Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 28,995
- 51,486
11 years? Umeolewa bila documentation na hujuiBinafsi niko kwenye uchumba tangu mwaka 2014.
Ninahudumiwa kila kitu.
Kuanzia kula, kuvaa, matembezi na hata mitoko mbalimbali.
Tatizo nikimgusia suala la ndoa, anasema tujipange kwanza.
Tujipange mwaka wa 11 huu? Na hata mtoto hatujazaa?
Kuna dalili ya ndoa kweli hapa?
Nimechunguza kila mahala, kiukweli hana mtoto wala mwanamke mwingine, ila kwanini uchumba umekuwa mrefu hivi?
Wenzangu mlioolewa mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema?
Naombeni mbinu mlizotumia ili na mimi niweze kuzitumia katika mahusiano yangu.
Mbarikiwe na muwe na asubuhi njema.
Nusratt Mohamed.
Be serious mwambie unalipeleka kwa wazazi else hamna future