Uchumba wa muda mrefu umenichosha

Uchumba wa muda mrefu umenichosha

Hapana. Ninapata huduma zote kama mke na mpaka kuna baadhi ya ndugu zangu anawasomesha. Ni mtu anayeniheshimu sana.
Tunaishi pamoja na huenda hilo ndilo linalomtia jeuri
Sasa unataka uolewe mara ngapi kama mtu mnaishi miaka yote hiyo?
Umeishi na mtu vizuri na amani inatosha na hata kisheria nyie ni mtu na mkewe...sasa ukileta tu hizo harusi za showoff unazotaka utashangaa majanga yatakuanza
Hapo pambania watoto imekuaje miaka yote hiyo 11 hakuna kitu
 
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.

Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.

Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?

Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.

Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Njoo nikuwowe ndoa kesho tuu kwa upaja huo mbona full burudani.
 
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.

Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.

Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?

Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.

Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Mbona tayari uko kwenye ndoa, au mpaka upate karatasi ndo unaona ni ndoa. Keshakujua unataka mkataba then udai talaka mgawane mali.
 
Kama unahudumiwa unataka nn ? Mtoto ,? Beba mimba zaa, mengine yatajipa mbele kwa mbele,,,, ! Note; kubeba mimba sio guarantee ya kuolewa,, beba kwa kutaka kwako mtoto na sio vinginevyo
 
Kama wewe ulivyowekwa ndani na huyo shoga mwenzio au sio

Asante, lakini nimekujibu swali, hasira ya Nini sasa? Exactly Kwa Nini huolewi, ni kitu Gani hapo nimesema chastahili kunitukana hivyo? Hakuna mwanaume anaweza taka oa mtu kama wewe, ila kama una tako anaweza kulitumia miaka 11 hata zaidi.
 
Back
Top Bottom