Uchumi wa Kenya unategemea mahusiano ya kibeberu dhidi ya Tanzania

Binafsi sijawahi ona kenya ni hatari kwa ukuaji wetu kiuchumi. Pia kutaka kila kitu kulinganisha na kenya ni kukosa exposure. Kuna nchi nyingi za ukanda wa SADC ambazo zinafanya vizuri sana katika sekta muhimu za uchumi. Mfano, nimekuwa nikisema mara kadhaa, tukitaka kujua namna bora ya kusimamia rasilimali zetu hususan madini, twende Botswana, tukitaka kuwa na utalii endelevu twendeni Afrika ya Kusini n.k. n.k. Kenya ni jirani ambaye hana miiko wala soni katika utendaji kazi wake. Yeye anaweza kusema kitu chochote bila kujali mwenzake atakionaje. Mfano mara nyingi wakiwa wakisema Serengeti, Ngorongoro, Olduvai, kilimanjaro iko kenya. Sasa vitu kama hivyo vinaifanya Tanzania kuona hizo ni hujuma ambazo zinafanyika kimakusudi na nchi jirani ya kenya. Na hilo linaendelea kuaminika kwa kuwa serikali ya kenya haitoi tamko lolote kuhusu hilo au hata kukemea wafanyabiashara wanaofanya upotoshaji huo kimakusudi. Pia vitu kuhusu kuwa na systematic move of pulling back/down hiyo ni hisia. Kenya is like a jungle. The strong eats the weak. Even in their country there is a serious class struggle. Some ethnic groups feel that their problems are caused by that group (They point their fingers 👉👉👉). So they are always in friction among themselves, in such a way they have no time, plan or strategy to pull down others. If in any incidence this happens, then it's by coincidence. Haikupangwa na nchi,inawezekana ikawa kikundi fulani, lkn si serikali.
 
Kwani ukilewa lazima uje huku jukwaani? Hizo ni nchi za kijamaa?

Kama aliyekwenda shule ni kama ww, bora mtu asiende.

inabidi uende ukalejee economic systems of the world. uone kama kuna nchi ambazo ni pure capitalist or socialist. What you check is degree of each wing.
 
Binafsi sijawahi ona kenya ni hatari kwa ukuaji wetu kiuchumi. Pia kutaka kila kitu kulinganisha na kenya ni kukosa exposure. Kuna nchi nyingi za ukanda wa SADC ambazo zinafanya vizuri sana katika sekta muhimu za uchumi. Mfano, nimekuwa nikisema mara kadhaa, tukitaka kujua namna bora ya kusimamia rasilimali zetu hususan madini, twende Botswana, tukitaka kuwa na utalii endelevu twendeni Afrika ya Kusini n.k. n.k. Kenya ni jirani ambaye hana miiko wala soni katika utendaji kazi wake. Yeye anaweza kusema kitu chochote bila kujali mwenzake atakionaje. Mfano mara nyingi wakiwa wakisema Serengeti, Ngorongoro, Olduvai, kilimanjaro iko kenya. Sasa vitu kama hivyo vinaifanya Tanzania kuona hizo ni hujuma ambazo zinafanyika kimakusudi na nchi jirani ya kenya. Na hilo linaendelea kuaminika kwa kuwa serikali ya kenya haitoi tamko lolote kuhusu hilo au hata kukemea wafanyabiashara wanaofanya upotoshaji huo kimakusudi. Pia vitu kuhusu kuwa na systematic move of pulling back/down hiyo ni hisia. Kenya is like a jungle. The strong eats the weak. Even in their country there is a serious class struggle. Some ethnic groups feel that their problems are caused by that group (They point their fingers 👉👉👉). So they are always in friction among themselves, in such a way they have no time, plan or strategy to pull down others. If in any incidence this happens, then it's by coincidence. Haikupangwa na nchi,inawezekana ikawa kikundi fulani, lkn si serikali.
A good response, ila maoni yako iko biased and negative towards Kenya without meaningful substance and proper context, iko influenced by the negative perception mlio nayo wengi wenu towards Kenya, thus the attitude expressed in your writing., yes kuna issues but not the way umeweka., infacts hii ya kusema eti Kilimanjaro iko Kenya, those are totally small individuals and businesses to warrant any response from the govt, nyie ndio huwa muna make a big deal out of small issues., ata mtu binafsi akisema jambo kwa tweeter ama in some interview somewhere, aseme mambo kama ya kilimanjaro, in Tanzania itachukuliwa ni kama ni Kenya yote imesema, media na viongezi wenu wengine watasambaza in a propaganda way, ilhali wana respond kwa watu ama vibiashara vidogo tu!, badala ya kuchukulia kama changa moto ya ku market nchi na rasilmali yenyu, wanapoteza nguvu kulia lia kwa vitu vidogo sana na kueneza chuki isiyo kua na msingi mwafaka., mko na matatizo nyinyi wenyewe.
 
