Uchawi na nguvu za giza katika nchi za SADC pamoja na uwezo wa Mitume na Manabii

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Nilikutana na dada mmoja Mnigeria, katika maongezi nilimfahamisha kuwa mimi ninatoka Tanzania. Tulipozidi kuzoeana aliniambia kule kwenu kuna namba mbovu sana ya uchawi, nilimjibu kuliko nyinyi? Alisema sisi ni waropokaji tu lakini uchawi mnaujua nyinyi ila hamjitangazi.

Alinipa hadith fupi, kaka yake alikutana na binti wa Malawi wakiwa chuo, baada ya kuoana wameamuakujenga makazi Malawi. Yule dada alisafiri kutafuta maisha. Huko alikokwenda alituma maombi ya kuongeza viza Immigration ya Ughaibuni akapigwa refuse.

Alimpigia simu kaka yake huku analia kwani kaka ndiye alikuwa sponsor mkuu. Baada ya kuongea na mke wake kaka aliomba hiyo barua ya immigration barua halisi si photocopy, yenye saini na jina la mtoa maamuzi.

Barua ilitumwa Malawi, wifi aliipeleka kwa mtaalamu. Ilifanyiww utaalamu ile barua kwa siku saba. Katika mwezi ule ule yule dada alipokea barua kutoka immigrationa ya kubatili uamuzi wa awali. Maombi yake ya mwanzo yalikubaliwa na alipewa kibali cha kufanya kazi.

Siku hizi Afrika tuna mitume na manabii wengi sana, wanatenda miujiza mikubwana wanaabudiwa kuliko hata Yesu alipokuwa duniani.

Huwa ni ajiuliza hawa manabii wa Ujerumani na Marekani huwa hawana uwezo kama hawa manabii wetu wa huku SADC au hawa wakwetu wanahubiri na kufanya African Gospel?
 
Dah... yani visanga vya uchawi acha kabisa! Unaweza kujitoa roho hivi hivi.. Watu ni wachawi jamani. Na mbaya zaidi kwa hapa bongo watu ni wachawi na bado huyo Yesu wanamjua vibaya mno. Kote kote wapo.

Bhas tu.....
 
Kama kuna nchi inapenda ushirikina South Africa inaongoza, kama kuna nchi inafanya uchawi Nigeria na Tanzania zinaongoza, na wamejazana South kula hela za Wazulu wapenda ushirikina.
 
Dah... yani visanga vya uchawi acha kabisa! Unaweza kujitoa roho hivi hivi.. Watu ni wachawi jamani. Na mbaya zaidi kwa hapa bongo watu ni wachawi na bado huyo Yesu wanamjua vibaya mno. Kote kote wapo.

Bhas tu.....
Watu kwanza hawamjui Yesu Kristo wa kweli. Pili hawamfuati, wengi wapo kwenye dini tu na hawashiki mafundisho ya Yesu. Ndio maana bado waweza kukuta wakristo lakini wanateswa na nguvu za giza, na tena wengine wanakwenda kwa waganga. Kwa wale wa dini nyingine ile ushirikina upo mwingi sana hata viongozi wao wengi ni waganga wa kienyeji na wachawi wakubwa. Raha ya Yesu Kristo wanaijua wachache mno.
 
Watu kwanza hawamjui Yesu Kristo wa kweli. Pili hawamfuati, wengi wapo kwenye dini tu na hawashiki mafundisho ya Yesu. Ndio maana bado waweza kukuta wakristo lakini wanateswa na nguvu za giza, na tena wengine wanakwenda kwa waganga. Kwa wale wa dini nyingine ile ushirikina upo mwingi sana hata viongozi wao wengi ni waganga wa kienyeji na wachawi wakubwa. Raha ya Yesu Kristo wanaijua wachache mno.

Teh... Pole sana. Ungejua.....!
 
Tofauti ya ulaya na Africa ni moja tu sisi tunaamin katika Mungu wao wanaamin katika technology
15Century tulikua sawa kwa kila kitu,naamini elimu zao tunazitohoa zitaondoa hizi Imani,by the way tunaamini Mungu kupitia dini zao.
 
Sky Eclat
Nimeshafanya sana Huduma ya Kiroho, Mashuleni, Mahospitalini na hata Makanisani,
Kwa imani nimeona Mungu akifanya Mambo makubwa sana kupitia mikono yangu,
Ni gharama lakini Mungu anatenda.
Kwa sasa nimevurugwa na Maisha, Utumishi umepungua nguvu.
 
Watu wachache huaribu taswira ya mji. Mathalani ukisikia mkoa/nchi fulani una waganga wengi usidhani kuwa wananchi wote eneo hilo wanaamoini mambo hayo. Sasa wewe unakuja na ma imani yako unauliza kila mtu kwa mganga fulani watu wanakushangaa sana
 
Back
Top Bottom