Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,508
- 94,623
Unaumiza kichwa kumshauri. Hii ni chaiHapo tayari huyo ndio mumeo labda wewe uzingue... Samahani kwa ushauri mbaya niliotoa kwenye comment za mwanzo.
Unaumiza kichwa kumshauri. Hii ni chaiHapo tayari huyo ndio mumeo labda wewe uzingue... Samahani kwa ushauri mbaya niliotoa kwenye comment za mwanzo.
Aende kwao wapi? Alishatuambia alikuwa anajiuza...refer post zake za nyumaAcha zinaa...
Amka tu siku moja uchukue vyako uende kwenu kama anakuhitaji atakuja kukuoa ila hiyo ni sacrifice maana kama unamtegemea Kuna kukosa maisha hakikisha uko tayari kwa yote
DuhhhhhhAende kwao wapi? Alishatuambia alikuwa anajiuza...refer post zake za nyuma
Khee😁🙌Halafu kumbe huyu ndio yule miss natafutwa kabadili i'd hhhahHha😂😂😂😂😂😂😂😂😂
This is Jamii forums
Unaishi maisha mazuri unataka nini kingine kama unapendwa?Hahitaji mtoto mpaka tujipange.
Tunaishi maisha mazuri tu.
Ila nyie😃😅😅Khee😁🙌
Kudadeki watu hawaaminiki tena huku jamiiforum 😁😁
Kufukua makaburi ni muhimu kabla hujaanza kutoa ushauriKudadeki watu hawaaminiki tena huku jamiiforum 😁😁
Ule uzi.naukumbuka ulienda naye sambamba dahIla nyie😃😅😅
Kubadilika watu wanabadilika tatizo story zako haziendani. Ulikuwa unajiuza mara umeishi na huyo jamaa miaka 11. Haimake sense.Unapata faida gani Demi?
Kwani mtu akiamua kubadili Id kuna dhambi?
Acha roho mbaya wewe mwanamke.
Mbona mimi sisemi mambo yako jinsi unavyowatongoza wanawake wenzako Pm ukitaka ukawasage? Au nimwage mchele hapa jukwaani?
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014. Ninahudumiwa kila kitu.
Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali. Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.
Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa? Kuna dalili ya ndoa kweli hapa? Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?
Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema? Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.
Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
huu ni zaidi ya ukatiri sasa,,, unamdanyaje mtu miaka 11 yote hiyo khaaSahau unadanganywa