A good response, ila maoni yako iko biased and negative towards Kenya without meaningful substance and proper context, iko influenced by the negative perception mlio nayo wengi wenu towards Kenya, thus the attitude expressed in your writing., yes kuna issues but not the way umeweka., infacts hii ya kusema eti Kilimanjaro iko Kenya, those are totally small individuals and businesses to warrant any response from the govt, nyie ndio huwa muna make a big deal out of small issues., ata mtu binafsi akisema jambo kwa tweeter ama in some interview somewhere, aseme mambo kama ya kilimanjaro, in Tanzania itachukuliwa ni kama ni Kenya yote imesema, media na viongezi wenu wengine watasambaza in a propaganda way, ilhali wana respond kwa watu ama vibiashara vidogo tu!, badala ya kuchukulia kama changa moto ya ku market nchi na rasilmali yenyu., mko na matatizo nyinyi wenyewe.

Iko hivi, if the kids of your neighbor did something bad to your house, you started to complain in such a way some of your neighbors know, even the further of kids who committed bad deeds also knows. Then that parent(s) especially the father "bad kids" remains silence. What the decrying neighbor will think. Ndivyo ilivyo kwa Tanzania, we never ever heard kenya is condemning in serious note those who commit bad deeds to neighbors. Hiyo ndiyo inatufanya tuamini the GoK is behind those gimmicks.
 
Mada kama hii huwa zinaumiza sana.

Mwishowe mtu unajiuliza, hivi hao Kenya wana mvuto gani na Tanzania, kiasi kwamba tumeshikiliwa na sumaku yenye nguvu tusiyoweza kujinasua nayo?

Nilishauliza swali humu, lakini sijawahi kupata jibu juu yake:
Tunao majirani wengi sana tunaopakana nao mipaka, lakini katika majirani wote hao, hakuna nchi hata moja ambayo, sijui kama ni kwa kujua au kutojua, tunao njia nyingi sana za kuingiliana nao ukilinganisha na njia tulizonazo na jirani yetu Kenya, tena njia hizo zinaendelea kuboreshwa kwa kiasi kikubwa, huku majirani zetu wengine ni kama hatuna habari nao.
Kwa nini imetokea kuwa hivyo, ni mipango ya hao wenye bahari yao wanaofanya mambo bila ya sisi kutambua?

Angalia mpaka wetu na Kenya, tuna barabara nzuri kuingiliana pale Namanga, nyingine ipo siyo mbali sana pale Horiri, na nyingine Holoholo, Tanga. Ziwani kuna meli kadhaa, na bado Kenya wanatafuta njia ya moja kwa moja ya kuingilia Serengeti. Pale Sirari kuna barabara nzuri kuingia Mara, Mwanza, Simiyu na maeneo mengi mengine toka Kenya.

