Uchawi upo, usidanganywe

Uchawi upo, usidanganywe

Wengine tunaamini uchawi wa mabarabara, mifereji iliyofunikwa, treni zinazoenda sambamba na UDA, huduma za afya bora, ustawi wa jamii kwa yatima, wazee na watoto, elimu bora, kazi na uchumi bora, huu ndio uchawi..
Ni rahisi sana kusema hivyo lakini ukiombwa uonyeshe huo uchawi wako kwenye ugunduzi wa hata plastic fetoscope kwenye mambo ya afya utashindwa. Na inawezekana hata kwenye ustawi wa jamii hata mwanao nyumbani hata siku moja haujawahi kumwogesha. Binafsi kama isingekuwa hayo niliyowahi kuyashuhudia na ambayo nimeyaelezea vizuri hapo nyuma yamkini ningekuwa mmoja wa wale wanaopinga kuwepo uchawi.

By the way if you're a christian, muslim or pagan how can you negate the existence of witchcraft whilst it has frequently been mentioned in our holy books?
 
Sijaona uchawi hapo, nilichoona ni Jamaa kwenda kujisaidia kisha kuvamiwa na tembo na mauti yakamkuta
 
Kuna jamaa m1 mid 90 alikuwa kamaliza chuo sasa kila akipata kazi anaacha baada ya kuifanya kwa muda mfupi. Baada ya kuangaika sana bila mafanikio mzee m1 wa makoamo akasema huyu atakuwa kalogwa. Basi wakaenda kwa wataalam walichoambiwa na dawa yake ni vigumu kuamini.

Aliambiwa kalogwa na dawa yake ni lazima aende kwenye msitu maeneo ya huko upareni. Alitajiwa eneo na aliambiwa atakuta nyuki wametulia juu ya mti. Basi awafukuze kwa aidha kuwapiga kwa mawe au kupanda na kuwaondoa kwa mkono. Vyovyote vile ilimradi watoke pale.

Watu wakatili. Jamaa akaongozana na yule mzee na ndugu yake m1. Walipofika maeneo hayo wakakuta nyuki kweli, walishahakikishiwa kuwa kutakuwa hamna hatari yoyote yaani nyuki watakuwa wapole kama inzi. Ila atagongwa na wawili au watatu. Wakaingia mzigoni wakafurumusha nyuki ambao waliondoka eneo lile. Kweli kuna nyuki kadhaa waliwagonga.

Waliporejea nyumbani wakakuta wale nyuki wapo kwenye moja ya banda la kuku pale home kwao. Wakarudi kwa bingwa na kumweleza. Akawaambia kuwa wale watakaa pale kwa muda wa siku sita na siku ya saba awafukuze tena kama alivyofanya kule msituni. Siku zikaenda muda ukawadia. Akawafukuza kama mwanzo ingawa siku hiyo alitolewa manundu ya kutosha. Baada ya kupita kama mwezi hivi jamaa akachukua ajira na sasa ni moja ya mabosi huko mkoani tabora. Hakuwahi kuacha kazi tena.
 
Kuna jamaa m1 mid 90 alikuwa kamaliza chuo sasa kila akipata kazi anaacha baada ya kuifanya kwa muda mfupi. Baada ya kuangaika sana bila mafanikio mzee m1 wa makoamo akasema huyu atakuwa kalogwa. Basi wakaenda kwa wataalam walichoambiwa na dawa yake ni vigumu kuamini.

Aliambiwa kalogwa na dawa yake ni lazima aende kwenye msitu maeneo ya huko upareni. Alitajiwa eneo na aliambiwa atakuta nyuki wametulia juu ya mti. Basi awafukuze kwa aidha kuwapiga kwa mawe au kupanda na kuwaondoa kwa mkono. Vyovyote vile ilimradi watoke pale.

