Uchomaji wa kadi za CCM

Uchomaji wa kadi za CCM

Mambo gani hatuyawezi??? We wajua kabisa M4C zikirudi mamilion ya wanaccm wanarudishaga kadi sasa kipi hatukiwezi?? Hici nyie miaka 50 mna nini cha kuwaambai watanzania wakati kila kitu ni failure nipe hata sector moja ambayo mmefanikiwa ndani ya miaka 50?? HAMNA ndio maana mnaogopa chadema wasisambaze hoja zao kwa wananchi

Sometimes najuta kuzaliwa hili linchi, yani jitu linavunja sheria afu wanaoitwa great thinkers mnashabikia .......mnakera sana natamani hata ISIL ije bongo iwafutilie mbali
Kufwaaaaaa
 
Kufwaaaaaa
Mkuu muwe mnakaa kimya kma mnajya hamna hoja sio mnakuja kulitetea lidikteta humu kma mnaona tunapiga kelele basi mtuache sio mnaanza ooh muda wa kazi ooh nchi gani wanafanya!!!! Mnaboa sana sana naelewa kwanni ssa kina bulaya na mdee huwa wanapandwa na jazba sana bungeni
 
Mkuu muwe mnakaa kimya kma mnajya hamna hoja sio mnakuja kulitetea lidikteta humu kma mnaona tunapiga kelele basi mtuache sio mnaanza ooh muda wa kazi ooh nchi gani wanafanya!!!! Mnaboa sana sana naelewa kwanni ssa kina bulaya na mdee huwa wanapandwa na jazba sana bungeni
Jiue basi upunguze stress mangi Mtumwa
 
Mie sio huyo unayefikiria.... mimi sio mwanasiasa ID isikuchanganye natumia lugha kali maana unakera sana kwa hoja za kijinga kabisa !! Eti siasa ni 2020?? Kasema nani na katiba gani na sheria gani ya vyama vya siasa inasema hivo??? Mnasema nchi zilizoendelea mbona hutolei mfano uganda na congo na zambia na burundi na rwanda ambao ni majirani zetu na wanafanya mikutano kila cku iwehe nyie mifano mtoe marekani ambayo sheeia yao ya vyama vya siasa tofauti kabxa na yetu

Nchi gani zilizoendelea??? Marekani hawazuii ila gharama za mikutano utaziweza majimbo 50?? Wale internet coverage ni 100% hivyo hillary akijifungia chumbani watu wataingia website ya chama chake au youtube channel yake na wataona akiongelea sera za chama chake LIVE na hakuna atakayepitwa je hapo kuna haja ya mikutano ya hadhara wakati bado unaweza ukafanyia hata kibarazani nchi nzima ikaona au umesahau kampeni za obama 2008???

Nyie acheni mifano ya marekani angalieni sheria inasemaje..... inaruhusu mikutano na alichofanya magufuli ni kutumia mabavu sasa how dare you unashabikia ushenzi kma huu wakati ccm wanafanua mikutano

Bora tuzuiwe wote cha kushangaza polepole anafanya hamumzuii ila mwalimu mkaishia kumfunga kule simiyu kisa tu alizungukia matawi ya chama!!!! Kma mnazuia bas its ok tukubali ila mzuie vyama vyote sio ccm halali afu chadema haramu

Thats Bullsh**t and i mean it..... tunatumia lugha kali maana mnakera sana u embiciles
Bul...shit mwenyewe unataka uzunguke nchini kutwambia ujinga gni, kma uchaguzi ulikuwa mwaka juzi mlizunguka mkashindwa kuuza hoja zenu, acha aliyepewa jukumu la kuongoza aongoze huna jipya, kajipange upya 2020 tena upigwe...na bdo tu, utatukana sana awamu hii, hakuna mikutano hata unye kwenye jiwe huna jipya...gakuna wa kuruhusu kuzunguka tena...chiziiiiiii
 
Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
Zinachomwa kinoma huku kitaa
 
Nyani Ngabu, kuna wakati huwa natafakari na kujiuliza kama ni wewe yule wa zamani humu jukwaani au mwingine?
 
Nyingi ya hizo kadi zimechomwa kwenye nyoyo za raia wa nchi ya ahadi,watabainisha hasira zao miaka 3 na miezi minane ijayo.
Hakuna neno la huruma litakaloweza kubadili msimamo,hatatokea kama ambavyo hajatokea kiongozi yeyote wa kiimani atakaesikilizwa,ni HAPANA TU itatumika.
Endelea kujifariji
 
You need to take a lesson on logic, bro. Mimi mwenywe nina kitambi na nimetoka kushindilia mlo mwingine wa ukweli lakini najua mtaani na kijijini kwangu wapo wengi tu wenye njaa.
Ha ha ha. Yesu alisema maskini mnao siku zote. .
 
Na wewe unaboa na mifano yako isiyo na uhalisia. Halafu hutaki kujinyonga. Kwa nini?
Mifano si nimeweka huo wa mikutano ya siasa marekani na uganda na congo sasa ulitaka mfano gani wa zaidi kwa hoja yako kuwa siasa nchi zilizoendelea ni mwaka wa uchaguzi pekee

Mkuu mjadala uishe am tired of thi sh**t maana hamna hoja so hatuendi kokote
 
Back
Top Bottom