Uchumba wa muda mrefu umenichosha

Uchumba wa muda mrefu umenichosha

Cha kwanza acha kuishi kwa kuigiza mbele yake au mbele za watu.

Ishi free onesha uhalisia wako huenda bado anakusoma, so anapata shida kuamua kwakua hueleweki.

Ila kumbuka kwenye kuishi kwa kunyooka kuna moja kutokea kati ya haya mawili, Kufunga ndoa au kuachwa kabisa.
 
Unapata faida gani Demi?
Kwani mtu akiamua kubadili Id kuna dhambi?
Acha roho mbaya wewe mwanamke.
Mbona mimi sisemi mambo yako jinsi unavyowatongoza wanawake wenzako Pm ukitaka ukawasage? Au nimwage mchele hapa jukwaani?
Kubadilika watu wanabadilika tatizo story zako haziendani. Ulikuwa unajiuza mara umeishi na huyo jamaa miaka 11. Haimake sense.
Wewe mwaga tu mchele hadharani na ukikaa vibaya nakuja kuwasaga wewe na huyo bwana wako..
 
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.

Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.

Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?

Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.

Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.

Unafaa kwa Starehe na sio kuolewa, sijui hata Kwa Nini unauliza, kwa kifupi haufai kuwekwa ndani, mwanaume anayeona mwanamke anafaa hachelewi msogeza karibu!
 
Back
Top Bottom