Uchumba wa muda mrefu umenichosha

Uchumba wa muda mrefu umenichosha

Amesema kila kitu kitapatikana ndani ya ndoa.
Na ndoa ni mpaka ajipange
Mtazamo wangu
Yaani wewe kwa unavyoongea hapa huta olewa, kwakuwa jamaa ameshaona wewe ulienda kwake kwa shida na sasa anaishi na wewe mwaka wa kumi na moja na wewe na familia yako wote anaona kama mna mtegemea mpaka kuwa somesha ndugu zako. Sasa ana haja gani kukuoa, kuongeza gharama ya harusi na sherehe wakati kesha kuoa bure?

Ushauri
Mwambie kuna mjomba wako mkorofi kaja kasema uondoke unafanya uzinzi anataka uolewe.. then rudi kwenu... subiria ndoa.
Kama anakupenda atakuoa, mwambie huhitaji sherehe, mfunge tu ndoa.
 
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014.
Ninahudumiwa kila kitu.

Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali.
Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.

Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa?
Kuna dalili ya ndoa kweli hapa?
Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?

Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema?
Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.

Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Unasomea PhD🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Binafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014.
Ninahudumiwa kila kitu.

Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali.
Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.

Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa?
Kuna dalili ya ndoa kweli hapa?
Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?

Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema?
Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.

Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Wanawake wengi wanachanganya kati ya ndoa na harusi,nadhani kama ni ndoa ni simple tu gharama yake haizi 200,000/= ila kama una ndoto za harusi endelea kuvumilia Hadi uzeeke. Wanawake hupenda harusi as a matter of show off,hili linawagharimu sana na kupelekea kukosa wanaume sahihi . think big
 
Back
Top Bottom