Angalia ramani, Namanga na Horiri zimeunganishwa na Mombasa kwa barabara safi kabisa. Barabara hiyo ikitoka Mombasa, kuingia Arusha, inachepuka na kuteremka kwenda Singida kuungana na ile kuu kuelekea Tabora na kwingineko, kama Burundi na hata Rwanda. Barabara hiyo wenyewe waliwahi kusema ni barabara yao ya kwenda Burundi, tokea Mombasa, na muda si muda watadai kupitisha mizigo yao kwenda huko.

Bado hairidhishi, kuna barabara tunachukua mkopo wa AfDB, ijengwe toka pale mpakani Tanga , ikitokea Malindi, iambaeambae kando kando ya bahari ya Hindi ifike Bagamoyo. Tumechukua mkopo tujenge barabara hii, huku ikiwepo barabara nzuri tu toka Tanga hadi Dar.
Hii barabara ni ya nini, kutuletea wakenya pwani kwetu?
Hatuna mahitaji ya barabara nzuri kama hiyo na majirani zetu wengine, kama Uganda, Zambia, Malawi, na hata angalau kuweka meli kadhaa kuvusha ziwa Tanganyika kwenda DRC?

Kenya kuna nini tunachokifuata huko kila mara! Ni viongozi gani wanaotufunga na Kenya kiasi kwamba tunajisahau kuwa tunao majirani wengine tunaohitaji kufanya biashara nao?

Ninakubaliana na mada yako kwa jambo moja.
Kuna njama za namna fulani zinazotuvuta kuwa mkia wa Kenya.
Siri Ni Kuwa moja ni Ndugu na moja dada,sisi Ni watu wa Tumbo moja🤣🤣🤣🤣🤣Hamuwezi kutukwepa,na sisi hatuwezi kuwakwepa,Shida Ni mmoja akuwe na Akili ya Haraka kuliko mwingine Ndio maana unaona mwingine juu na mwingine Chini😁Tafakari hayo na utulize Roho na uchape Kazi🙈
 
Iko hivi, if the kids of your neighbor did something bad to your house, you started to complain in such a way some of your neighbors know, even the further of kids who committed bad deeds also knows. Then that parent(s) especially the father "bad kids" remains silence. What the decrying neighbor will think. Ndivyo ilivyo kwa Tanzania, we never ever heard kenya is condemning in serious note those who commit bad deeds to neighbors. Hiyo ndiyo inatufanya tuamini the GoK is behind those gimmicks.
Unfortunately this argument isn't applicable in the scenario that you projected earlier, the scope in which such reasoning is applicable is narrow, exactly and literally level ya next door neighbor ama village clan levels, inabaki hivyo tu kama vile ume elezea hapa 👆 ni kama watoto wakicheza, kisha wapigane ama mwingine amgonge mwenzake wakiwa mchezoni, wazazi hua hawaingili such kiddish issues, thus hii argument yako is obviously fallacious, it is not applicable in the issue u outlined earlier, which is so petty for any serious govt to even think about, or even make it a diplomatic issue, itakua nikupoteza mda na ku waste resources. Infact sisi tumezijua kupitia media zenyu na mitandao za kijamii, yaani ni non issue kabisaa to even feature in any of our media outlets., maybe gossip sections.
 
Unfortunately this argument isn't applicable in the scenario that you projected earlier, the scope in which such reasoning is applicable is narrow, exactly and literally level ya next door neighbor ama village clan levels, inabaki hivyo tu kama vile ume elezea hapa 👆,, thus hii argument yako is obviously fallacious, it is not applicable in the issue u outlined earlier, which is so petty for any serious govt to even think about. Infact sisi tumezijua kupitia media zenyu na mitandao za kijamii, yaani ni non issue kabisaa to even feature in any of our media outlets., maybe gossip sections.

Hata sijaelewa unashindwa wapi kujua kwamba, kitendo cha GoK kukaa kimya bila kusema kitu kwa wananchi wake wapotoshaji it has the adverse impact to the relationship btn the countries. Wewe mtu anasimama mbele ya altar UN auditorium na kusema Olduvai Gorge iko kenya, halafu wewe unasema that's a trivial thing. kwa maoni hayo, nimechagua kutofautiana na wewe.
 
