Uchawi upo, usidanganywe

Uchawi upo, usidanganywe

Mbona sasa unachanganya ndugu usha sema mwanangu alipatwa na mararia yakapanda kichwani lakini mungu si asumani tukajitahidi kumpeleka hospitali madaktari akapona.ooooo kumbe ilikia mararia kwa hiyo we2 ulilogelezea kwenye mararia uwiiiiiiiiiiiiiii
Hebu jaribu kuandika vizuri bila kumpa mtu shida ya kukuelewa...au washaroga muandiko nini?haha
 
Sina elimu kabisa ila najua kusoma na kuandika hilo nisamehe.ila nilijaariwa kuwa na ufahamu ambao natamani kuukuza zaidi.lakini pia wakati wa uandishi kuna kujichanganya sory darasa la 2 nilishia wakati huo sory
 
Ushuhuda wa Tukio la ushirikina mjin Kigoma.

Habar zenu Wadau
Juzi shoga yangu alifukuzwa kazi hapa tukaelekezwa na rafiki yangu kwa mzee Kingwele anaishi Mpakan na Congo.

Tulipatiwa huduma pale siku nne tuu.
Siku ya pili na ya tatu tulivyokwenda nikashuhudia folen kubwa sana ya watu wenye shida mbalimbali ila idadi kubwa ni wanawake.

Tukiwa pale kuna mteja mmoja ndio alikuwa anahudumiwa na Babu.

Ndipo kwa mara ya kwanza kuona Babu akivuta msukule kupitia Mitambo yake.

Ndugu wa yule mgonjwa walilia sana kwa furaha.

Ikawa babu anahangaika na Madawa ili amrejeshe vizur akili yake aweze kuongea.

Wakat tupo pale baadae nikaona tena Wagonjwa wengine wakitoa shukran zao kwa kumpa Babu zawad.

Nilijaribu kudadisi kwa Wajukuu zake nikaambiwa.

A) Mzee Mangi alikuwa na kesi ya Kuua lakin file la kesi yake lilipotea hivyo kesi ikafa na yule Afande aliyeshika file alipata ajali na amelazwa hospital

B) Mama Omar alifanikiwa kurudiana na Mume wake aliyemtelekeza takriban miaka mitano.
Mama huyu alihudumiwa na Babu kwa siku saba tu

C) Ustadh Hussen nae alifanikiwa kupata utajir kwa njia nyepes tuu siyo kuua binadam bali kuchinja Mbuzi mmoja kwa Mwaka kila Tareh ikifika

D) Nikaona ...... Akimkabidhi babu Solar baada ya kufanikiwa kuua ndugu.... Aliyekuwa akimsumbua Sana.

E) Mama Zuwena alitoa sh... Ya shukran kwa Babu baada ya Mgahawa wake kujaza wateja sana na chakula hakilali.
Hivyo dawa ya Mvuto wa biashara iliyochanganywa na .... Ilifanya kazi vizur.

Note: Shoga yangu nae alirudishwa kazin baada ya wiki moja na hivisasa tupo Dar tumechukua likizo angalau tubadilishe Mazingira..

Kiufupi huyu Babu anawajukuu zake ambao ndio huwa anawatuma kuchimba dawa na anachanganya na VISIMBA na mambo mengine anayoyajua yeye....

Mmh! Najua kuna watakao toa Povu ila uhalisia ni kwamba Ushirikina/Uchawi upo na watu wanapata huduma mbali mbali wanafanikiwa ila watakaosema Uchawi haupo basi hao hawajapata matatizo.

Namba za huyo Babu.
(+255678134718) kwa ufafanuz zaid..
Kama tangazo vile kwa karibuuuuu.Watu wakitapeliwa utalaumiwa mno.
 
Asie amini kuwa hivi vitu vipo, laweza lisikupate wewe ila mwanao kipenzi akaanza kuteswa non-stop na mambo yasioeleweka lazima utatia akili!
Mi nina bro wangu katupiwa jini la sauti full time anaongea vitu havieleweki halali usiku kucha, alikuwa mbabe na baada ya kuanza kushika pesa ndio ikawa balaa sahivi kawa kama fala biashara zote zimekufa anadunduliza hela ya kula tu karudisha majeshi home sasa we usie amini endelea kutoamini!
 
Huku napokaa kuna mtoto alikuwa ana maumivu ya tumbo na akapelekwa hospitali ila vipimo havioneshi tatizo lolote,basi wakarudi naye nyumbani na kutafutiwa mtaalamu na sasa navyoongea yuko fresh kabisa.

Haya ni matukio ya kawaida tu kwenye jamii zetu,huwa naona ni kujichosha kubishana kuwa hakuna uchawi hasa kwa mazingira kama yetu.
 
Kwa pamoja tunaweza amua kujifunza hii nguvu ya uchawi ipoje na inafanyaje kazi.hii ndio faida kubwa tutakayo ipata tuachane na vitu vya kufikirika au kuambiwa watu wote wanao rogwa ni wajinga tu.hata uwe msomi kiasi gani kama huwa unarogwa/ulilogwa pia kama uliwahi kwenda kwa mganga we ni bwege,mjinga yaani akili akili huna kabisa....ukitaka msaada tutaftane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom