Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 14,174
- 30,653
Napinga uwepo wa Muumbaji aitwaye Mungu.Kwahiyo sasa unachopinga wewe kuhusu uumbaji ni nini? Ni kwamba uumbaji upo ila hakuna muumbaji?
Napinga uwepo wa Muumbaji aitwaye Mungu.Kwahiyo sasa unachopinga wewe kuhusu uumbaji ni nini? Ni kwamba uumbaji upo ila hakuna muumbaji?
Kama kujua kunahitaji uthibitisho na uhakiki basi watu wasingekuwa wanajua yasiyo ya ukweli, kama mfano niliyotoa wa mtoto kujua huyo mama aliyemlea ndio mama yake mzazi kumbe si kweli.Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho.
Kuamini ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho.
Na unaweza kuamini hata uongo. Kwa vile ni imani tu.
Kujua kunahitaji uhakiki na uthibitisho ili tuhakikishe kwamba hicho unachodai unajua ni ukweli au uongo.
Najua kwamba mtoto mchanga anayezaliwa leo anaweza kufariki.
Sihitaji imani, kuamini mtoto mchanga anayezaliwa leo anaweza kufariki.
Naona kama umeamua kuwa mbishi Kaka,..kuzaliana sio chanzo cha uhai bali ni njia ya ku reproduce the same species through DNA from its Original ancestors!! HIVI LOGIC RAHISI HII UNASHINDWA KUELEWA??...........Kuzaliana ndio chanzo cha uhai.
Ndio maana nilikwambia process ya kuzaliana ni Endless. Haina mwanzo wala mwisho.
Ukianza kuweka ulazima wa kwamba process ya kuzaliana ina mwanzo. Hata huo mwanzo wa process ya kuzaliana lazima uwe na mwanzo wake mwingine.
Na kama ulazima huo haupo, Hata huo mfumo wa kuzaliana hauna na Hauhitaji mwanzo.
Kumbe unajua kwamba inabidi kwanza kuwe na viumbe hai ndiyo kuzaliana kuwepo,.....sasa unachobisha ni kipi? unajichanganya sana, kuna muda unasema kuzaliana kunaanza ndiyo viumbe hai wanapatikana,...hapa unasema Lazima kuwepo na viumbe hai ndiyo kuzaliana kuwepo,....unakiri wazi kabisa kwamba kuzaliana hakuwezi kuwepo bila kwanza kuwa na viumbe hai,..SASA HAO VIUMBE WALITOKEA WAPI KABLA YA KUZALIANA KUWEPO?Kama hakuna viumbe hai wa kuzaliana kuleta uhai, utapata wapi huo uhai?
Sasa tusifanye mijadala mirefu.Naona kama umeamua kuwa mbishi Kaka,..kuzaliana sio chanzo cha uhai bali ni njia ya ku reproduce the same species through DNA from its Original ancestors!! HIVI LOGIC RAHISI HII UNASHINDWA KUELEWA??...........
Jaribu kuelewa basi hii narrative,..usipoelewa na hapa sidhani kama utaelewa tena...Think of it like writing a document. First, you create the original by writing it from scratch. This original document is what you’ve produced with your effort and creativity. Now, if you want more copies of that original document, you don’t create the content again—you simply use a copier or a system to duplicate the original. Reproduction works the same way: it’s just about creating copies of the original life (species), but it’s not the source of life itself. The source, like the original document, comes from something else entirely.....Bila shaka umeelewa, si ndiyo?
Sasa hiyo hoja kwamba kuzaliana ni Endless wewe umeitoa wapi? kuna tafiti umefanya? maana hata tafiti za kisayansi hazikubaliani na hiki unachosema,....Ukisema tu kwamba ni endless bila uthibitisho unaoingia akilini tutakuamini vipi? kumbuka kuzaliana kupo determined na vitu vingi tu ambavyo vikitokea reproduction haifanyiki,..
Kumbe unajua kwamba inabidi kwanza kuwe na viumbe hai ndiyo kuzaliana kuwepo,.....sasa unachobisha ni kipi? unajichanganya sana, kuna muda unasema kuzaliana kunaanza ndiyo viumbe hai wanapatikana,...hapa unasema Lazima kuwepo na viumbe hai ndiyo kuzaliana kuwepo,....unakiri wazi kabisa kwamba kuzaliana hakuwezi kuwepo bila kwanza kuwa na viumbe hai,..SASA HAO VIUMBE WALITOKEA WAPI KABLA YA KUZALIANA KUWEPO?
Naamini upo karibu zaidi kuelewa,..utaelewa polepole.
Hapa hatuzungumzii kila kitu maana hatujui kuhusu kila kitu let's be specific,..........Nadhani kwa kutumia hoja za kimantiki na kibaiolojia nilizokuwekea hapa umeweza kuelimika na kuelewa,.. na bila shaka hautorudia tena kusema kwamba;-Sasa tusifanye mijadala mirefu.
Nakwambia hivi, Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata chanzo cha kila kitu lazima kiwe na chanzo chake kingine.
