UCHIZI katika Nchi: Kauli ya Mch. Gwajima...

UCHIZI katika Nchi: Kauli ya Mch. Gwajima...

UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.

Mkuu pole sana, ungetumia busara japo kidogo tu ungemuelwa Mch. Gwajima anamaanisha nini. Lakini kwa kuwa mawazo yako yamejikiti katika majina ya watoa matamko ili kuhalalisha udini uliomo katika fikra zako, kamwe hutaelewa. Ndiyo maana wahenga walisema "asiyejua maana, haambiwi maana".
 
Unajua tatizo lenu mnaweka mkazo saana madrasa badala ya kusoma shule!.. Hivi kuna ubaya gani kwa mfano aliyekuwa rais au waziri kuwa shehe, au mchungaji?!!!.. Kama ninyi hamjihusishi na siasa. Mbona mnawazika viongozi wa kisiasa kwa kufuata misingi ya dini?!!!!.. Nyerere alikuwa rais, nje ya urais alikuwa mkatoliki. Huwezi kumzuia kuutekeleza ukatoliki wake. Kama ambavyo mla nguruwe ataendelea kula nguruwe hata kama wewe hupendi ale!...

Hakuan ubaya kama mwanasiasa ataacha siasa na kuingia kwenye mahubiri ya kidini. Lakine kinyume chake ni hatari sana kwa vile nguvu yake ya ushawishi itafungamanishwa na dini. Kwani cheo cha utakatifu kwenye kanisa katoliki hakina vigezo maalum. Kama wewe ni mkweli hebu tuambie kwa kigezo kipi Nyerere apewe utakatifu wa kanisa kama sio upendeleo wake kwa kanisa alipokuwa madarakani?
“Only in the dictionary does retirement come before work.”
Madrassa imenisaidi angalau kujua huu mfumo kristo, kuliko wewe mwenye elimu ya Udokta lakini bado hujitambui.


“Only in the dictionary does retirement come before work.” Si bure kwa baba wa taifa kutunukiwa utakatifu.
 
Kama sio maboga kwanini mnashindwa kutoa maoni ya kuvunja muungano. Umenipa terminology moya 'maboga' nitaitumia endapo katiba mpya haitaleta suluhisho katika suala hili.


Upumbavu wa ndugu zako ccm, unamaisha mafupi tu.

1. usitarajie tena kwamba tanganyika itaongozwa na rais kutoka zanziba na kama sivo ccm wafanye hivo watakiona

2. kudeka na kutukana kwa wazanzibar mda si mrefu kutaisha maana ccm wanaovumilia ujinga wanaelewa huko waenda kosiko.

huu uzuzu wa ccm unatuumiza sana watanganyika na siku kitageuka tutaona jeuri yenu.

how can this happen? 1 from zanzibar to every 40 in tanganyika make equal right to decision? only for crazy people
 
Mkuu pole sana, ungetumia busara japo kidogo tu ungemuelwa Mch. Gwajima anamaanisha nini. Lakini kwa kuwa mawazo yako yamejikiti katika majina ya watoa matamko ili kuhalalisha udini uliomo katika fikra zako, kamwe hutaelewa. Ndiyo maana wahenga walisema "asiyejua maana, haambiwi maana".

Kuna thread za kuchukua maana sio hii. Hapa mnadhihirisha tu uhalali wa mchungaji kujiingiza kwenye siasa. Ni kipi kipya anachosema huyu mchungaji ambacho hakijawahi kusemwa na wanasiasa?
 
- Biblia inasema Watawala wa Wananchi hukubalika na Mungu na Sheria za Serikali ni za Mungu pia, sasa Mchungaji amepata nguvu ya kuita Maamuzi ya Serikali inayokubalika na Mungu kuwa ni ya kichizi? Ndio maana ninasema huyu Mchungaji ni bure kabisa na hafai,

le mutuz

Wewee hujui ukristo wewee!... Yesu alimwita mfalme herode "MBWEHA!",.... Yohana aliwaita viongozi hao hao kizazi cha nyoka!!!.. wewe unasali wapi?!!!!.. Au na wewe ulisilimu na Babu Jumanne alipotaka kuuza nchi?!!!!...
 
