mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,410
- 3,876
Kwa nini watu haraka wanapenda kuingiza mambo ya dini humu. humu kuna watanzania wenye dini zao ambao huishi pamoja kila mtu na dini yake. kwa hiyo wakati tuko humu tanaendeleza maisha ya pamoja kama watanzania kila mmoja akiwa na dini yake. hakuna haja ya kuzozana kwa vile tutaendelea kuwa hivihivi hata hiyo siku ya mwisho ikija itawakuta watu katika dini zao. hakuna wa kuzifuta labda MUngu tu.