridhiwani kikwete na robert kisena ..yamekuwa yakiongelewa kwa muda sasa....kuanzia kwenye ununuzi wa pamba [kisena akilaumiwa kuwapusha mzani wakulima]...hadi biashara ya kupeleka mafuta migodini...na uchakachuaji wa mafuta.....katika hali inayoendelea ni wazi kila mtu atajiuliza robert kisena ni nani hadi aweze kumilikishwa uda ...kwa kiasi cha shilingi milioni 250 tu.....

Ukizingatia mali zinazohamishika na zisizohamishika...za mabilioni ya shilingi ..ikiwemo yard kubwa sana jirani na bandarini.........imeshangaza sana kuwa uda inauzwa asilimia 52% kwa bilioni 1.4 ,robert anatoa 250 million na anapewa ..haki zote....tena bila kufuata taratibu za public procurement...nani hapa ameona tangazo la uda kutafuta mbia ..na taratibu zimefuatwa???

Tunapenda kuwa na wawekezaji wazawa lakini ..kitendo kinachodhaniwa kufanywa na mtoto wa rais kupenyeza rafiki zake kama kivuli cha kujimilikisha uda hakikubaliki kabisa ...kwani kila mtu anajuwa uhusiano wa kibiashara kati ya robert na ridhiwani ...hii ilipelekea hadi kwa ushawishi wake roberty akapitishwa kugombea ubunge maswa ..hata baada ya kushika nafasi ya tatu nyuma ya shibuda,na joseph......hii ilipelekea ccm ...kupoteza jimbo...serikali ya kishkaji
!


uda yauzwa kwa bei chee, ofisi zake zavamiwa - page 4


mgombea wa ccm ampiga ocd,ridhiwani amdhamini......


"mgombea huyo (kisena) ametiwa nguvuni kutokana na mzozo wake na ocd wa maswa juzi kituoni hapo na kumpiga ocd," alisema kamanda siasi, ambaye mwishoni mwa wiki alikaririwa akisema kuwa suala la shambulizi hilo ni la ocd ndunguru na si jeshi la polisi na kufafanua kuwa ofisa wake ndiye aliyetakiwa kuamua au kutoamua kumshtaki mgombea huyo kwa tuhuma hizo za kufanya jinai.

Akizungumza kwa njia ya simu siku ya tukio, ocd ndunguru alisema mgombea huyo wa ccm aliyeambatana na viongozi wa chama hicho walifikika polisi na kuuliza mahali alipo shibuda, lakini kabla ya kujibiwa kisena alimrukia ocd na kuanza kumshambulia kwa mateke kiasi cha kumuangusha chini.

“alinirukia na kunipiga,” alieleza ocd, lakini 'bosi' wake, ambaye ni kamanda siasi, akasema kuwa “suala la kisena na ocd ni jambo la kawaida kiutendaji na wala siwezi kulizungumzia... Kwa sasa hapa ninashughulika na suala zito la mauaji



the driver of the chama cha mapinduzi (ccm) parliamentary aspirant for maswa west constituency, mr steven kuilasa (16), was attacked and killed on friday by chadema supporters. The deceased was the driver of maswa aspirant mr robert kisena.
[h=1]mwekezaji mpya uda lawamani[/h][h=2]meneja uda aliyesimamishwa kazi amjibu meya masaburi[/h]
meneja wa shirika la usafiri dar es salaam (uda), victor milanzi, aliyesimamishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu , amekanusha kuhusika na ubadhilifu wa sh.millioni 200 zilizopotea na badala yake amemtaka meya wa jiji la dar es salaam, didas masaburi.akizungumza na waandishi wa habari jijini dar es salaam jana, alisema masaburi anaficha ukweli kwa sababu anashirikiana na mmiliki wa kampuni ya simon group robert kisena kumchafua ili malengo yao yatimie.“meya masaburi akishirikiana na wamiliki wa simion group ambao ni vigogo mbalimbali akiwemo waziri wa muda mrefu wameapa kuichukua uda kwa nguvu ili waigeuze container terminal ili kukidhi matakwa yao binafsi,” alisema milanzi.milanzi alisema meya masaburi aliitisha kikao juni 10 mwaka huu na kubariki maamuzi ya bodi ya uda kwa kufanya kikao na mmiliki wa kampuni ya simon group huku akijua kuwa bodi ilikosea kwa kuwa ilikuwa haikuwahusisha wanahisa wakubwa.aidha, milanzi alisema meya katika kikao hicho alipitisha maamuzi hayo akijifanya yeye ni mwenyekiti na robert kisena mmiliki wa simion group kuwa katibu na kufanya maamuzi batili bila ridhaa ya baraza la madiwani na wanahisa wakubwa.hata hivyo, uchafu huo ulikamilika pale alipomkabidhi kampuni ya uda siku hiyo hiyo simion kisena kwa vile alilipa milioni 285 sawa na asilimia 12.5 ya hisa zote za uda na kumtangaza mbele ya wafanyakazi.alidai kuwa mmiliki wa kampuni hiyo juni 22, saa 2:00 ya usiku alivunja ofisi za umma za meneja mkuu wa uda na kuiba nyaraka muhimu zikiwemo hati miliki ya majengo na kuitaka serikali isikae kimya wakiangalia mali za uda zikiporwa kwani wao ndio mmiliki.awali meya alitangaza kuunda tume mbili kwa ajili ya kuchunguza fedha zilizopotea uda na mkataba uliopo pia kuchunguza matatizo yanayopatikana katika kituo cha ubungo na kwamba zitagharimu milioni tisa hadi watakapo maliza uchunguzi.meya alisema sh. Milioni 200 zilikuwa zimepotea na hazikuonyesha matumizi yake yoyote na ameipa tume mwezi mmoja ili kuweza kujua ukweli wa jambo hilo.