Na kama si lazima hivyo, Hata viumbe na ulimwengu kwa ujumla hauna na Hauhitaji Chanzo.
Kwingine huku niku zunguka zunguka tu, kusiko na tija.
Maana hata mimi niki kuuliza, chanzo cha huyo Muumbaji unayedai yupo, Huwezi kuelezea wala kuthibitisha.
Tatizo unasema tu, ila kuthibitisha japo kwa hoja zinazoingia akilini huwezi..........Na kama si lazima hivyo, Hata viumbe na ulimwengu kwa ujumla hauna na Hauhitaji Chanzo.
Kitendo cha wewe kushindwa kuthibitisha kwamba viumbe wamejitengeneza wenyewe logically inakupa jibu kwamba viumbe wameundwa na Muundaji,.....Maana hata mimi niki kuuliza, chanzo cha huyo Muumbaji unayedai yupo, Huwezi kuelezea wala kuthibitisha.
Utaanza kuzunguka zunguka tu.
Hapa hatuzungumzii kila kitu maana hatujui kuhusu kila kitu let's be specific,..........Nadhani kwa kutumia hoja za kimantiki na kibaiolojia nilizokuwekea hapa umeweza kuelimika na kuelewa,.. na bila shaka hautorudia tena kusema kwamba;-
1. Kuzaliana kulianza kabla ya viumbe hai.
2. Kuzaliana ni chanzo cha uhai.
3. Kuzaliana ni endless/infinity.
Na wewe leta uthibitisho wa hicho unacho dai kiliumba Viumbe.4. Viumbe walijitengeneza au kujiumba wenyewe "self-made" labda ulete uthibitisho.
Sawa unakataa kwamba viumbe vimejiumba vyenyewe.Tatizo unasema tu, ila kuthibitisha japo kwa hoja zinazoingia akilini huwezi..........
Kitendo cha wewe kushindwa kuthibitisha kwamba viumbe wamejitengeneza wenyewe logically inakupa jibu kwamba viumbe wameundwa na Muundaji,.....
Nimekupa nafasi uthibitishe jinsi viumbe walivyojitengeneza wenyewe,UMESHINDWA,...Sasa kwa style hiyo huoni kwamba umethibitisha mwenyewe uwepo wa Muumbaji tena kirahisi kabisa...?
NB: Nadhani hii ni Knock Out ya wazi kabisa,...au unasemaje mtaalamu.
Ili ujue kitu kwa uhakika lazima uwe na uthibitisho.Kama kujua kunahitaji uthibitisho na uhakiki basi watu wasingekuwa wanajua yasiyo ya ukweli, kama mfano niliyotoa wa mtoto kujua huyo mama aliyemlea ndio mama yake mzazi kumbe si kweli.
Nilikwambia hivi najua kifo ni lazima.Kama unajua hata mtoto mchanga anaweza kufariki mbona sasa mbona napokwambia ueleze unajuaje kwamba kifo ni lazima unaleta hoja za uzee na kufa kwa seli kana kwamba usipozeeka haufi? Kama mtoto mchanga anafariki ina maana kifo sio lazima hadi ufike uzee huko seli zife.
Ninajua kifo ni lazima kwa sababu kifo huweza kutokea kwa namna yoyote ile regardless ya umri wa mtu.Unajuaje kwamba kifo ni lazima(uwe mtoto au mzee), kwanini kifo kiwe ni lazima?
Ila unakubali muumbaji yupo isipokuwa muumbaji aitwaye Mungu ndio unapinga hayupo?Napinga uwepo wa Muumbaji aitwaye Mungu.
Neno chanzo lina maana ya asili,sababu,mwanzo au kiini.Sasa tusifanye mijadala mirefu.
Nakwambia hivi, Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Hata chanzo cha kila kitu lazima kiwe na chanzo chake kingine.
Na kama si lazima hivyo, Hata viumbe na ulimwengu kwa ujumla hauna na Hauhitaji Chanzo.
Kwingine huku niku zunguka zunguka tu, kusiko na tija.
Maana hata mimi niki kuuliza, chanzo cha huyo Muumbaji unayedai yupo, Huwezi kuelezea wala kuthibitisha.
Utaanza kuzunguka zunguka tu.
Nadhani inatosha kwamba sasa unakubali kuwa kujua ni kujua tu na unaweza ukajua hata jambo la uongo, ila unaweza ukataka kuhakiki au kupata uthibitisho wa hicho unachokijua.Ili ujue kitu kwa uhakika lazima uwe na uthibitisho.
Otherwise unaweza kujua kitu hata kwa uongo.
Lakini ili kujua kwamba unachojua ni ukweli lazima uwe na uthibitisho.
Nilikwambia hivi najua kifo ni lazima.
Siamini kwamba kifo ni lazima.
Najua, siamini.
Ninajua kifo ni lazima kwa sababu kifo huweza kutokea kwa namna yoyote ile regardless ya umri wa mtu.
Muumbaji ni nini?Ila unakubali muumbaji yupo isipokuwa muumbaji aitwaye Mungu ndio unapinga hayupo?
