huwa unamajibu mazuri sana bila shaka mumeo kapata mtu ambae ni jembeKada wa chama Paul Makonda amekwenda kulisawazisha huko USA lilikoanzia.
Jina lako tu tosha na maandishi yakoVipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?
Ni kadi ngapi zilichomwa?
Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko![]()
![]()
Dah.... Hivi bado kuna watu wanawaza kuhusu Vyama?Please, don't giggle!
Hili ni swali muhimu sana kwa sababu tunakata ikifika 2019 CCM ibaki na watu wawili ambao ni 'Ngosha na Bashite'!
Kama isingekuwa Kinana kuwekwa kizuizini, kwa sasa angekuwa amesharudisha kadi ya CCM!
Kwa sasa tunaye kibindoni Wema Sepetu na Mama yake, bado Steve Nyerere na kundi lake la Bongo Movie!
Hizi siasa za kwenye Instagram zina vituko! Watu wazima na akili zao 'timamu' wanalishana ujinga!
AibuuuuuAs if kafulila ndio anayetawala hali ya hewa!
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Hali ya njaa ilishatabiriwa na Shirika la Chakula duniani (FAO), tangu Julai 28, 2016 kwamba ukanda wa Kusini mwa Afrika utakabiliwa na njaa kuanzia mwishoni mwa Desemba hadi Machi 2017 na huenda hali ikaendelea mpaka katikati ya mwaka 2018, kama hatua hazitachukuliwa kusaidia wakulima wadogo hasa kwa kuwapatia pembejeo mapema na wapande mapema mvua za Oktoba 2016.
Tanzania ni Kusini au Mashariki?Zimeishachomwa, itakua imebaki yako tu!Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?
Ni kadi ngapi zilichomwa?
Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko![]()
![]()
Mie sio huyo unayefikiria.... mimi sio mwanasiasa ID isikuchanganye natumia lugha kali maana unakera sana kwa hoja za kijinga kabisa !! Eti siasa ni 2020?? Kasema nani na katiba gani na sheria gani ya vyama vya siasa inasema hivo??? Mnasema nchi zilizoendelea mbona hutolei mfano uganda na congo na zambia na burundi na rwanda ambao ni majirani zetu na wanafanya mikutano kila cku iwehe nyie mifano mtoe marekani ambayo sheeia yao ya vyama vya siasa tofauti kabxa na yetuNilijua laxima utakuja kwa kuhemka, huwa hujibu mtu kwa hoja ukiambiwa ukweli, sasa matusi ya nini?..Unajiita mwana sheria, tumefanya uchaguzi mwaka juzi tu, kipi kipya ambcho unataka uzunguke nchini kueleza wakati uchaguzi mlishindwa? We ndo GT uchwara bora hata ungeshauri upelekwe mswaada wa kuzuia kampeni hadi ikibaki miaka miwili...walioshinda waendelee kuzunguka na kutimiza ahadi zao, cyp muda wa blah blah, mbna nchi zilizoendelea huu uozo haupo baada ya uchaguzi...tulia kijana acha matusi,
Mkuu jibu kwanza acha kukwepa maswali kivp mikutano kwa ccm halali kwa chadema haramuChadema ndio nini?
Nyie ndio mmekuja na mafuriko ya ulipo tupo ...Chadema imewahi kuwa huru kufanya mikutano? Unajua Mwangosi alifia wapi? ....mabomu ya Arusha? ....tulikuwa tunalazimisha kila namna kufikisha ujumbe kwa watawala ....sasa kama unasubiri ruhusa ya mikutano ya siasa ....subiri milele ....by the way ....nani ataenda mstari wa mbele na mkewe tena mjamzito kama alivyofanya Dr Slaa na wote kuishia kula kichapo hadi damu kumwagika? Nani anaweza kuongoza? Unakumbuka viwanja vya NMC Mbowe alivyotimka akaishia kukamatwa Dr Slaa kwenye gari la matangazo?Kama ni msimu kwanni mnaogopa mikutano ya hadhara??? Mnajua sana chadema wakipewa majukwaa ccm inapukutika zaidi ya 2015 cha kushangaza mnazuia afu mnakuja humu kujitia moyo kuwa ulikuwa msimu
We unaongea nni??? Au unatetea kila kitu tu hawa viongozi wa chama cha democrats mbona wanafanya mkutano wa hadhara kumpinga trump???Hakuna sh**t kama hivyo popote pale duniani. Hamna cha Congo, Kenya wala Zambia.