- Mchungaji ni hopeless huwzi kusimama mbele ya waumini wanaowasikiliza wanasiasa kila siku na kuwaambia eti maamuzi ya Serikali ni Uchizi, ndio maana nasema hata hilo Kanisa nina wasi wasi nalo sana kama wapo powa!

le mutuz

Mkuu, hivi suala la msingi hapa ni uanasiasa au wakisemacho wanasiasa au ukweli halisi aliousema? Mfano mdogo tu, hata katika makampuni mwenye hisa nyingi ndiye mwenye kauli kubwa.

Hata kwa akili ya kitoto, haiwezekani maamuzi muhimu ya nchi yasipitishwe hadi asilimia fulani (nadhani ni theluti mbili) ya watoa maamuzi wa ZNB wakubali. Hivi kwa akili tu ya kawaida huo ni uwiano sahihi kwa nchi mbili zilizoungana na ambazo idadi ya wananchi wao inapishana kwa zaidi ya mara arobaini?
 
wewee hujui ukristo wewee!... Yesu alimwita mfalme herode "mbweha!",.... Yohana aliwaita viongozi hao hao kizazi cha nyoka!!!.. Wewe unasali wapi?!!!!.. Au na wewe ulisilimu na babu jumanne alipotaka kuuza nchi?!!!!...

- i know labda kwenye biblia yako mwenyewe!!

Le mutuz
 
Hakuan ubaya kama mwanasiasa ataacha siasa na kuingia kwenye mahubiri ya kidini. Lakine kinyume chake ni hatari sana kwa vile nguvu yake ya ushawishi itafungamanishwa na dini. Kwani cheo cha utakatifu kwenye kanisa katoliki hakina vigezo maalum. Kama wewe ni mkweli hebu tuambie kwa kigezo kipi Nyerere apewe utakatifu wa kanisa kama sio upendeleo wake kwa kanisa alipokuwa madarakani?
"Only in the dictionary does retirement come before work."
Madrassa imenisaidi angalau kujua huu mfumo kristo, kuliko wewe mwenye elimu ya Udokta lakini bado hujitambui.


"Only in the dictionary does retirement come before work." Si bure kwa baba wa taifa kutunukiwa utakatifu.


Hebu jitafakari uone ulivyo mwenye wivu hata kwa yasiyo wahusu.

wakatoliki wanaona mtu wao anawafaa lakini ni watu kama wewe na mohamed said mmezidiwa zaidi na chuki biafsi wewe fuata

kitabu chako. kushupalia ya wenzako ujuwe yako yamekushinda, na kushindwa yako ndo pale upuuzi wa mfumo kristo unapokuja

na kusahau kwamba hicho kitu kwa wenye akili timamu hakipo ni kwa wachache wanaongozwa na guvu za ubaguzi wa dini na

chuki binafsi.
 
mkuu, hivi suala la msingi hapa ni uanasiasa au wakisemacho wanasiasa au ukweli halisi aliousema? Mfano mdogo tu, hata katika makampuni mwenye hisa nyingi ndiye mwenye kauli kubwa.

Hata kwa akili ya kitoto, haiwezekani maamuzi muhimu ya nchi yasipitishwe hadi asilimia fulani (nadhani ni theluti mbili) ya watoa maamuzi wa znb wakubali. Hivi kwa akili tu ya kawaida huo ni uwiano sahihi kwa nchi mbili zilizoungana na ambazo idadi ya wananchi wao inapishana kwa zaidi ya mara arobaini?

- kama mchungaji haridhiki na muungano anatakiwa kwenda kwenye kamati ya maoni ya katiba na kutoa duku duku lake, lakini kanisani sio mahali pa kuchambua siasa kama ambavyo kwenye siasa sio mahali pa kuchambulia dini, na hata kama angekuwa na platfrom bado hana hoja, sio kweli kwamba maamuzi yote ye jamhuri ni lazima yakubaliwe na zanzibar, mchungaji ni hopeless!