Watu wakatili. Jamaa akaongozana na yule mzee na ndugu yake m1. Walipofika maeneo hayo wakakuta nyuki kweli, walishahakikishiwa kuwa kutakuwa hamna hatari yoyote yaani nyuki watakuwa wapole kama inzi. Ila atagongwa na wawili au watatu. Wakaingia mzigoni wakafurumusha nyuki ambao waliondoka eneo lile. Kweli kuna nyuki kadhaa waliwagonga.

Waliporejea nyumbani wakakuta wale nyuki wapo kwenye moja ya banda la kuku pale home kwao. Wakarudi kwa bingwa na kumweleza. Akawaambia kuwa wale watakaa pale kwa muda wa siku sita na siku ya saba awafukuze tena kama alivyofanya kule msituni. Siku zikaenda muda ukawadia. Akawafukuza kama mwanzo ingawa siku hiyo alitolewa manundu ya kutosha. Baada ya kupita kama mwezi hivi jamaa akachukua ajira na sasa ni moja ya mabosi huko mkoani tabora. Hakuwahi kuacha kazi tena.
Ngoja waje mwenyewe, watakwambia ni coincidence. Vinginevyo uwathibitishie...
 
naona unatangaza biashara kiaina...
atuendi nyamongo
By the way yule mganga alishakufa mkuu. Afu mimi ni mkristo mwaminifu kabisa. Nakushirikisha tu mambo yaliyowahi kutokea zilipendwa
 
Hahaha! Wanajua mkuu, lile tukio halikuwa la kawaida.. So walijua kabisa. Baada ya lile tukio kulikuwa na mtafutano usiokuwa wa kawaida. Bifu bifu
Yaani pole sana. Ndiyo maana wengine kwenda huko tunaogopa. Waweza ondoka hivi hivi kwa sababu za kijinga kabisa.
 
Kuna jamaa m1 mid 90 alikuwa kamaliza chuo sasa kila akipata kazi anaacha baada ya kuifanya kwa muda mfupi. Baada ya kuangaika sana bila mafanikio mzee m1 wa makoamo akasema huyu atakuwa kalogwa. Basi wakaenda kwa wataalam walichoambiwa na dawa yake ni vigumu kuamini.

Aliambiwa kalogwa na dawa yake ni lazima aende kwenye msitu maeneo ya huko upareni. Alitajiwa eneo na aliambiwa atakuta nyuki wametulia juu ya mti. Basi awafukuze kwa aidha kuwapiga kwa mawe au kupanda na kuwaondoa kwa mkono. Vyovyote vile ilimradi watoke pale.

Watu wakatili. Jamaa akaongozana na yule mzee na ndugu yake m1. Walipofika maeneo hayo wakakuta nyuki kweli, walishahakikishiwa kuwa kutakuwa hamna hatari yoyote yaani nyuki watakuwa wapole kama inzi. Ila atagongwa na wawili au watatu. Wakaingia mzigoni wakafurumusha nyuki ambao waliondoka eneo lile. Kweli kuna nyuki kadhaa waliwagonga.

Waliporejea nyumbani wakakuta wale nyuki wapo kwenye moja ya banda la kuku pale home kwao. Wakarudi kwa bingwa na kumweleza. Akawaambia kuwa wale watakaa pale kwa muda wa siku sita na siku ya saba awafukuze tena kama alivyofanya kule msituni. Siku zikaenda muda ukawadia. Akawafukuza kama mwanzo ingawa siku hiyo alitolewa manundu ya kutosha. Baada ya kupita kama mwezi hivi jamaa akachukua ajira na sasa ni moja ya mabosi huko mkoani tabora. Hakuwahi kuacha kazi tena.
Siyo Rsee Muaniri kweli? Jokes.
 
Hakuna uchawi narudia tena hakuna uchawi.uchawi ni imani uchawi umejaa upotoshwaji zaidi kiliko ukweli lakini naomba nikilii nguvu hii ipo hoja ya msingi hapa inatendaje kaz?na kwa nini wengine hurogeka na wangine hawarogeki ukweli ni kwamba wanao rogeka ni wale wasio jiamini ni wale wanao ishi kwa mashaka ni wale wenye hofu,unadhani kwa nini watu wengi wanao sali sana wanao jiita wapendwa huutaja zaidi uchawi kwa kutojiamini kwao hudhani uchawi wanaujua kweli ukweli bado hawaujui.0756805540 niulize cho2te kuhusu uchawi nitakufungua utakua huru

Sent using Jamii Forums mobile app
Frusa hii
 
Hiki ni kisa cha kweli kilichotokea kwenye familia yetu miaka 18 iliyopita.