Nazidi kupata burudani kwenye huu uzi, hehehe!!! Hivi ina maana Watanzania kwa majirani zenu wote hao huwa mnaona mtulilie sisi Wakenya tu.....
 
Simple, zile nchi zilizo wazunguka hazina faida sana kiuchumi kwa Tanzania, ni fukara sana ukilinganisha., kwa mfano Burundi itapatia nini Tanzania ama Tanzania itauza mali kiasi gani kule ilhali mahitaji yao ni kidogo kwasababu ya uchumi ndogo?., Mahitaji yao ya imports ni kidogo sana yaani hata haiwezi kuipa Dar port faida, mali mingi yenye inapitia dar port inaingia Tanzania kwa matumizi., then zile chache mnasambazia akina Congo, Rwanda na Burundi., ni uchumi sio njama ama eti kuna kiongozi anae wafunga na Kenya, kwanza viongozi wenu na wanasiasa hawapendi Kenya ndio maana wanawalisha propaganda, ila wanabiashara na wakulima wanaona faida mingi Kenya wanajileta, pole pole mmeanza kukua mabepari kwa mpigo, kwa ajili ya forces of supply and demand, na sio siasa wala nini., Serikali ya Tanzania inajenga miundo mbinu kutokana na hitaji, kama usafiri na biashara kuelekea upande wa Kenya kwa wingi kushinda zile nchi zingine, wataboresha infrastructure huo upande, mbona wajenge barabara mingi kuelekea Rwanda, Congo na Burundi na pesa na ushuru kwa Tanzania ambazo biashara kutoka hizo nchi ni kidogo ukilinganisha na pesa taifa linapata na faida kwa wanabiashara kutoka Kenya?
Think outside the box, sio kila jambo unaona mischief, elewa economics. Wanasiasa wenyu ndio vikwazo kwa ukuaji wa Tanzania, wala sio wakenya ama serikali ya Kenya, la hasha.
Mkuu, sioni 'economics' yoyote kama unayoiandika hapa mbali ya unyang'anyi.

Kenya ni 'outpost' ya wanyang'anyi. Ni kama kituo (station) ya maharamia wanaotafuta kuja kunyang'anya katika eneo lote la ukanda huu wakitumia Kenya kama 'satelite state' yao; halafu walichochuma wanahamishia kwao.

Kenya hakuna ubepari, ni unyang'anyi tu unatumika huko. Wewe utasemaje kwamba 'tenderpreneurs na cartels' ni mabepari, labda uwe hujui maana ya ubepari.

Huwezi ukasema nchi kama DRC na Zambia, Mozambique, Ma;lawi na Uganda hawana faida kwa Tanzania kiuchumi, bila wewe kujua maana ya uchumi. Kwanza ungeelewa maana yake ungetambua kwamba uchumi rasmi kati ya Tanzania na Kenya sio wa kuzungumzia hapa, ni kiasi kidogo sana kisichoweza ku'justify' Tanzania kuweka nguvu zake nyingi huko kuliko kwenye hizi nchi nyingine majirani.
 
Hehehe!!! Hivi vilio vya Watanzania husababisha nicheke sana, mimi Mkenya hapa nakaa mkao wa kusoma comments tu...miaka nenda miaka rudi mnalialia Kenya hiki Kenya kile, kuanzia kwa mababu zenu kuja mpaka kwa wajukuu kila siku Kenya...Kenya...Kenya....
mkuu tumeshaanza kuwaingiza king, na sasa hamtatoka, Tanzania will be economic giant in this region soon
 
Nazidi kupata burudani kwenye huu uzi, hehehe!!! Hivi ina maana Watanzania kwa majirani zenu wote hao huwa mnaona mtulilie sisi Wakenya tu.....
endelea kuburudika, soma historia, kuna wakati mwalimu alimtuma waziri wake kenya aje Tanzania akanunue mahindi na ngano kwa bei rahisi halafu kwa sharti la final product kuuzwa tanzania na uganda, SASA HILI NI HISTORIA, MNAYO KAZI KUBWA SANA, SASA NI KUACHA KIBURI NA KUDEMKA KITANZANIA KAMA MNAVYOFANYA LASIVYO .................
 
