zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,819
- 36,486
Sawa basi mjadala uisheJiue basi upunguze stress mangi Mtumwa
Sawa basi mjadala uisheJiue basi upunguze stress mangi Mtumwa
Mange Mwenyewe watu wamemchoka amebaki kuuza makalio yake tu huko instagram.Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?
Ni kadi ngapi zilichomwa?
Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko![]()
![]()
Hao wamesema hakuna mikutani nchi za wenzetu ndio maana nmetoa mfano wa congo na US sasa kosa likwapiNi kweli si ajinyonge kna ana hasira aache kutuboa...mara mifano ya Congo mara Kenya...hii ni Tanzania kma vipi ahame aende anakoona kuna unafuu
Haya hyo sheria gani inayoruhusu hayo ya kwamba siasa mpaka 2020???? Ntajie kifungu tu cha sheria na kma hakipo unakubali magufuli kazuia mikutano kidikteta!!!Bul...shit mwenyewe unataka uzunguke nchini kutwambia ujinga gni, kma uchaguzi ulikuwa mwaka juzi mlizunguka mkashindwa kuuza hoja zenu, acha aliyepewa jukumu la kuongoza aongoze huna jipya, kajipange upya 2020 tena upigwe...na bdo tu, utatukana sana awamu hii, hakuna mikutano hata unye kwenye jiwe huna jipya...gakuna wa kuruhusu kuzunguka tena...chiziiiiiii
Nizunguke wapi?? Mie sio mwanasiasa hyo 2015 nlikuwa nafanya MSc sasa wapi nmegombea post ya kisiasa au unafkiri zitto junior ni zitto ???Bul...shit mwenyewe unataka uzunguke nchini kutwambia ujinga gni, kma uchaguzi ulikuwa mwaka juzi mlizunguka mkashindwa kuuza hoja zenu, acha aliyepewa jukumu la kuongoza aongoze huna jipya, kajipange upya 2020 tena upigwe...na bdo tu, utatukana sana awamu hii, hakuna mikutano hata unye kwenye jiwe huna jipya...gakuna wa kuruhusu kuzunguka tena...chiziiiiiii
Poa mkuu tumalize mjadala...Hao wamesema hakuna mikutani nchi za wenzetu ndio maana nmetoa mfano wa congo na US sasa kosa likwapi
Msijustify ushenzi wa magufuli kwa hoja za kitoto mnakera sana..... na kweli nna hasira maana nashangaa mijitu mizima kma nyie mnashabikia katiba kukanyagwa
Haya basi nakubaliana na nyie siasa ifutwe je iweje CCM bado inafanya??? Au ilo katazo ni kwa upinzani tu
Embu kuwa serious mkuu
Ilikuwa unijibu kwanza, cyo kuendelea kuniuliza wakati nimekuuliza hujanijibu...nijibu uchaguzi ulikuwa mwaka juzi, ukauza sera zako wananchi wakazipiga chini, kwa hiyo una jipya gni hata miaka miwili haijapita unataka kukimbilia nchi kuzungushia mikono?Haya hyo sheria gani inayoruhusu hayo ya kwamba siasa mpaka 2020???? Ntajie kifungu tu cha sheria na kma hakipo unakubali magufuli kazuia mikutano kidikteta!!!
Nasubiri ujibu hili nione IQ ilivyo ndogo maana huna jibu
mi nakusoma na cjasema zitto Kabwe...naongelea wewe mtetezi unayetaka watu wazunguke nchi nzima na kufanya mikutano wakti uchaguzi ulikuwa mwaka juzi tuNizunguke wapi?? Mie sio mwanasiasa hyo 2015 nlikuwa nafanya MSc sasa wapi nmegombea post ya kisiasa au unafkiri zitto junior ni zitto ???
