Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,300
- 51,943
Ndio maana siku hizi najikita kwenye utaniutaniKufukua makaburi ni muhimu kabla hujaanza kutoa ushauri
Ndio maana siku hizi najikita kwenye utaniutaniKufukua makaburi ni muhimu kabla hujaanza kutoa ushauri
Msage tu mwaya🤣🙌Akikaa vibaya namaga yeye na huyo bwanake
Kwani sh ngapi eti?😅😅Msage tu mwaya🤣🙌
Sasa unataka uolewe mara ngapi kama mtu mnaishi miaka yote hiyo?Hapana. Ninapata huduma zote kama mke na mpaka kuna baadhi ya ndugu zangu anawasomesha. Ni mtu anayeniheshimu sana.
Tunaishi pamoja na huenda hilo ndilo linalomtia jeuri
Njoo nikuwowe ndoa kesho tuu kwa upaja huo mbona full burudani.Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.
Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.
Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?
Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.
Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Basi tu amejiskia kutuchosha kuandika ushauri😂,Ule uzi.naukumbuka ulienda naye sambamba dah
Mbona tayari uko kwenye ndoa, au mpaka upate karatasi ndo unaona ni ndoa. Keshakujua unataka mkataba then udai talaka mgawane mali.Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.
Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.
Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?
Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.
Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Bro unatuvuruga 😁Nimeamua kubadili jina ili niweze kuleta uhalisia wangu
basi da nusrat hapo ushaolewa imebaki kubaliki ndoaHapana. Ninapata huduma zote kama mke na mpaka kuna baadhi ya ndugu zangu anawasomesha. Ni mtu anayeniheshimu sana.
Tunaishi pamoja na huenda hilo ndilo linalomtia jeuri
Kama wewe ulivyowekwa ndani na huyo shoga mwenzio au sio
ila kama unafahamika kwao na yeye anafahamika kwenu tulia tu dadaYaani mpaka nimeishiwa pozi
Unataka entitlementHapana. Ninapata huduma zote kama mke na mpaka kuna baadhi ya ndugu zangu anawasomesha. Ni mtu anayeniheshimu sana.
Tunaishi pamoja na huenda hilo ndilo linalomtia jeuri
Hahahaa. Lol.Halafu kumbe huyu ndio yule miss natafutwa kabadili i'd hhhahHha😂😂😂😂😂😂😂😂😂
This is Jamii forums
Nasubiria pm yako 😁Kubadilika watu wanabadilika tatizo story zako haziendani. Ulikuwa unajiuza mara umeishi na huyo jamaa miaka 11. Haimake sense.
Wewe mwaga tu mchele hadharani na ukikaa vibaya nakuja kuwasaga wewe na huyo bwana wako..
Watu wako busy kufukua vilivyozikwa jamani😂😂Hahahaa. Lol.