Siri Ni Kuwa moja ni Ndugu na moja dada,sisi Ni watu wa Tumbo moja🤣🤣🤣🤣🤣Hamuwezi kutukwepa,na sisi hatuwezi kuwakwepa,Shida Ni mmoja akuwe na Akili ya Haraka kuliko mwingine Ndio maana unaona mwingine juu na mwingine Chini😁Tafakari hayo na utulize Roho na uchape Kazi🙈
EeeenHeee, ninakucheka sana mkuu. Kenya hawezi kuwa ndugu sana na Tanzania kuliko Somalia, au hujui? Hilo moja.

"...akuwe na Akili ya Haraka kuliko mwingine Ndio maana unaona mwingine juu na mwingine chini..." Huwa wakenya mnajidanganya sana juu ya hili, mkidhani mpo juu! Mpo juu wapi? huenda hujawahi kufika Kilifi county kuona hali za maisha ya wananchi huko, ukajiuliza huo ujuu unaousema ni upi. Na hiyo ni county moja tu, mwambao wote ule toka Kwale hadi Lamu hali si tofauti; na siyo huko tu, nenda Marakwet, Isiolo, Turkana, kote hata Kajiado, Kisumu, Ukanda wote wa ziwa, huwezi kusema mko juu. Hata hapo kwenye mlima wenu Central mnapojivunia, hali haiko juu, tunaifahamu vyema kabisa.
Ila watu mnaotokea hapo ndio mliojazwa na majivuno ya kudhani nyinyi ndio wakenya, nyinyi ndio mnaowasemea wakenya wote kwa hali zao! Hili ndilo tatizo lenu, na sasa mnalitoa nje ya mipaka yenu na kulileta huku nje.

Kenya haiko juu, ndiyo maana inahangaika sana na Tanzania kwa kujua Tanzania ndiyo inakwenda juu. Hili jambo linawapa taabu sana na hamuwezi kuzuia chochote.
 
Binafsi sijawahi ona kenya ni hatari kwa ukuaji wetu kiuchumi. Pia kutaka kila kitu kulinganisha na kenya ni kukosa exposure. Kuna nchi nyingi za ukanda wa SADC ambazo zinafanya vizuri sana katika sekta muhimu za uchumi. Mfano, nimekuwa nikisema mara kadhaa, tukitaka kujua namna bora ya kusimamia rasilimali zetu hususan madini, twende Botswana, tukitaka kuwa na utalii endelevu twendeni Afrika ya Kusini n.k. n.k. Kenya ni jirani ambaye hana miiko wala soni katika utendaji kazi wake. Yeye anaweza kusema kitu chochote bila kujali mwenzake atakionaje. Mfano mara nyingi wakiwa wakisema Serengeti, Ngorongoro, Olduvai, kilimanjaro iko kenya. Sasa vitu kama hivyo vinaifanya Tanzania kuona hizo ni hujuma ambazo zinafanyika kimakusudi na nchi jirani ya kenya. Na hilo linaendelea kuaminika kwa kuwa serikali ya kenya haitoi tamko lolote kuhusu hilo au hata kukemea wafanyabiashara wanaofanya upotoshaji huo kimakusudi. Pia vitu kuhusu kuwa na systematic move of pulling back/down hiyo ni hisia. Kenya is like a jungle. The strong eats the weak. Even in their country there is a serious class struggle. Some ethnic groups feel that their problems are caused by that group (They point their fingers 👉👉👉). So they are always in friction among themselves, in such a way they have no time, plan or strategy to pull down others. If in any incidence this happens, then it's by coincidence. Haikupangwa na nchi,inawezekana ikawa kikundi fulani, lkn si serikali.
Mkuu, umeeleza mengi ninayokubaliana nawe.
Ukiangalia Kenya ni kama nchi ya makabila matatu: Kikuyu na washirika wao ndani ya GEMA; Kalenjin, na Waluo. Wengine wote, hata ukiwahamishia Tanzania hutaona tofauti ya kuwepo kwao kukiwa tofauti na waTanzania wengine.