Hakuna ugomvi usio na chanzo. Hapa umepuyanga kuleta mifano isiyo na mantiki.Neno chanzo lina maana ya asili,sababu,mwanzo au kiini.
Kutokuwa na chanzo kunafananaje? Kwa mfano unaambiwa kuna watu wana ugomvi mkubwa kwa muda mrefu ila ugomvi wao hauna chanzo, je wewe hapo unaelewa vp?
Yeah hapa sahihi.Nadhani inatosha kwamba sasa unakubali kuwa kujua ni kujua tu na unaweza ukajua hata jambo la uongo, ila unaweza ukataka kuhakiki au kupata uthibitisho wa hicho unachokijua.
Uwezekano huo ni mdogo sana na hauwezekani kwa 100%.Naona umekariri tu kusema unajua kifo ni lazima ila umeshindwa kueleza unajuaje? Labda nikubadilishie swali ni kwanini unasema kifo ni lazima? kwanini usifikirie upo uwezekano wa kuzuia tusife?
Mwenye kuumba ndio huitwa muumbaji.Muumbaji ni nini?
Ndio maana nikakuuliza kutokuwa na chanzo kunafananaje? Maana umekuwa ukisema kwamba sio kila kitu lazima kiwe na chanzo.Hakuna ugomvi usio na chanzo. Hapa umepuyanga kuleta mifano isiyo na mantiki.
Huwezi tu from no where, Uwe na ugomvi na mtu pasipo chanzo, sababu au kiini.
Kwahiyo issue ni kwamba kifo ni kitu ambacho kipo lazima kitokee(kwa hali yeyote ile) au kwamba tatizo ni uwepo wa hizo sababu zenye kuweza husababisha kifo?Yeah hapa sahihi.
Uwezekano huo ni mdogo sana na hauwezekani kwa 100%.
Kifo ni lazima kwa sababu unaweza kufa kwa namna nyingi sana.
Unaweza kuzuia njia moja, lakini bado kuna njia nyingi zinazoweza kuku sababishia kifo.
Unaweza kuzuia watu wasife kwa magonjwa, wakafa kwa Ajali.
Unaweza kuzuia watu wasife kwa ajali, wakafa kwa majanga ya asili kama vimbunga, mafuriko, matetemeko ya ardhi, radi n.k
Unaweza kuzuia watu wasife kwa magonjwa, ajali n.k, Wakafa kwa vita, kupigana na kuuana.
Unaweza kuzuia watu wasife kwa vita, wakafa kwa kujiua, kujinyonga, kunywa sumu, kujipiga risasi n.k
Unaona ilivyo ngumu kuzuia kifo kwa 100%?
Tayari kazi ya kuthibitisha umeimaliza wewe mwenyewe,...kitendo cha wewe kushindwa kuthibitisha kwamba viumbe vilijitengeneza vyenyewe ni uthibitisho tosha kwamba Viliumbwa,....hivyo kilichoumba simply tunaita MUUMBAJI au unataka uambiwe nini zaidi?Na wewe leta uthibitisho wa hicho unacho dai kiliumba Viumbe.
Sawa unakataa kwamba viumbe vimejiumba vyenyewe.
Nakubali.
Sasa eleza na thibitisha ni nini kiliumba Viumbe?
VIUMBE VIMEUMBWA NA MUUMBAJI.Usianze kuandika mada ndefu za kuzunguka zunguka.
Be specific, Nini kiliumba viumbe?
Na uthibitishe.
Usianze kuniambia muumbaji hana mwanzo, mara sijui muumbaji kapanda kashuka.
Umeshindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Muumbaji unayedai yupo, Halafu unalazimisha kwamba viumbe vina muumbaji..!!!Tayari kazi ya kuthibitisha umeimaliza wewe mwenyewe,...kitendo cha wewe kushindwa kuthibitisha kwamba viumbe vilijitengeneza vyenyewe ni uthibitisho tosha kwamba Viliumbwa,....hivyo kilichoumba simply tunaita MUUMBAJI au unataka uambiwe nini zaidi?
Kwanza, Thibitisha uwepo wa huyo Muumbaji.VIUMBE VIMEUMBWA NA MUUMBAJI.
Bado hujaeleza na bado hujathibitisha uwepo wa huyo Muumbaji.& Nadhani hapo nimekua specific vya kutosha.
Hata wewe umeshindwa kuthibitisha uwepo wa muumbaji unayedai yupo, Na umethibitisha wazi kwamba Hayupo.Kuthibitisha ushamaliza tayari,..sioni haja ya Mimi kuthibitisha tena.
Leta uthibitisho wa uwepo wa huyo Muumbaji.NB:- Kwa mfano tumeona Nyumba nzuri kwenye isolated area,..wewe ukasema Nyumba hii imejitengeneza yenyewe,..Mimi kwa upande wangu nikasema Nyumba hii haiwezi kujitengeneza yenyewe,.... kwenye case hii kitendo cha wewe kushindwa kuthibitisha kwamba Nyumba imejitengeneza yenyewe logically ni uthibitisho tosha kwamba Nyumba ILITENGENEZWA!