MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,076
- 3,549
Kufariki ni kitendo cha mishipa ya damu kutoweza peleka damu na hewa kwenye sehemu zote za mwili kwakua moyo umesimama kufanya hivyo,ni sawa na mtu aliopo ruvu juu/chini maji yakazimwa then hao wanaopata maji toka hizo sehemu wote wataathirika,its the same hapa.Nimekuwa nikiwaza kwa mda mwingi je inakuaje mtu unakufa, mbona huyu amekufa mapema, mbona huyu kachelewa kufa.
Sometimes unaweza kuona ni kama unakufuru au ninakufuru kumhusu Mungu ila kiukweli najikuta nikiwaza na kumsii Mungu kama nakosea aniepushe na fikra hizi. Ila kuwaza mambo haya sio kukufuru maana nitakuwa na ushahidi fulani hapa.
Mungu ameonyesha kiwango fulani ccja mwanadamu kuishi katika Dunia na alibadili kwa kila baada ya muda.
Kwa sasa tumepewa miaka 70 tu katika maisha ya kawaida, je Mungu ni muongo maana Kuna watu wanazidi hiyo sabini na wengine wanapungua katika hiyo. Sasa angalia nini kinachosababisha kutokana na uchunguzi wangu.
1. Uchunguzi wa kikawaida(normal investigation)
2. Uchunguzi wa kidini(Religion investigations)
Hapa ntatumia uchunguzi wa kawaida hauhusiani na Imani
Kwanza kifo ni Hali ya roho na mwili kutengana, hivyo roho inaondoka au inatoka na kuacha mwili.
Mwili hauwezi kufanya kitu pasipo roho labda kuwe na seli hai zilizobakia kwa mda mchache baada ya roho kutoka(ntaelezea mkitaka).
Sasa twende kwenye Mada kwa nin tunakufa kwa kutofautiana umri.
A. Muda wa kuanza tendo la ndoa baada ya kubalehe au kuvunja ungo
B. Ufanyaji wa mapenzi
C. Shughuli tunazofanya
D. Ulaji
E. Uzembe wa kujilinda
Chazo chakusimama sasa hapo ndio yanakua mengi matatizo kwanini umesimama,haya maelezo vimetengana ni kidini zaidi but scientific ni kua hakuna vitu vimetengana bali vimeacha kufanya kazi.