UCHIZI katika Nchi: Kauli ya Mch. Gwajima...

UCHIZI katika Nchi: Kauli ya Mch. Gwajima...

quote_icon.png
By TAMKO "Kipande cha nchi Chenye idadi ya wakaazi Milioni Moja Tu Kinaungana na Kipande kikubwa cha nchi chenye zaidi ya watu zaidi ya Milioni arobaini na Tatu, halafu vipande hivi viwili vinakuwa na Nguvu sawa kwenye Kuunda Hatma ya Nchi (Katiba), Huu ni Uchizi.. "Mch Gwajima, Sunday speech Leo.

Na ni uzuzu mkubwa kuwapa wachache nguvu ya kutunga sheria na kuamua mambo ambayo utekelezaji wake huwaathiri waliowengi tu na kuwaacha hao wachache wajiamlie mambo yao na kuwa na utawala wao.
 
Umeanza upuuzi wewe..Huwezichangia bila kuweka udini? Kweli ningekuwa mwislam kwa hizi comment zenu ningeukana hadharani na matarumbeta juu

Sasa hii hoja yenyewe imetoka kanisani, unataka tuchangie nini? Uislam sio chama cha siasa, ukiona ukweli utakwenda mwenyewe bila kulazimishwa. Kwa sasa inawezekena unauona mgumu kwa vile malengo yako hayajatimia bado. Huku haturuhusu ndoa za jinsia moja!
 
Hapa issue siyo idadi ya watu! Kwani si tuliungana na Zanzibar ikiwa nchi na idadi hiyo ndogo? Hapa issue ni mfumo wa Muungano.
 
Lakini iliniuma sana aliposema bado ana kadi ya Machizi.
 
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.

gwajima amesema akiwa anatoa maoni yake bila vurugu bila hamasa na bila kuchoma misikiti wala kuwasha moto barabarani. uamsho wanasema huku wakiwa katikati ya harakati kuchoma makanisa, piga risasi watu, kuchoma matairi barabarani- alimradi full fujo.
 
  • Thanks
Reactions: ram
"Kipande cha nchi Chenye idadi ya wakaazi Milioni Moja Tu Kinaungana na Kipande kikubwa cha nchi chenye zaidi ya watu zaidi ya Milioni arobaini na Tatu, halafu vipande hivi viwili vinakuwa na Nguvu sawa kwenye Kuunda Hatma ya Nchi (Katiba), Huu ni Uchizi.. "Mch Gwajima, Sunday speech Leo.

afanye maombi( kama ilivyo kawaida yake) ili amfufue mwalimu JK NYERERE halafu amuite chizi kwa KUTENGENEZA MUUNGANO HUU TULIONAO SASA....... other wise uchizi anaouongelea anamtukana baba wa taifa letu.
craaaaaap
 
Mimi nitafanya sherehe kubwa saaaaaaaana siku huu muungano ukivunjika.
 
Wewe
Kama tulishaungana.. Fine Tulishaungana.. Sasa KWANINI chizi Mwingine leo aseme wajumbe 14 from Zanzibar Na wajumbe 14 From Tanzania Bara.. Muungano uko wapi hapo ????!!??
Muongo huu wa 90' Ndo kelele Za Zanzibar ..!! Bara !! Zimezidi, hazikuwepo Hizi tulikuwa Na Tanzania Leo Tuna Tanzania bara.. Unajua Tanzania bara manaake ni nini? Unapasema 14 members from zanzibar Na 14 members from Tanzania Bara unamaanisha (Tanganyika Na zanzibar) Kwa hiyo tunasema tume imeundwa Na 14 members from Zanzibar and 14 members from Zanzibar and Tanganyika ratio wise 14 members from zanzibar, 7 members from zanzibar stays in Tanganyika and 7 members from tanganyika .. Truth..

kiongozi
ndio maana huwa tunasema tusome mikataba kabla ya kuisaini na si kuisoma tu tuielewe vyema ndio tuwe na nafasi ya kuisaini,kuhusu muungano huo,hayo ni makubaliano yaliyowekwa na tunaowaamini,hatuna budi kuyakubali na kuyafanyia kazi makubaliano hayo,kwani wakati wanafanya hayo hawakujuwa idadi ya watu pande zote hizo mbili? labda watu hatuelewi,muungano si idadi ya watu tu,kuna mengi ndani yake.
 