Ilikuwa mwaka 2000, wakati huo nikiwa na miaka 12. Familia yetu ilikuwa inaishi huko Tarime vijijini kwenye eneo (plot) ambayo haikuwa yetu ila ya jirani yetu ambaye tulikuwa tunaishi naye kama majirani japo kulikuwa na mgogoro wa chini chini a.k.a vita baridi . Back 1999 mdogo wangu alifariki akiwa mchanga kama mwezi m1 na ilisemekana kuwa yule jirani yetu amehusika na kifo chake kichawi. Mwaka 2000 katikati, mdogo wangu wa pili akaanza kuugua. Aliugua sana na kufariki kama miezi 4 baadaye, kwa kuwa yule dogo alikuwa amerithi jina la babu yetu,basi kaka zake baba wakasema hawawezi kukubali baba yao auwawe kirahisi hivyo, wakaamua kufuatilia kupata ukweli wa kifo cha yule dogo.

Wakiwa wamejidhatiti kutaka kujua ukweli juu ya kifo cha yule bwana mdogo waliangukia mikononi mwa mganga mmoja wa kienyeji maeneo ya Nyamongo(sitamtaja jina ila namkumbuka). Walipoeleza shida yao waliulizwa kama wanataka kujua chanzo cha kifo cha yule dogo ili iweje. Wakasema wanataka kama kuna binadamu awaye yote amehusika, NAYE AFE. Wakakubaliana kuwa hata kama ni mmoja kati ya wanafamilia au mmoja kati ya wale walioenda kwa mganga, AFE TU. Mganga akafanya mambo yake na akamtambua aliyehusika na kifo cha dogo na akawatajia kuwa ni yule jirani yetu. Akawaeleza kuwa kuna siku yule bwana mdogo alienda kuchunga pamoja na mtoto mkubwa wa yule jirani yetu kwa mtindo maarufu kule ukuryani wa kuchanganya mifugo, na ndipo yule jamaa aliwapelekea kinywaji a.k.a togwa almaarufu kama OBOSARA kule machungani na kwenye kikombe cha yule bwana mdogo kuliwekwa sumu iliyotafuna ini lake na kupelekea mauti yake. wazee wakiwa na hasira wakakazia kuwa AFE TU. Basi mganga akawaomba zana za kazi ili akamilishe kazi yake chap. Zana zenyewe zilizohitajika ni KINYESI CHA TEMBO na mizizi ya miti kadha wa kadha... Kwa kuwa wazee hawakuwa wataalamu wa mambo waka-opt kutoa pesa watafutiwe zana. Wakatoa keshi laki na ishiirini tii shilings na kazi ikaanza baada ya mganga kumtuma kjana wake ambaye ndiye alikuwa msaidizi wake kwenda porini Serengeti kusaka zana za kazi. Wakaahidiana kuwa baada ya wiki mbili mganga atafika nyumbani kwetu kukamilisha kazi.

Kweli baada ya wiki mbili mganga alitua maskani kwetu usiku wa manane, wakachinja kuku mkubwa jogoo na mganga akapiga na ugali wa mhogo uliochanganywa na mtama akalala. Kesho yake tukaamka na mganga akaanza show kwa kupiga tambiko moja kali sana pale maskani. Tambiko liliambatana na kafara kadha wa kadha na utabiri juu ya maisha yetu pale nyumbani kwa mtu mmoja mmoja. Binafsi mganga alinisimulia kuhusu habari zangu za shule na jinsi nlivyokuwa mkorofi na mgomvi shuleni Kumwika Primary school.
Usiku huo mganga alitia timu kibabe nyumbani kwa yule jirani yetu na kufanya vitu kadha wa kadha bila kuonekana na akapotea kama watu wasiojulikana.

