That's very fine, umemshindwa mrudishe kwao atapata atakae wezana nae.😆😆😆
Mimi mke wangu labda anizidi elimu ila kipato hawezi kunizidi kamwe.Akizingua sitampiga,siwezi kupiga mwanamke wala mtoto,ila kesho yake nitamrudisha alipokulia.
World is the full of choices, wewe kama unamuona gumegume chagua ambaye sio gumegume mtawezana.Kumbe hata nyie wanawake mnajua kama Shishi ni GUBEGUBE liloloshindikana?
Kampiga sasa mfungeni au sheria hamna?World is the full of choices, wewe kama unamuona gumegume chagua ambaye sio gumegume mtawezana.
Muache gumegume yupo gumegume mwenzie watawezana pia, na sio kumng'ang'ania gumegume ili umpige mpaka umuuwe. Siku ukimuuwa ndio utajua kuwa hata gumegume anahaki.😂
Kwa nini asiondoke mwenyewe? si anadundwaThat's very fine, umemshindwa mrudishe kwao atapata atakae wezana nae.
Naam Vyombo vya sheria vimemchunia kama vile havijaona zile picha
Shilole alikosea kama kweli alikuwa anahitaji msaada angekwenda katika vyombo vya sheria 'kuliko kukimbilia IG kwani kule ndio vyombo husika vilipo !?
Tutamfunga soon😂Kampiga sasa mfungeni au sheria hamna?
Hapo ndio hata mimi huwa sielewi sijui huwaga wanasubiria nini 😏Kwa nini asiondoke mwenyewe? si anadundwa
Shishi aondoke aende wapi wakati nyumba yakwake. Akimbie nyumba yake au Uchebe abebe begi lake aondoke!Hapo ndio hata mimi huwa sielewi sijui huwaga wanasubiria nini 😏
Hahaa Jamaa ana makusudi sana yuleUchebe ana shabaha za uso tu, au ndiyo kuharibu reception wengine wasimpende!
Ulitaka kumaanisha pressure?Kwanini ung'ang'anie kuwa na star wakati unajua you can't handle the pleasure
Kupenda vitonga kutawauwa
Alale nje siku mbili afu nimpige kwa Hela tena Dolali, asee Limbwata lenyewe lingenishangaa.
😂😂😂itakuwa, si unajua lugha ya wenyewe hiyoUlitaka kumaanisha pressure?
Mamlaka my foot, heshima is earned, hailazimishwi. Ukiona unalazimisha kuheshimiwa ujue huna akili.Muwe mnatii mamlaka iliyotoka mbinguni, mwanaume ni mamlaka iliyotoka mbinguni msipoiheshimu mtatandikwa tu kila siku maana mnaendeleza midomo
leo umetuamkiaMamlaka my foot, heshima is earned, hailazimishwi. Ukiona unalazimisha kuheshimiwa ujue huna akili.