Mimi mwenyewe huwa najiuliza sipati majibu, anyway ndo faida hizo na hasara za muungano

"Kipande cha nchi Chenye idadi ya wakaazi Milioni Moja Tu Kinaungana na Kipande kikubwa cha nchi chenye zaidi ya watu zaidi ya Milioni arobaini na Tatu, halafu vipande hivi viwili vinakuwa na Nguvu sawa kwenye Kuunda Hatma ya Nchi (Katiba), Huu ni Uchizi.. "Mch Gwajima, Sunday speech Leo.
 
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.

Gwajima hajaanzisha taasisi ya kupinga muungano kwa kivuli cha dini tofauti na Uamsho umeanzishwa kupinga UKRISTO na MUUNGANO kwa mwavuli wa dini!-Wenye akili wanalijua hili!
 
Muungano ni wa nchi mbili iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar! Haukufanyika katika misingi ya idadi ya watu bali ni nchi mbili zilizokuwa huru na zilizokuwa zina uwezo wa kujiamulia mambo yake yenyewe. Sidhani kama kuna hoja hapa! Tuendelee kujadili mapungufu mengine ya Muungano lakini tusisahau hii fact!
 
Muungano ni wa nchi mbili iliyokuwa Tanganyika na Zanzibar! Haukufanyika katika misingi ya idadi ya watu bali ni nchi mbili zilizokuwa huru na zilizokuwa zina uwezo wa kujiamulia mambo yake yenyewe. Sidhani kama kuna hoja hapa! Tuendelee kujadili mapungufu mengine ya Muungano lakini tusisahau hii fact!
..
Tony hakuna anayepinga Hilo but embu tafakari, Kama muungano ulishatendeka from those 1964 years, ok today we have Tanzania, hatuna tena Zanzibar Na Tanzania bara, ??? Hili unaliona???

Kwanini mpaka Leo serikali inatulazimisha tuongelee Zanzibar as a separate state Na Tanzania bara as another separate state???!!?? Kama tunataka kuunda katiba la Nchi kwanini tusiunde tume ya Tanzania Na si Tanzania bara Na Visiwani?, Kama inshu ni uwakilishi wa maeneo KWANINI wasichaguliwe wajumbe kutoka kila Mkoa au kila Jimbo la uchaguzi wenye Vigezo vya utaalam unaotakiwa?

Tanzania Ina Mikoa 26 fine let choose the members according to maeneo haya Kwa Sababu kila mkoa una vionjo vya kiutamaduni, kiuchumi Na kielimu ambavyo AMA vingepatiwa nafasi Na ulinzi Ndani ya Katiba.. Hatuundi katiba la Kisiasa Kama maoni mengi yanavyoelekezwa, tunaunda katiba Kwa maendeleo ya nchi..

So Tonny open your mind, Serikali inajitahidi sana kuuvunjilia mbali Muungano wetu Kwa kutubagua kila siku kila Leo sasa ubaguzi unapenya kwenye mioyo ya wazawa Leo watu wanasema gesi yetu itufaidie kwanza sisi, kesho ziwa letu litufaidie kwanza sisi hili ni Janga Tonny ..
 