Insanity kufkiria kila anayetoka povu dhidi ya udikteta ni mwanasiasa nyie vp style up
Stetei udikteta na hata ukiangalia cyo kila kitu namtetea Magu. Palipo na No nasema no, angalia nyuzi zangu, mf siwezi kutetea kwamba msichana akishapata mimba aache shule au hela za rambi rambi kagera zijenge shuke za umma, kila mtu na mtizamo wake...kupishana mitazamo cyo kwamba natetea udikteta ila kuna vitu vingne ambvyo cyo vya muhimu....anyway kila mtu abaki na mtizamo wake...yaishe mkuuNizunguke wapi?? Mie sio mwanasiasa hyo 2015 nlikuwa nafanya MSc sasa wapi nmegombea post ya kisiasa au unafkiri zitto junior ni zitto ???
Insanity kufkiria kila anayetoka povu dhidi ya udikteta ni mwanasiasa nyie vp style up
Mikutano na maandamano si yenu wenyewe, ingawa mwawatesa na wanafunzi.Zamu ya kuchoma card za CHADEMA. Mambo Ni mkubwa sana Kwa Sasa... Nyanza Ndio waliokuwa wachomaji wa card Kwa wingi. Na safari hii wametekwa Kwa sana.
Usipindishe maneno. Waliopitisha sheria na mikataba inayolinda 'hao' unawajua vizuri, ni wa kwenu. Ila mna nyuso za chuma zisoo HAYA. Mmejaaliwa kwa kujitoa fahamu.Ungeuliza kuna watu bado wana kadi za Machadema watetezi wa wazungu?
Ndo uoga wenyewe huo.Mkutano wa hadhara kwa chadema kuongelea nini? Wangoje kampeni wakishinda waongee mpaka wachoke, muda huu ni wa Maendeleo kwa Sera za chama tawala.
Twende sawa: Congo na Uganda ni mikutano ifanyikayo ndani ya mwaka wa uchaguzi. Marekani huo sio mkutano wa kisiasa. If you are tired of "this sh**t" go hang yourself on any tree.Mifano si nimeweka huo wa mikutano ya siasa marekani na uganda na congo sasa ulitaka mfano gani wa zaidi kwa hoja yako kuwa siasa nchi zilizoendelea ni mwaka wa uchaguzi pekee
Mkuu mjadala uishe am tired of thi sh**t maana hamna hoja so hatuendi kokote
Ok mkuu ni hivi uchaguzi uliisha ila upinzani una kazi yake na serikali ina kazi yake sasa serikali inatekeleza ilichoahidi huku upinzani unakuwa una monitor utendaji kazi wa serikali hivyo kukosoa kushauri na kuleta mapendekezo ya nini kifanyike hivyo kisheria hawa ndio kazi yaani serikali kuu na serikali kivuli ni kma mtu na kivuli havitenganishwi kabisa kwahyo unaposema tufanye kazi ndio hizo ssa kufanyika sambamba mfano unaandaa bajeti ya serikali kuu nao wapinzani wanaanda bajeti kivuliIlikuwa unijibu kwanza, cyo kuendelea kuniuliza wakati nimekuuliza hujanijibu...nijibu uchaguzi ulikuwa mwaka juzi, ukauza sera zako wananchi wakazipiga chini, kwa hiyo una jipya gni hata miaka miwili haijapita unataka kukimbilia nchi kuzungushia mikono?
Ok mkuu uchaguzi wa marekani na uganda ulikuwa mwaka jana na weww unajua hilo ila mbona wanaruhusiwa kufanya mikutano ya siasa je hoja yako kwamba nchi zilizoendelea hazifanyia mikutano ya kisiasa baada ya mwaka wa uchaguzi huoni haina maana tenaTwende sawa: Congo na Uganda ni mikutano ifanyikayo ndani ya mwaka wa uchaguzi. Marekani huo sio mkutano wa kisiasa. If you are tired of "this sh**t" go hang yourself on any tree.
Hujielewi.Ok mkuu uchaguzi wa marekani na uganda ulikuwa mwaka jana na weww unajua hilo ila mbona wanaruhusiwa kufanya mikutano ya siasa je hoja yako kwamba nchi zilizoendelea hazifanyia mikutano ya kisiasa baada ya mwaka wa uchaguzi huoni haina maana tena
Huo wa marekani ni siasa maana wanahutubia watu kuhusu ubovu wa trump na kuwaomba wawachague uchaguzi ujao je huo sio mkutano wa siasa au definition ya mkutano wa siasa ukoje
Haya mkuuHujielewi.