Le mutuz
 
Hakuan ubaya kama mwanasiasa ataacha siasa na kuingia kwenye mahubiri ya kidini. Lakine kinyume chake ni hatari sana kwa vile nguvu yake ya ushawishi itafungamanishwa na dini. Kwani cheo cha utakatifu kwenye kanisa katoliki hakina vigezo maalum. Kama wewe ni mkweli hebu tuambie kwa kigezo kipi Nyerere apewe utakatifu wa kanisa kama sio upendeleo wake kwa kanisa alipokuwa madarakani?
"Only in the dictionary does retirement come before work."
Madrassa imenisaidi angalau kujua huu mfumo kristo, kuliko wewe mwenye elimu ya Udokta lakini bado hujitambui.


"Only in the dictionary does retirement come before work." Si bure kwa baba wa taifa kutunukiwa utakatifu.

Hawa viongozi wenye title hizi unawasemaje au ndio MFUMO ISLAM mnaoutaka?! ... Sheikh Karume, Maalim Seif, Alhaj Aden Rage?!!!.. Ooh ... Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu!!... ahh Nyani haoni kund_le!
 
Tatizo ni kuwa wakati Tanganyika na Zanzibar zikiungana zote zilikuwa nchi. katika medani ya kimataifa nchi zinakuwa sawa bila kujali ukubwa au wingi wa watu. mfano kama ni kupiga kura kila nchi itahesabiwa kura moja. katika spoti kila nchi huleta timu moja. uwakilishi anaosema mchungaji ni lazima uwe pasu kwa pasu ili nchi moja isiamuliwe na nyingine. wanaoona ni wengi basi waache kuungana na wachache ikiwa uwakilishi sawa ni tatizo. Kwa sasa tunaweza kujadili matatizo ya muungano lakini uwakilishi ni lazima uwe nusu kwa nsu
 
Mbona watu wa Tanganyika hatukupinga tangu Rais Kikwete alipotangaza wajumbe wa tume ya katiba,au kwa kuwa nae ni Mtanganyika?
 
- kama mchungaji haridhiki na muungano anatakiwa kwenda kwenye kamati ya maoni ya katiba na kutoa duku duku lake, lakini kanisani sio mahali pa kuchambua siasa kama ambavyo kwenye siasa sio mahali pa kuchambulia dini, na hata kama angekuwa na platfrom bado hana hoja, sio kweli kwamba maamuzi yote ye jamhuri ni lazima yakubaliwe na zanzibar, mchungaji ni hopeless!

Le mutuz


Makamba anapochambua vifungu vya biblia kwenye majukwaa ya siasa mbona hamkemei?!!!!
 
Hakuan ubaya kama mwanasiasa ataacha siasa na kuingia kwenye mahubiri ya kidini. Lakine kinyume chake ni hatari sana kwa vile nguvu yake ya ushawishi itafungamanishwa na dini. Kwani cheo cha utakatifu kwenye kanisa katoliki hakina vigezo maalum. Kama wewe ni mkweli hebu tuambie kwa kigezo kipi Nyerere apewe utakatifu wa kanisa kama sio upendeleo wake kwa kanisa alipokuwa madarakani?
"Only in the dictionary does retirement come before work."
Madrassa imenisaidi angalau kujua huu mfumo kristo, kuliko wewe mwenye elimu ya Udokta lakini bado hujitambui.


"Only in the dictionary does retirement come before work." Si bure kwa baba wa taifa kutunukiwa utakatifu.

Mkuu, utakatifu hatunukiwi mtu awaye yote. Kaperuzi vizuri utakatifu katika ukatoliki ni hatua ya ngapi katika mchakato mzima unaohitaji miujiza aliyotenda mhusika, ushahidi na vithibitisho visivyotia shaka yoyote na vinavyotakiwa kuwekwa wazi kwa mtu yeyote kuvipitia na kujiridhisha ili hatua hiyo ipate kufikiwa na mhusika kutangazwa kuwa ni mwenyeheri na baadaye mtakatifu.

Wahenga walisema hakika "jambo usilolijua ni kama usikunwa kiza".
 
- i know labda kwenye biblia yako mwenyewe!!

