Sawa mama la mamaShadeeya , Dr. Mariposa , Leejay49, Demi, Evelyn Salt , Mrs Byesige nawashukuru sana kwa ushauri wenu wanawake wenzangu japo Demi nina kiporo na wewe
SawaHuyu ni muislam ndoa kwake ni heshima na inamuepusha na zinaa ndio maana anauliza maswali km hayo
Ahaha😂😂😂🤣,Mtaua mbavu zangu enyi pipo
Ttz hujibu inbox za vijana wanapokutafuta haaaaaBora unisaidie.
Nataka kuikimbia zinaa
Unamsikilizia haujui umri unaenda? Unachakaa tu hapo , mwishowe unakua mchepuko wa kudumu.Ndio maan nimekaa namsikilizia
UnakuchoshajeBinafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.
Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.
Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?
Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.
Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Si tayari ushamwaga kitambo sana hadi sasa...🤔Unapata faida gani Demi?
Kwani mtu akiamua kubadili Id kuna dhambi?
Acha roho mbaya wewe mwanamke.
Mbona mimi sisemi mambo yako jinsi unavyowatongoza wanawake wenzako Pm ukitaka ukawasage? Au nimwage mchele hapa jukwaani?
Ipi hiyoHebu tufafanulie hii kauli yako kipenzi 😊
Huyu demi kama ni msagaji ashindwe katika jina la YesuShadeeya , Dr. Mariposa , Leejay49, Demi, Evelyn Salt , Mrs Byesige nawashukuru sana kwa ushauri wenu wanawake wenzangu japo Demi nina kiporo na wewe
Umemwambia mwenzako amsage vizuri.... Je, unamaanisha wafyatuane kike kwa kike?Ipi hiyo
Sasa kama anampenda si ahalalishe ndoa, ona binti wa wawatu anavyoanza kupata changamoto ya afya ya akili.huu ni zaidi ya ukatiri sasa,,, unamdanyaje mtu miaka 11 yote hiyo khaa
Atakaa mwezi hadi nipone "marazi"🤣🙌🤣🤣🤣🤣🤣 nmecheka kwakweli jf🙌🙌🙌
Demi pokea creditHaya nawashukuru kwa ushauri wenu.
Tuonane baadae kwenye vipindi vingine.
Ila mmeniweza 🤧🤧🤧