Sasa hawa watatu, na hasa hasa huyo wa kwanza, ndio tunayehangaika naye sana hadi huku. Yeye anapojitambulisha hata humu, hiyo ndiyo Kenya anayoifahamu yeye, siyo Kenya ya hao wengine.
 
EeeenHeee, ninakucheka sana mkuu. Kenya hawezi kuwa ndugu sana na Tanzania kuliko Somalia, au hujui? Hilo moja.

"...akuwe na Akili ya Haraka kuliko mwingine Ndio maana unaona mwingine juu na mwingine chini..." Huwa wakenya mnajidanganya sana juu ya hili, mkidhani mpo juu! Mpo juu wapi? huenda hujawahi kufika Kilifi county kuona hali za maisha ya wananchi huko, ukajiuliza huo ujuu unaousema ni upi. Na hiyo ni county moja tu, mwambao wote ule toka Kwale hadi Lamu hali si tofauti; na siyo huko tu, nenda Marakwet, Isiolo, Turkana, kote hata Kajiado, Kisumu, Ukanda wote wa ziwa, huwezi kusema mko juu. Hata hapo kwenye mlima wenu Central mnapojivunia, hali haiko juu, tunaifahamu vyema kabisa.
Ila watu mnaotokea hapo ndio mliojazwa na majivuno ya kudhani nyinyi ndio wakenya, nyinyi ndio mnaowasemea wakenya wote kwa hali zao! Hili ndilo tatizo lenu, na sasa mnalitoa nje ya mipaka yenu na kulileta huku nje.

Kenya haiko juu, ndiyo maana inahangaika sana na Tanzania kwa kujua Tanzania ndiyo inakwenda juu. Hili jambo linawapa taabu sana na hamuwezi kuzuia chochote.
🤐Karibu unikule🙈heeh tulia kidogo ata ukiandika Sana itabakia tu Tuko mbele yenu miaka 50
 
endelea kuburudika, soma historia, kuna wakati mwalimu alimtuma waziri wake kenya aje Tanzania akanunue mahindi na ngano kwa bei rahisi halafu kwa sharti la final product kuuzwa tanzania na uganda, SASA HILI NI HISTORIA, MNAYO KAZI KUBWA SANA, SASA NI KUACHA KIBURI NA KUDEMKA KITANZANIA KAMA MNAVYOFANYA LASIVYO .................

Hizi sounds nimeziskia miaka yote, oohhh mara mtaipita Kenya kiuchumi, ooohh mara sasa ni zamu ya Wakenya kushindwa mara Kenya hiki Kenya kile, lakini nyie ni wale wale, mumeimba huo wimbo tangu enzi za mababu zenu....fungua huu uzi hapa chini utajifunza kitu Mpaka Mwalimu Nyerere anaondoka madarakani, uchumi wa Tanzania ulikuwa ni mkubwa kuliko wa Kenya. Marais waliomfuatia walikwama wapi?
 
wacha nkufahamishe why we even entertain you,is just because we have a common language kiswahili,tungekuwa Tunaongea kiamharic hatungeonana ata kidogo
Hivi lugha hiyo unayoandika hapa ni kiswahili?

So you're here to "entertain"; what form of entertainment are you offering, comedy?
 
Nazidi kupata burudani kwenye huu uzi, hehehe!!! Hivi ina maana Watanzania kwa majirani zenu wote hao huwa mnaona mtulilie sisi Wakenya tu.....
Vijisababu visivyo kua na msingi mwafaka..,
 
Back
Top Bottom