Mganga aliondoka siku iliyofuata kwa ahadi kuwa tutapata majibu ndani ya siku chache..

Baada ya wiki kama mbili, siku moja alfajiri sana mama yangu pamoja na kaka na dada zangu wawili waliamka na kwenda kufuata majani ya kuezekea nyumba eneo la kama kilomita tatu kutoka nyumbani. Asubuhi sana mimi na baba tukaenda kulima kwa jembe la kukokotwa na ng'ombe pale pale jirani na nyumbani. Eneo tulilokuwa tunalima lilikuwa ni kwenye mpaka kabisa wa eneo letu na eneo la yule jirani yetu. Kitu cha ajabu ni kwamba ng'ombe walikuwa hawafiki mwisho wa shamba, walikuwa kama wanaogopa hivi na wakikaribia mwisho wanakimbia kama wameona kitu cha kutisha. Mara ghafla tukasikia mlio mkali sana kutoka vichakani jirani kabisa na pale tulipokuwa tunalima na ni jirani na makazi ya mke mdogo wa yule jirani yetu. Kufumba na kufumbua tukaona tembo mkubwa na mkonga wake akitoka mle vichakani na kuondoka kwa kasi kelekea Serengeti porini.

NINI KILIKUWA KIMETOKEA?
Ni kwamba kuamkia siku ile, yule jirani yetu alilala kwa mke wake mkubwa na kwa sababu mifugo yake ilikuwa inalala kwa mke wake mdogo ambaye ndiye alikuwa anaishi karibu sana na nyumbani kwetu, ilibidi asubuhi sana jamaa awahi kwa mke mdogo apige zake bangi (alikuwa mvutaji wa bangi ya kiko) na kufunga ng'ombe kwa ajili ya kwenda shamba kulima. Alipofika nyumbani aligonga mlango na kumsisitiza bi mdogo amfungulie mlango maana ana kiu ya jani sana na asichelewe shambani. Yule bi mdogo alikasirika sana kuamshwa mapema vile kwa sababu tu eti jamaa anataka kula mmea. Akamjibu kwa jeuri kuwa ''Kwani huko ulikotoka hakuna bangi?, mi sifungui mlango alfajiri yote hii".
Jamaa kwa hasira akaondoka kwenda kichakani kukata (alikuwa na sime yake) fimbo ama mjeledi ama kiboko kwa ajili ya kuja kumshikisha adabu yule mwanamke. Akamuahidi kuwa anarudi na atapata tabu sana. Inasemekana kuwa jamaa alipofika kule vichakani alijisikia kama anahitaji kuachia mzigo almaarufu kama kujisaidia, na alipochuchumaa kukata gogo ghafla bin vuu alitokea tembo mbele yake na ndipo jamaa aliposimama kwa taharuki. Yule tembo alim-mwaga utumbo baada ya kumpiga na jino lake maeneo ya mbele. Kama kawaida tembo huwa ni mstaarabu, alikata majani kadhaa akamfunika na kukojoa juu yake kisha akatoa mlio ule tuliousikia kama taarifa kuwa kazi imeisha. Tembo akachikichia serengeti akipita vijiji kadha wa kadha huku nyuma akiacha msiba mzito kitongojini na kwenye familia ya yule ndugu. Tembo hakusababisha madhara zaidi katika safari yake ya kuelekea porini..

Kama unaaminishwa na sayansi kuwa uchawi sio real, endelea tu mpaka utakapopigiwa show kali ya kibabe na wazee wa kilingeni..

Dunamist

Uchawi upo wasioamini ni wale waliozoea kukaririshwa mambo.
 
