Mi picha linaanza nlikua natafuta chumba cha elfu 40 single ajabu madalali wakanipeleka chumba cha elfu 20 full singboad tailiz had rangi nzur mno nyumba inawapngaji 5 pamoja na mm wa 6 nikaona hapa hapa pazur si kwa jeul nikalipia mwaka mmoja madalali walikua wawili nikawapa 20 20 sa cku nilivyoamia ote majirani wananiangalia kwa jicho la uruma na wengine wanatingisha kichwa nikajisemea moyoni ndio hawa wambea wambea ila tutaoneshana na hivi nilivyo single watafurai na show kumbe wenzangu walikua wananionea huruma sa kumaliza kupanga panga vizur mwenye nyumba akanijia ni bb mjane akaanza kunipa mashart ya hapa na pale kubwa zaid la zamu ya kufagia nikasema ntatoa hela ikifika zam yangu, uxk asa kufika uxk mda kama sa kumi hivi nikaota mtu kanikaaba kila nikikukurusana nae naishiwa nguuvu nikajua hapa nakufa nikajilegeza 2fasta nikashtuka ucngizin kuangalia uku na uku sikuona kitu nikahema kwanza nikawasha taa nikasema ngoja nisilale tena nikawasha tv nikaweka cd gafla nikaanza kusikia skuna kwenye korido kama kuna mtu anaenda anasimama nikajua atakua mpangaji 2 nikatulia mara ikaanza tena yan anaenda anafika mwisho anatulia alafu akiianza tena kama anaanzia pale pale uyu atakua kalewa nn ngoja nikamcheki gafla kufungua mlango nakuta kitu kama nguo hivi au upande wa mtu unamalizikizikia kuingia ndani na mlango ukifungwa nikajua labla mama mwenye nyumba alitoka nje c nikatoka nje nikojoe nikamuona paka mweusi kakaa ukutani tukatumbuliana macho mwili ukanisisimka balaa nikajikaza uku naenda uku tunaangaliana axa cha ajabu ile kubadilisha ndalapale chooni nageuka simwon na kuna ukuta mkubwa 2 nikais kaingia kwangu nikaanza kuungia ndani kwangu kwa tahadhali kuanza kumtafuta sijamuona nikapumua mara yule mtu akaanza kupita tena nikasema asaiv stok nje nikaongeza sauti ya tivi gafla kamsingizi kazur kakaanza kulegeza macho yangu nikasema sio kwel nikawai maji kunawa uso aikusaidia nikapitiwa asa nipo ndotoni nikajiona natoka nje kamakuna mtu ananielekeza kitu yule mtu simwoni vizur nikikaza macho kumuangalia vizur kama yule bb vile anacheka kwa kebehi hivi kile kicheko chake hadi nikastuka ndo ckulala tena ad asubh cha ajabu nilipo amka nje majirani ote wameaka wananiangalia nikawasalimia bado wananiangalia kwa jicho lile nusu niwaulize nikakausha nikaoga nikasepa zangu nakumbuka cku hiyo nilala oficn balaa usiku wake sasa cku hiyo mwe mwe mwe jamani kama yupo mtu aamin uchawi aanze kuamini 2 ckulala kabisa ni vitimbwii kwa kwenda mbele mara watu wanacheka kolidon mara wanatembea mara mtu anatwanga niliomba pakuche mbona