Le mutuz

Biblia yako haina hii verse?!!!!. AU WEWE FREE MASON?!!!!... ...At that time some Pharisees came to Jesus and said to him, “Leave this place and go somewhere else. Herod wants to kill you.” He replied, “Go tell that fox, ‘I will drive out demons and heal people today and tomorrow, and on the third day I will reach my goal.’” (Luke 13:31-32)
 
Mkuu, utakatifu hatunukiwi mtu awaye yote. Kaperuzi vizuri utakatifu katika ukatoliki ni hatua ya ngapi katika mchakato mzima unaohitaji miujiza aliyotenda mhusika, ushahidi na vithibitisho visivyotia shaka yoyote na vinavyotakiwa kuwekwa wazi kwa mtu yeyote kuvipitia na kujiridhisha ili hatua hiyo ipate kufikiwa na mhusika kutangazwa kuwa ni mwenyeheri na baadaye mtakatifu.

Wahenga walisema hakika "jambo usilolijua ni kama usikunwa kiza".


Mkuu haya unayasema ni falsafa ya hali ya juu. Huyu hakuelewi!... ungezungumzia MADRASA angeelewa!
 
Kaka freshthinking angalia video hii ikusaidie kwamba hakuna mfumo kristo kaka.

gonga hapa Mfumo wa kufikrika usiokuwepo -Mfumo kristo - YouTube

Na nyingine hapa Uzushi dhidi ya mfumo mkristo hoja dhaifu ya kichochezi - YouTube

Sikiliza kwa makini kaka uachanane na haya mawazo kaka.


Hakuan ubaya kama mwanasiasa ataacha siasa na kuingia kwenye mahubiri ya kidini. Lakine kinyume chake ni hatari sana kwa vile nguvu yake ya ushawishi itafungamanishwa na dini. Kwani cheo cha utakatifu kwenye kanisa katoliki hakina vigezo maalum. Kama wewe ni mkweli hebu tuambie kwa kigezo kipi Nyerere apewe utakatifu wa kanisa kama sio upendeleo wake kwa kanisa alipokuwa madarakani?
"Only in the dictionary does retirement come before work."
Madrassa imenisaidi angalau kujua huu mfumo kristo, kuliko wewe mwenye elimu ya Udokta lakini bado hujitambui.


"Only in the dictionary does retirement come before work." Si bure kwa baba wa taifa kutunukiwa utakatifu.
 
- kama mchungaji haridhiki na muungano anatakiwa kwenda kwenye kamati ya maoni ya katiba na kutoa duku duku lake, lakini kanisani sio mahali pa kuchambua siasa kama ambavyo kwenye siasa sio mahali pa kuchambulia dini, na hata kama angekuwa na platfrom bado hana hoja, sio kweli kwamba maamuzi yote ye jamhuri ni lazima yakubaliwe na zanzibar, mchungaji ni hopeless!

Le mutuz

Mkuu, hata wewe ambaye umegombea nafasi lukuki katika nchi na chama chako CCM, na naamini baadhi ya nafasi hizo katika CCM umeshinda, hulijui hilo kwamba maamuzi ya Jamhuri ya TZ, hususan bungeni na hata katika chama chako ni lazima yaridhiwe na idadi fulani ya watoa maamuzi kutoka ZNB?
 
Biblia yako haina hii verse?!!!!. AU WEWE FREE MASON?!!!!... ...At that time some Pharisees came to Jesus and said to him, "Leave this place and go somewhere else. Herod wants to kill you." He replied, "Go tell that fox, ‘I will drive out demons and heal people today and tomorrow, and on the third day I will reach my goal.'" (Luke 13:31-32)

- Mbona unahangaika sana bila hoja so hoja ni nini hapa? Yesu alisema Serikali ni ya kichizi?

le mutuz
 
- i know labda kwenye biblia yako mwenyewe!!

Le mutuz

Na hii je? Pia Biblia yako haina?!!!!!!.... Jesus called them 'vipers' - 'serpents', Matt.23:33. And in John 8:44, Jesus told them that their father was the devil. The devil is also called the serpent, Revelation 12:9; 20:2.


 
Back
Top Bottom