UAMSHO wakisema hawataki muungano wanafunguliwa kesi za kuhatarisha usalama wa nchi! Mchungaji akisema, serikali inapiga makofi. Kweli mfumo kristo unafanya kazi yake mchana kweupe ndani ya serikali.

kwani mchungaji kaenda kuzungumzia barabarani au kanisani?kwani kaenda kuchoma misikiti ilikufikisha ujumbe?
 
kiongozi
ndio maana huwa tunasema tusome mikataba kabla ya kuisaini na si kuisoma tu tuielewe vyema ndio tuwe na nafasi ya kuisaini,kuhusu muungano huo,hayo ni makubaliano yaliyowekwa na tunaowaamini,hatuna budi kuyakubali na kuyafanyia kazi makubaliano hayo,kwani wakati wanafanya hayo hawakujuwa idadi ya watu pande zote hizo mbili? labda watu hatuelewi,muungano si idadi ya watu tu,kuna mengi ndani yake.
Jambo kubwa linalotutesa hadi leo ni usiri usiri kwenye kila kitu.mikataba yote ya nchi hii ni siri.Waweke wazi huo mkataba wa Muungano tujue faida na hasara zake,then tuuboreshe ikibidi.sasa kwa sababu ni siri ndio maana unaona tunahangaika.Na huu uri mie naona ni kwasababu atayeathirika ni CCM,nje ya muungano hakuna CCM ndio maana wako radhi kuulindfa kwa hali na mali.
 
kiongozi
ndio maana huwa tunasema tusome mikataba kabla ya kuisaini na si kuisoma tu tuielewe vyema ndio tuwe na nafasi ya kuisaini,kuhusu muungano huo,hayo ni makubaliano yaliyowekwa na tunaowaamini,hatuna budi kuyakubali na kuyafanyia kazi makubaliano hayo,kwani wakati wanafanya hayo hawakujuwa idadi ya watu pande zote hizo mbili? labda watu hatuelewi,muungano si idadi ya watu tu,kuna mengi ndani yake.
Mhandisi wangu
Nchi hii Hakuna mwenye hati miliki nayo, ni Mali yetu sote, hakuna mwenye maamuzi ya nchi kwamba Yeye ni mnene zaidi Kwenye hatma Za Utanzania Na wengine followers, Hakuna kizazi kilichobatizwa haki ya kuimiliki nchi, NCHI NI YETU SOTE, so siwezi kaa Kwenye Nyumba mbovu ikaniangukia siku moja ya mvua eti Kwa sababu ya makosa ya ujenzi wa baba yangu mzazi. No no no..!! Baba yangu ni Mwanadam, SIO Mungu, alikosea tu Kama mwanadam wa kawaida akaweka mfumbati Kwenye kiuno Cha nyumba Na wakati ule wake was fine alijua kuucontroo mfumbati wake but he pass away. Mfumbati wake umeoza, nyumba inaslide sasa, eti tuache mpaka tuangukiwe Na Jengo Kwa Sababu 'baba alikosea kujenga??' shit hii ni zaidi ya mawazo hatari zaidi. Makosa yalitendeka embu tuyarekebishe sasa.. Muungano ulikuwa Na Hira nyingi Na wasiwaSi wa vamizi Za kikoloni Leo hii ni ndoto kuongelea Kwamba mwarabu atavamia ZANZIBAR .. Tuacheni kikariri mambo jamani
 
afanye maombi( kama ilivyo kawaida yake) ili amfufue mwalimu JK NYERERE halafu amuite chizi kwa KUTENGENEZA MUUNGANO HUU TULIONAO SASA....... other wise uchizi anaouongelea anamtukana baba wa taifa letu.
craaaaaap

notradamme,,,,,,,,,,,,,,Nadhani wewe ni chizi zaidi na ilitakiwa uwe Milembe pampaf
 
Hapa issue siyo idadi ya watu! Kwani si tuliungana na Zanzibar ikiwa nchi na idadi hiyo ndogo? Hapa issue ni mfumo wa Muungano.

On 1 May 1707 the kingdom of Great Britain was created by the Acts of Union which joined together of the kingdoms of England and Scotland Na ikawa jumla Leo huwezi sikia Mtu anakumbishia mambo ya Scotland Na England.. Mie nashanga sana watu hawataki kuongea ukweli Kwenye jambo hili..
 
Back
Top Bottom