labda kwa kukumaliza kabisa angalia uwe ushafunguliaa..huyo bwana robert kwa kushirikiana na ridhiwan kikwete wameshirikisha kampuni moja ya kenya ili ionekane wana uzoefu kuanzisha kampuni ya groundhandling iitwayo
paradise na mhusika mkuu ni huyo bwana nyuma ya pazia la riziwani...katika kupitisha mashirika yatakayopewa kibali cha kufanya kazi za ground handling airport..paradise walienda kuhonga precission kulalamika kwa nini wanaruhusu kampuni moja ..jina kwenye maabano imeruhusiwa wakati wao wamekidhi mahitaji...hapo ndipo tcaa na wenzake kukaa chini na kuficha bahasha zao kupitisha kombe mwanaharamu apite wakaipitisha kampuni ya paradise...tuongeapo swissport nasikia awalali wanafikiria fujo za kijana riz1 atakazoanza nazo..anyway wakati baba anagombea si mlimuita chaguo la mungu sasa wasaidizi wa mungu si malaika basi riz1 ,miraj na wengine ninaowajua na nisiowajua hao ndio malaika wa tanzania hatuna budi kuacha wajitwalie watakacho

ukitaka kufwatilia zaidi nenda tcaa gorofa ya kwanza chumba namba 3,4,5 kama utawaloga wakupe issue kamili
 
ikarus kumbakumba imekumbwa na mazagazaga kibao tangu enzi zake za ukiritimba...sasa msumari wa mwisho unapigiliwa ijiishie mbali na kuhamisha ukiritimba kwa watu binafsi watakaokuwa na haki ya kusafirisha watz wote waliopo dar...muda mfupi ujao, daladala binafsi zinapigwa stop, uda kwa jina la Riz1 inakamata jiji chini ya mkopo wa nguvu wa mabenki kadhaa yatakayoungana kutoa mkopo mkubwa kuliko mitaji yao...ili mtoto wa rais na babaye washike hatma ya jiji....na ole wao wote wanaotia kauzibe...mtaipata hasira ya mwewe!
 
ninamshukuru mwenyezi mungu kwa kupunguza umri wa mwanadamu humu duniani....haya yote wayafanyayo linalonisuuza roho yangu na kuwa na amani ya bwana ni kuwa watayaacha hapahapa duniani........kwa hiyo wanajisumbua bure..............in jk's aura like father like son...............

ni kweli mkuu nakubaliana na wewe lakini kumbuka baibo inasema utakula mema ya nchi humu duniani na hakuna seehemu imeonyesha kuna nchi mbinguni sasa uoni wenzio watakuwa wamepata baraka za bwana na wewe kwa nini usifaiti utoke badala ya kujipa moyo hawa watakufa wakifa wanarithishwa ndugu zao nao wanaendelea kula mema ya nchi..swala la maana hizi ni changamoto tupanmbane mkuu kupita kila kona kutoka haya yawe changamoto ya maendeleo tusibweteke na watakufa wataacha utawaacha wewe hawa hata kufa una jua kuna mambo mengi afya..mwenzio akiumwa anawaishwa naa ambulance apolo hospital india wewe mpaka mchango wa ambulance utafutwe ufikishwe muhimbili unaishia kwenye
majokofu....in jesus name natangaza kama riz 1 ni tajiri basi mungu wanagu alie haia ni zaidi ya riz namai naamini utajiri huoooooooooo kama umemeee wa ngeleja
 
Ukiskia ya mussa utayaona ya rage aden
nimesoma gazeti moja mmoja wa waliokuwa mawaziri alieondoka na kashfa ya kibali cha sukari ameulizwa kwa nini
mmepitish hela kwenye account yake binafsi ya mfuko w kukopa na kulipa akasema kulikuwa na wasiwasi
account ya uda ina madeni sana bodi wakaniomba wapitishie kwenye account yangu..loh shame on him
babu wewe unajua ukija tankibovu kulia kuna shelli ya yule fisadi maranda anaenyea debe na ngebe zake
shuka chini acha bara bara ya kwanza kushoto acha ya pili kushoto ya tatu ingia mwisho wa kona kuna nyumba nzuri mbaya na ya ajabu ile nyumba aka gorofa 2 kubwa kama uwanja wa mpira ilijengwa ndanya miezi si chini ya minne imewekwa kila kitu siku napia nikauliza ile gari kama ya simba iddi wakasema ni nyumba anamjengea mkewe binafsi nawajua wakeze sasa haka sijui kametokea wapi na skata la uda nimejiulza wamajengewa wangapi wakina tankibovu???ndio maana tunaitaji kuleta sheria za CHINA ...rais mmoja wa ghana alisaini kuuwa kwa kakayake hivi hivi sababu ya upumbavu na mpaka leo anaheshimiwa vibaya nchini mwake tunaitajimarais kama hawa kuchinjawawili watatu ili 1000 wapone
 
niwazi kua CCM nikile cha chukua chako mapema,,kila mmoja sasa hivi anajikusanyia tu.Raisi mwenyewe katulia anajua mdawake hunakwisha na kashamkusanyia mwanae vyakutosha anatuona watanzania watu wakelele tu..then anaweka katabasam kake akiona wananchi wanakapokea naowakacheka basi anajua keshamaliza kila kitu..
CCM wataiteketeza TANZANIA jamani tuzielimishe jamii zetu tuwaondoe hawa watu sio wakuchekanao kabisaaaaaa
 
....dogo yupo fasta...kuna ile hoteli opposite na imalaseko....kwenye kona ya maktaba....balozi...
 
Back
Top Bottom