Dunamist
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 474
- 689
- Thread starter
- #21
Taarifa zote za kwenda kwa mke mdogo kuvuta bangi, kwenda kichakani kukata fimbo zilipatikana kwa mke wake mdogo. Lkn pia pale kichakani tulikuta kinyesi kibichi kabisaHahah... Nilichoelewa ni kwamba una miaka 30.. Kwamujibu wa hadith yako tumeona jamaa ameuliwa na tembo. Na kama mlimkuta ameshakufa mlijuaje kama alienda kwa mke mdogo kuvuta bangi? Mlijuaje alienda kwenye kichaka kukata fimbo akamchape mkewe? Mlijuaje alihisi kunya alipofika kichakani?
Sent using Jamii Forums mobile app