Sasa hapo mganga anahusika nini?simlizi ni nzuri sana lakini mganga hahusiki kabisa hapo poleni kwa kutapeliwa.shida hapo ni uelewa shida hapo ni akili ndogo kutawala akili kubwa utafiti unaonyesha uganga ni taaluma lakini pia waganga hutumia akili nyingi kulaghai watu mbinu wanazo tumia mi2 nitaziita 4+4 uganga unapgred kila mara ndio maana hata wao huzidiana mganga wa naijeria tofauti na tz unadhani kwa nin?ok mganga wa naijeria ni msomi na kwa kua hakuna ajira akajiajiri hivyo anaweza kukuletea hata simba nyumbani kwako na ukachanganyikiwa na uganga ni netwek kubwa siyo ya kitoto uganga una mbinu nyingi sio za kitoto.nikupe mfano huu we2 una ndugu yupo jela unaenda kwa mganga akupe dawa ili uchanganye kwenye chakula ukampe ndugu yako jela akila tu atatoka na kweli unafanya hivo ok tayari umesha mpa dawa wiki ya 3 toka umpe mara msamaha wa rahisi unatoka kwale walio tumikia kifungo chao nusu na ndugu yako ni mmoja wapo hivyo pengine katika gereza la ukonga wanatoka watu 500 na segelea 300 na kote nchini watu wanatoka magerezani sasa tumia akili yako je ndugu yako ametoka kwa msamha wa raisi au kwa dawa za mganga?0756805540 tuendelee kubadilishana uzoefu
 
Hahahhahahaahahaha hapa nimecheka kinoma

Kama unaaminishwa na sayansi kuwa uchawi sio real, endelea tu mpaka utakapopigiwa show kali ya kibabe na wazee wa kilingeni..
 
Sasa hapo mganga anahusika nini?simlizi ni nzuri sana lakini mganga hahusiki kabisa hapo poleni kwa kutapeliwa.shida hapo ni uelewa shida hapo ni akili ndogo kutawala akili kubwa utafiti unaonyesha uganga ni taaluma lakini pia waganga hutumia akili nyingi kulaghai watu mbinu wanazo tumia mi2 nitaziita 4+4 uganga unapgred kila mara ndio maana hata wao huzidiana mganga wa naijeria tofauti na tz unadhani kwa nin?ok mganga wa naijeria ni msomi na kwa kua hakuna ajira akajiajiri hivyo anaweza kukuletea hata simba nyumbani kwako na ukachanganyikiwa na uganga ni netwek kubwa siyo ya kitoto uganga una mbinu nyingi sio za kitoto.nikupe mfano huu we2 una ndugu yupo jela unaenda kwa mganga akupe dawa ili uchanganye kwenye chakula ukampe ndugu yako jela akila tu atatoka na kweli unafanya hivo ok tayari umesha mpa dawa wiki ya 3 toka umpe mara msamaha wa rahisi unatoka kwale walio tumikia kifungo chao nusu na ndugu yako ni mmoja wapo hivyo pengine katika gereza la ukonga wanatoka watu 500 na segelea 300 na kote nchini watu wanatoka magerezani sasa tumia akili yako je ndugu yako ametoka kwa msamha wa raisi au kwa dawa za mganga?0756805540 tuendelee kubadilishana uzoefu
Japo umeandika bila vituo wala nukta ila sijaelewa point yako. Mchawi/mganga wa Nigeria anamzidi vipi mganga/mchawi wa Tanzania kama hakuna uchawi... Umetoa namba tubadilishane uzoefu wa kitu ambacho hakipo?
 
Hahahhahahaahahaha hapa nimecheka kinoma

Kama unaaminishwa na sayansi kuwa uchawi sio real, endelea tu mpaka utakapopigiwa show kali ya kibabe na wazee wa kilingeni..
Hahahah! Kweli tena mkuu.
 
Wachawi wamenitesa sana ila na wao nimewatesa sana maana walikuwa kila wakija iwe mchana au usiku Mie nawaona kuna kipindi nilikaa wiki mbili bila kulala tunasumbuana mwisho wakamtuma mwenzao akaja live na kuniambia Kumbe Mie mtoto lakini ni mkubwa
Ukiona mchawi huwezi kuishi kwa zaidi ya mwaka mkuu..otherwise na wewe ni mwenzao..
 
Back
Top Bottom