The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,817
Nilijua huu ni uongo shilole kaona majukumu ni mengi kulea watoto na mtu mzima akaamua kutengeneza kitu ili waachane.Uchebe akihojiwa na kituo kimoja cha radio anasema picha zilizopostiwa mtandaoni ni za mwaka jana na kwamba mwaka huu hajampiga Shilole kabisa.
Anasema madai ya Shilole kupigwa siku ya sabasaba si ya kweli, kwa sababu hiyo siku Shilole hakulala nyumbani.
Ili kuthibitisha hilo amesema atafutwe akaguliwe kama ana jeraha lolote la hivi karibuni. Anadai Shilole ni mzima kabisa wa afya na hana jeraha.
Uchebe anaeleza kuwa Shilole amekuwa na desturi ya kutokulala nyumbani hata siku mbili na akirudi hataki kuulizwa alikuwa wapi? Na hio ndio "source" ya ugomvi wao wa mara kwa mara.
Ni utamkaji wa kitanzania unapelekea itamkwe Shilole yaani wanaitamka kama American Slang fulani hivi, ila maana yake halisi linavyopaswa ni ShitholeShilole ni nini?
😁😁Acha kushadadia ujinga wewe.
JANAMKE lenye domo domo lazima likung'utwe. Tena lidundwe kweli kweli!
Bila hivo wanawake wote tutakua na mamidomo kama Wangari Maathai au Khantwe.
Unaona ni kitu kigumu kupigwa na chepesi kuachwa. Mumeo si anakupenda sana madam. Hebu jaribu kufanya alichofanya shilole kwa mumeo japo kwa weekend hii tu kisha uje ulete mrejesho. Ondoka mapema Ijumaa kisha piga kimya cha ghafla usipokee simu wala kujibu text kisha urudi J'pili jioni halafu ulete mrejesho.Umeona Mkuu na si ajabu kila akilifikiria akili inampa ushawishi wa kulipiza.
Hakika nadhani kama wanaeza wayazungumze na suluhu ipatikanage.
Sasa si mnaona ni sawa alichofanya shilole kwamba kaonewa. Halafu adhabu ya kupigwa huwa sio ngeni na inaanzaga toka utotoni! Kama ulikuwa mtukutu lazima baba au mama yako atakuwa alishawahi kukupiga huko nyuma. Mbona hamkusimama kusema Baba ananichapa!Siezi fanya hivyo aisee.
Pia niseme msihalalishe kosa 100% huenda ni katika kujitetea tu kwa huyo mwanaume.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣is the process of shifting naniliu from one place to another
Agiza bapa ntalipaumuache alafu watoto wateseke? dawa ya mwanamke mkorofi ni kumdunda tu
Ndio ilivyo, yani kwamba wao hata wakikosea tuchukulie easy maana ndio wanawake.Wanawake wa siku hizi mimi huwa si sympathize nao hata kidogo sababu najua the way wanapenda kumanipulate situation kupata public attention na sympathy.
Before sijaenda kwenye kesi yake na uchebe, nigusie swala na tabia za wanawake kujustfy makosa yao na vitu wanafanya halafu wanapobambwa huwa ni wepesi kutaka waonekane walisababishiwa kufanya hayo makosa.
Kwa mfano, mwanamke anaweza kutoka nje ya ndoa na mume wake anampatia kila anachoweza mudu kumpatia...... Hii ni psychological abuse and extortion kwa mwanaume na jamii inachukulia poa na kusema ndio wanawake au watatafuta gear ya kutetea kuwa mwanamke sijui anatulizwa na maneno matamu, mara sijui nini but no body pays attention kuhusu maumivu anayopokea mwanaume.
Its alike automatically wanawake wanakuwa branded innocent at any scenario.
Nyie wanawake mnachukulia easy kuachana eh. Sidhani kama unaujua ugumu mnaopataga kuachana na jamaa mwenye hela nyingi na mhongaji mzuri japo hakuridhishi kimwili?Kwani si uachane nae
Hahahah ila ile psychological torture mnayotusababishia ni sawa?Idadi ya watu wanao support domestic violence kwenye hii post is alarming and scary
Mikono mfululu!!!Mapigano ndani ya ndoa yanaitwaje kwani
Wewe unataka magazeti yawe na habari kuu ya kauawa kisa wivu wa mapenziUnaona ni kitu kigumu kupigwa na chepesi kuachwa. Mumeo si anakupenda sana madam. Hebu jaribu kufanya alichofanya shilole kwa mumeo japo kwa weekend hii tu kisha uje ulete mrejesho. Ondoka mapema Ijumaa kisha piga kimya cha ghafla usipokee simu wala kujibu text kisha urudi J'pili jioni halafu ulete mrejesho.
Maana anahisi uchebe ana wazimu, hebu amfanyie mumewe huo utopolo aone mziki wake. Uchebe anaweza akaja kuandika notes!!!Wewe unataka magazeti yawe na habari kuu ya kauawa kisa wivu wa mapenzi
Nyie wanawake mnachukulia easy kuachana eh. Sidhani kama unaujua ugumu mnaopataga kuachana na jamaa mwenye hela nyingi na mhongaji mzuri japo hakuridhishi kimwili?
Ule ugumu ndio sawa na ugumu wa kumuacha mke umpendaye.