Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 7,000
- 10,398
Washirikina wako kila sehemu
Mkuu kuna maeneo yamezidi aiseeWashirikina wako kila sehemu
Pole sana mkuu😂😂Kuna nyumba nilienda kumtembelea mtu,,,kuingia tu mwili ukaanza kusisimka hadi nilipotoka,sikuwah kujua shida ilikua nn
Pole sana mkuu wazee wa busara sometimes hawana mana kabisa 😂Uzoefu kwa kiwanja nilichonunua nikajenga.
Baada ya kujenga nilipo hamia tu ndo timbwili zikaanza.
Kwanza
makundi ya popo hayajui mchana wala usiku wao wanapaa humo ndani vurugu mtindo mmoja!
Pili
Mipaka mikubwa ya kila rangi inalia milio ya kizee,base,kike kitoto upole ugali basi ni bonge la Tafrani.
Tatu
Majirani ambao kabla hujajenga walikuwa wena sana kwako lakini baada ya kujenga tu wakawa maadui zako yaani hata salamu hakuna na ukiwasalimia hawaitiki.
Kubwa na Mwisho unaitwa na wenyeji na kuwekwa kikao
Maswali
1. KWANINI UNAZUNGUSHA FENCE WATOTO WETU WATACHEZA WAPI USIKU??
2.WEWE NI MTU WA WAPI MBONA MKOROFI UMEHAMIA HAPA UNA PANDA KILA AINA YA MITI KUNA MITI MINGINE INA MADHARA KWA WATOTO WETU!
3.KWA TAARIFA YAKO MTAA HUU HAKUJA WAJI KUPITA GARI TOKA UMEKUJA WEWE GARI ZINAINGIA NA KUTOKA ZINAGONGA WATOTO WETU UKIENDELEA TUTAKUHAMISHA MTAA!
Kifupi kuna mitaa siyo ya kukaa hasa ukikuta maeneo kuna mapagale mengi na viskwata hata kama kiwanja ni cha bure uza kanunue kwingine
Hizi MADA zimesha jadiliwa Sana humu jukwaani..UCHAWI KATIKA NYUMBA ZA KUPANGA.
View attachment 3282299
Umewahi ishi kwenye nyumba yenye mauza uza ya kutisha kiasi usilale usiku.
Au umewahi kaa nyumba yenye skendo za uchawi yaaani wenye nyumba au wapangaji wenzio ni washirikina
Share nasi ulikutana na mambo gani ya kichawi kwenye nyumba hadi ukaamua kuhama kwenye hio nyumba.
Jamaa wapo kwenye MIDDLE STONE AGE wapo kwenye MEDIEVAL PERIODUzoefu kwa kiwanja nilichonunua nikajenga.
Baada ya kujenga nilipo hamia tu ndo timbwili zikaanza.
Kwanza
makundi ya popo hayajui mchana wala usiku wao wanapaa humo ndani vurugu mtindo mmoja!
Pili
Mipaka mikubwa ya kila rangi inalia milio ya kizee,base,kike kitoto upole ugali basi ni bonge la Tafrani.
Tatu
Majirani ambao kabla hujajenga walikuwa wena sana kwako lakini baada ya kujenga tu wakawa maadui zako yaani hata salamu hakuna na ukiwasalimia hawaitiki.
Kubwa na Mwisho unaitwa na wenyeji na kuwekwa kikao
Maswali
1. KWANINI UNAZUNGUSHA FENCE WATOTO WETU WATACHEZA WAPI USIKU??
2.WEWE NI MTU WA WAPI MBONA MKOROFI UMEHAMIA HAPA UNA PANDA KILA AINA YA MITI KUNA MITI MINGINE INA MADHARA KWA WATOTO WETU!
3.KWA TAARIFA YAKO MTAA HUU HAKUJA WAJI KUPITA GARI TOKA UMEKUJA WEWE GARI ZINAINGIA NA KUTOKA ZINAGONGA WATOTO WETU UKIENDELEA TUTAKUHAMISHA MTAA!
Kifupi kuna mitaa siyo ya kukaa hasa ukikuta maeneo kuna mapagale mengi na viskwata hata kama kiwanja ni cha bure uza kanunue kwingine
Hasa wa uswahilini swekeni hawa sio kabisaaPole sana mkuu wazee wa busara sometimes hawana mana kabisa 😂
😂😂😂Hasa wa uswahilini swekeni hawa sio kabisaa
Hakuna kitu kigumu kama hikoUzoefu kwa kiwanja nilichonunua nikajenga.
