hebu jipigepige kifua kujivunia hilo 🙂Hapana, mimi ni mwanamke halisi
HAHA SASA UZI UMEFUNGUA WA NINISITAKI USHAURI WA MTU PM.
NIACHENI NA MAISHA YANGU
Vyote ni chukizo kwa Munguanachofanya ni uasherati sio uzinzi mkuu.
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.
Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.
Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?
Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.
Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Sasa kama hivyo vyote unapata na una title ya mke wewe shida yako ni nini?? Ndoa itakusaidia nini hapo??Hapana. Ninapata huduma zote kama mke na mpaka kuna baadhi ya ndugu zangu anawasomesha. Ni mtu anayeniheshimu sana.
Tunaishi pamoja na huenda hilo ndilo linalomtia jeuri
Hapana. Ninapata huduma zote kama mke na mpaka kuna baadhi ya ndugu zangu anawasomesha. Ni mtu anayeniheshimu sana.
Tunaishi pamoja na huenda hilo ndilo linalomtia jeuri
Shida kutuvuruga broKanishikia sana bango.
Kwani kutoka Miss Natafutwa mpaka Nusratt kuna jambo geni?
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.
Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.
Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?
Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.
Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
mkalishe kikao mwambie nachohitaji mpe mwaka mzima kwamba ndani ya mwaka huu natarajia hili na umwambie mwaka ukiisha tu halijatokea ntaona sio riziki yangu nitaaga mashindano mwambie kwa utu na utulivu ila kwa kumaanisha na huo mwaka ukiisha achana nae si wako huyo akirudi kuomba mrudiane mwambie apeleke washenga home yani wewe uitwe home uulizwe tupokee posa au tusipokee pale ndo msamaha wako. haya kaa humo ushauri kama huu canada tunawatoza laki nne za kibongomlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema?
Asante sana, nitafanya hivomkalishe kikao mwambie nachohitaji mpe mwaka mzima kwamba ndani ya mwaka huu natarajia hili na umwambie mwaka ukiisha tu halijatokea ntaona sio riziki yangu nitaaga mashindano mwambie kwa utu na utulivu ila kwa kumaanisha na huo mwaka ukiisha achana nae si wako huyo akirudi kuomba mrudiane mwambie apeleke washenga home yani wewe uitwe home uulizwe tupokee posa au tusipokee pale ndo msamaha wako. haya kaa humo ushauri kama huu canada tunawatoza laki nne za kibongo
Mtaua mbavu zangu enyi pipoHalafu kumbe huyu ndio yule miss natafutwa kabadili i'd hhhahHha😂😂😂😂😂😂😂😂😂
This is Jamii forums
Mhh unahatari Binti yangu, sasa apo unahisi Kuna ndoa?Hapana. Ninapata huduma zote kama mke na mpaka kuna baadhi ya ndugu zangu anawasomesha. Ni mtu anayeniheshimu sana.
Tunaishi pamoja na huenda hilo ndilo linalomtia jeuri
Aaah hapana matumizi mabaya akiliToa tu kwa faida ya wengine.
Huyu ni muislam ndoa kwake ni heshima na inamuepusha na zinaa ndio maana anauliza maswali km hayoKua kama dada zangu niliozaliwa nao... Mchune hadi upate mtaji wa uhakika alafu fanya biashara unayoiweza kwa nguvu zako zote.
Utafanikiwa kiuchumi hata ukipata watoto wawili utawamudu wasome shule nzuri, wapate kila wanachotaka... Ndoa sio lazima sababu unaweza kuipata ukabaki kujuta kwanini usingeishi maisha yako