Mikutano ilikuwa imezuiwa ila at least huku ngazi ya kata tulikuwa tunapiga kama kawa na ilitusaidia sana kubeba viti vingi serikali za mitaa maana M4C sio kitaifa pekeee ila kuanzia ngazi ya msingi kufuatia kampeni ya chadema ni msingi kwahyo wakizuia mwembetogwa iringa unakuta shelui kumefanyika M4C, wakizuia kakonko unakuta ikungi imefanyika mkutano sasa huoni ilisaidia kuikuza chadema????Nyie ndio mmekuja na mafuriko ya ulipo tupo ...Chadema imewahi kuwa huru kufanya mikutano? Unajua Mwangosi alifia wapi? ....mabomu ya Arusha? ....tulikuwa tunalazimisha kila namna kufikisha ujumbe kwa watawala ....sasa kama unasubiri ruhusa ya mikutano ya siasa ....subiri milele ....by the way ....nani ataenda mstari wa mbele na mkewe tena mjamzito kama alivyofanya Dr Slaa na wote kuishia kula kichapo hadi damu kumwagika? Nani anaweza kuongoza? Unakumbuka viwanja vya NMC Mbowe alivyotimka akaishia kukamatwa Dr Slaa kwenye gari la matangazo?
Maandamano si mmezuia!!! Afu mtu akiitwa dikteta wanasema tunapinga kila kitu!! Kilichobaki hapa mbowe atupishe wanamageuzi juu awekwe gaidi wa mfano wa the Late alphonce mawazo katibu awe jitu kma heche au waitara hapo ndio watawala mtanyooka ila hizi diplomasia za mbowe na mashinji ndio zinawapa kiburi nyie magambaAndamana kamanda ukomboe inji hii
We unaongea nni??? Au unatetea kila kitu tu hawa viongozi wa chama cha democrats mbona wanafanya mkutano wa hadhara kumpinga trump???
Haya hapa chini mona ya wapinzani wa kuu uchaguzi uliopita vital kameerhe akipiga kampeni huko kasai kma kawa
Haya hapa chini kiongozi wa chama cha FDC Uganda Ret Gen.Mugisha Muntu akimwaga sera za chama huko masindi ssa propaganda za kuwa nchi za wenzetu hakuna siaaa mpaka uchaguzi zimetoka wapi???
Utakufa kihoro, msongo wa mawazo utakuua kwa kulazimisha mambo usiyoyawezaMaandamano si mmezuia!!! Afu mtu akiitwa dikteta wanasema tunapinga kila kitu!! Kilichobaki hapa mbowe atupishe wanamageuzi juu awekwe gaidi wa mfano wa the Late alphonce mawazo katibu awe jitu kma heche au waitara hapo ndio watawala mtanyooka ila hizi diplomasia za mbowe na mashinji ndio zinawapa kiburi nyie magamba
Hayo mamlaka kayatoa wapi??? Jitu linaleta udikteta mnaanza ooh marekani hawafanyi nakuwekea video unaanza ooh nenda marekanu hata hujui unachosimamia all in the name ya kumtetea huyo mwenyekiti wenuSasa si uende huko Marekani ukafanye hayo maandamano? Hapa ngosha ameshawaambia hakuna kitu kama hicho hadi mwaka wa uchaguzi. Mikutano ya ndani na ya wabunge wenu majimboni ni ruksa. Habari ndiyo hiyo. Hataki acha.
Mambo gani hatuyawezi??? We wajua kabisa M4C zikirudi mamilion ya wanaccm wanarudishaga kadi sasa kipi hatukiwezi?? Hici nyie miaka 50 mna nini cha kuwaambai watanzania wakati kila kitu ni failure nipe hata sector moja ambayo mmefanikiwa ndani ya miaka 50?? HAMNA ndio maana mnaogopa chadema wasisambaze hoja zao kwa wananchiUtakufa kihoro, msongo wa mawazo utakuua kwa kulazimisha mambo usiyoyaweza
Haya, nenda kajinyonge sasa.Hayo mamlaka kayatoa wapi??? Jitu linaleta udikteta mnaanza ooh marekani hawafanyi nakuwekea video unaanza ooh nenda marekanu hata hujui unachosimamia all in the name ya kumtetea huyo mwenyekiti wenu
Shame on u
D.D.D = direct delegation by devolution!!!?