Baada ya kujenga nilipo hamia tu ndo timbwili zikaanza.
Kwanza
makundi ya popo hayajui mchana wala usiku wao wanapaa humo ndani vurugu mtindo mmoja!
Pili
Mipaka mikubwa ya kila rangi inalia milio ya kizee,base,kike kitoto upole ugali basi ni bonge la Tafrani.
Tatu
Majirani ambao kabla hujajenga walikuwa wena sana kwako lakini baada ya kujenga tu wakawa maadui zako yaani hata salamu hakuna na ukiwasalimia hawaitiki.
Kubwa na Mwisho unaitwa na wenyeji na kuwekwa kikao
Maswali
1. KWANINI UNAZUNGUSHA FENCE WATOTO WETU WATACHEZA WAPI USIKU??
2.WEWE NI MTU WA WAPI MBONA MKOROFI UMEHAMIA HAPA UNA PANDA KILA AINA YA MITI KUNA MITI MINGINE INA MADHARA KWA WATOTO WETU!
3.KWA TAARIFA YAKO MTAA HUU HAKUJA WAJI KUPITA GARI TOKA UMEKUJA WEWE GARI ZINAINGIA NA KUTOKA ZINAGONGA WATOTO WETU UKIENDELEA TUTAKUHAMISHA MTAA!
Kifupi kuna mitaa siyo ya kukaa hasa ukikuta maeneo kuna mapagale mengi na viskwata hata kama kiwanja ni cha bure uza kanunue kwingine
Una bahati sana ungeliwa "jicho"Mm nilihamia nyumba moja asubuhi yake wakaninyoa kiduku halafu wakanipaka na breech,eeh kesho yake wakaninyoa kipara wakanipaka na mafuta,nikaone eeh siku ya tatu yatatokea makubwa na mafuta Tena nikahama
Kuna tukio la ajabu lilitokea guest siwezi kusimulia..yaani Kuna maeneo ni washenzi wachawi kabisa.. Mimi nilivyo kua sipendi MAPAKA ningedai pesa yangu ya usiku huo.Mimi nililala Guest House ambayo nadhani ni ya Wachawi, kwa kifupi tu ilibidi ninywe Pombe nikalala asubuhi naamka kumbe Paka nae kalala humo nikawa najiuliza kaingiaje...anyway kwa mtu kama mimi ambaye ni dereva nimeona mengi huwa sitishiki tena na michezo ya wachawi.
Usiogope nenda ukazindikwe huko Kijijini kwenu.
Kwa wale Atheists siku ukikutana na mauzauza ndiye siku utakayoamini kuwa Mungu yupo.
Katika umri wangu huu ninaweza kusema mikoa ya pwani ikiongozwa na Tanga ina mauzauza sana kuliko mikoa ya Inland, kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi kule Mtwara Lindi wakati wa Dangote pia nimekutana sana na mambo hayo.Kuna tukio la ajabu lilitokea guest siwezi kusimulia..yaani Kuna maeneo ni washenzi wachawi kabisa.. Mimi nilivyo kua sipendi MAPAKA ningedai pesa yangu ya usiku huo.
Jamani nimecheka kama chizi ila wewe hapana.Kwahiyo huo ndo uchawi?
Mtu akijifungia chumbani akalala, akaweka na "pumba" kwenye sahani ndo unakuwa mchawi?.
Umesimulia kama visa 100 hivi unashuhudia uchawi, iweje wewe tu mikasa yote hiyo? Kama hizi sio chai basi wewe ndo mchawi.Nyumba za kupanga zina mengi,kuna siku nililipa Kodi ili siku ya Pili alfajiri nihamie,siku iyo nikahamia saa kumi na moja alfajiri ili nilikimaliza kuweka vitu niwahi kazini,cha kushangaza kufungua nyumba niliolipia Kodi nikakutana na misukule umelala mule.. mwenye nyumba akaniuliza unafuata nn mapema yote hii na watu bado hawajaamka🤷Nilidai hela yangu hapo hapo laki 3 si ndogo ,anayo SS mda uo,nikampeleka Kwa balozi tukaandikishana mm nikatafuta nyumba nyingine chap Kwa haraka coz madalali hawadhindwi kitu,Ila Yule mama alichukia mno nakuniambia utaparamiwa na mizimu isiyo kuhusu