Uchumba wa muda mrefu umenichosha

Uchumba wa muda mrefu umenichosha

Ungecheki na Manara mtaalam wa kuoa na kuacha.......atakuoa baada ya miezi mitatu anakuacha then unakuwa umetimiza lengo la ulishaolewa..then unarudi kwa mshkaji
 
Huyu mtu gani anapesa za kusomesha ndugu wa mchumba wake lakin anasubiri kujipanga ili azae naamini atakuwa na shida ya uzazi nendeni kwa Dr mkapime. Menopause itakukuta
 
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.

Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.

Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?

Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.

Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Natafuta mke awe na jina la Nusratt Mohamed tu 🎁
 
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.

Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.

Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?

Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.

Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
kwa hiyo ulikuwa unajiuza kwa miaka 6 hali ya kuwa uko kwenye uchumba wa miaka 11? inaelekea jamaa hakuoi na sababu iko wazi kabisa..
 
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.

Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.

Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?

Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.

Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Bak hapo hapo ndoa ngumu utakuja kushangaa ndoa yenu ikadumu mwezi tu
 
Mambo ya birdman na Toni Braxton hayo,

Wamekaa Uchumba sugu miaka 16,

afu ndoa wamefunga mwaka huu na imedumu mwezi mmoja TU,

MWANAMKE anadai kaichoka,wagawane nusu nusu ya Mali za birdman😂
 
Kuna mkao bado ujamkalia ndio maana anakwepesha ndoa.............anaona bado mapigano mazuri huna
 
Hahitaji mtoto mpaka tujipange.
Tunaishi maisha mazuri tu.

Mnajipanga mnaishi wote miaka yote hiyo.

mnatumia kalenda?
yani naturali kabisa hamna siku mmekosea kalenda kwa miezi 132?
 
Back
Top Bottom